Goli hili ndilo lilichaguliwa "Best goal in uefa champions league season 2015/2016

Mkiamua kusifia huyo shoga wenu mnakosaga hata aibu. Hebu angalia goli la akili mkuu

Goli la Ozil ni just a "beautiful goal" sio "best goal" kumbukumbu zangu hilo goli halikuwa hata "Nissan goal of the week"
 
Mkuu tafadhali hebu rudia tena kusoma ulichokiandika labda utatuomba radhi, maana kwa mawazo hayo sidhani kama unaufahamu mpira vizuri.
Sijapata kutoa kauli yoyote ile, popote pale, kwamba ninaufahamu mpira vizuri. Hilo haliniziwii kutoa maoni na mawazo yangu mbele ya wengine, mkiwamo nyinyi mnaoufahamu mpira vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…