Simba na Yanga huwa wanapata penalty ambazo wapinzani wao ni nadra kuzipewa penalty za tukio la aina hiyo hiyo. Labda iwe clear sanaaa
Hapana bro ile penati ni halali kabisaHaya mm Ni mwananchi 96% ila ile penat ni ya mchongo
Hii naweza kukukubalia maana simba walipokuwa wanacheza na polisi,walipewa penati dakika ya 89.30 yaani imebaki sekunde 30 mpira uisheSimba na Yanga huwa wanapata penalty ambazo wapinzani wao ni nadra kuzipewa penalty za tukio la aina hiyo hiyo. Labda iwe clear sanaaa
Ni kweli. Hata Tanga vs Coastal ,Beki wa Simba kwenye njano angefanya faul ile angeweza kuonywa tu kwa manenoHii naweza kukukubalia maana simba walipokuwa wanacheza na polisi,walipewa penati dakika ya 89.30 yaani imebaki sekunde 30 mpira uishe
Wakili msomi kibatala anasemaje.Tuwe wa kweli,haiwezi kuwa penat kwasababu mpira ulitoka mguuni kwa mpigaji mwenyewe
View attachment 2183380
Haya buana! Jinga kweliBuild-up ya goli la Geita gold ilianzia pale Ntibazonkiza aliposukumwa na kunyang'anywa mpira. Pamoja na kelele za mashabiki, refa alipeta na kilichotokea kinafahamika.
Goli HARAMU. Hongera kwa wachezaji wa Yanga kwa kuonesha ukomavu na kuamua kupigana kufa kupona kulinda heshima ya Wananchi.View attachment 2183196
Labda mwananchi wa ukolokoloniHaya mm Ni mwananchi 96% ila ile penat ni ya mchongo
Bado unaendelea kunywa piwa!Haya mm Ni mwananchi 96% ila ile penat ni ya mchongo
Yaani wakati mwingine inashindwa kuelewa waamuzi wetu akili zao, goli limezaliwa baada ya faulo kubwa kuchezwa, mwamuzi kauchuna, isingekuwa juhudi za wachezaji wa Yanga kufanya shinikizo lililosababisha Geita Gold kuunawa mpira, basi ushindi ungekuwa umetengenezwa na mwamuzi.Build-up ya goli la Geita gold ilianzia pale Ntibazonkiza aliposukumwa na kunyang'anywa mpira. Pamoja na kelele za mashabiki, refa alipeta na kilichotokea kinafahamika.
Goli HARAMU. Hongera kwa wachezaji wa Yanga kwa kuonesha ukomavu na kuamua kupigana kufa kupona kulinda heshima ya Wananchi.View attachment 2183196
Mbona KUJIFUNGA mpira unatoka miguuni mwa mfungaji na linakuwa goli? Kwa nini kunawa ihesabiwe mpaka utoke mwingine?Tuwe wa kweli,haiwezi kuwa penat kwasababu mpira ulitoka mguuni kwa mpigaji mwenyewe
View attachment 2183380
Kumbe unaongelea kutetea Simba?Kwani ni Mara ya kwanza kuona?
Mbona mwaka Jana Simba walipata faulu ya hivyo na Bocco akafunga.