Goli la Ajibu unaweza kuchukulia mkopo bank yoyote ile duniani

Yanga Bhana wanadhambi Sana. Kuna jamaa Huku kitaani kwetu anasema Lile goli Kagere akijaribu kupiga lazima ajambe kabisa
 
nasikia Super Sport wameanza kutumia lile bao kwenye matangazo yao..........Africa nzima hakuna bao kama lile labda ulaya
 
Jesse: Mwalimu kashasha unalizungumziaje goli la Ajibu

Kashasha: Ajibu amepiga dynamic rocket shot yani kabla ya kupiga alimuangalia kipa akamuona yuko off position yeye akalitengeneza goli katika pembe tatu kisha akaitafuta ile nyuzi 60 ya juu kisha akabend na kutanua mikono kama anavyofanya eagle anapotaka kuruka ili kupata full body balance alafu akapiga hyo shot with full gas at his foot inasemekana shuti ilikuwa linasafiri at 200km/s yani hata kama kungekuwa na makipa 3 golini wangefungwa tu na huyu shagalabagala kama angeufikia ule Mpira basi Baada ya kurudi chini Angeweza kupata stroke au heart attack ndio mana aliruka kiushahidi tu kuondoa lawama but all in all this is a PUSKAS goal

kwako Jesse
 
Barca uliowataja hawachukui point kwa kupaki basi, huo ni mpira mbovu wa kisiwa cha uingereza.
soka ni kuchukua pointi 3 kinamna yoyote ile mambo ya pasi yanamgharimu baka sasa ivi
 
ulitaka awe na kagere ndo goli liwe kali, ajibu ni dunia nyingine huwezi mfananisha na kagere
Dunia nyingne hata timu ya taifa lake hana nafasi tena nchi yenyewe Tanzania kweli kuna mchezaji?
 
Bottom line ni kuwa Ajib hawezi kuonekana kwenye mechi yenye ushindani, ndio maana Simba alikuwa mchezaji wa sub, na taifa kaachwa.
Mkuu ukitegemea Ajibu acheze vipi pale na kocha aliingia na mfumo wa kujilinda?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…