Goli la Geita gold ni haramu

Goli la Geita gold ni haramu

Jadili kuhusu goli la Geita gold
Simba na Yanga huwa wanapata penalty ambazo wapinzani wao ni nadra kuzipewa penalty za tukio la aina hiyo hiyo. Labda iwe clear sanaaa
 
Simba na Yanga huwa wanapata penalty ambazo wapinzani wao ni nadra kuzipewa penalty za tukio la aina hiyo hiyo. Labda iwe clear sanaaa
Hii naweza kukukubalia maana simba walipokuwa wanacheza na polisi,walipewa penati dakika ya 89.30 yaani imebaki sekunde 30 mpira uishe
 
Hii naweza kukukubalia maana simba walipokuwa wanacheza na polisi,walipewa penati dakika ya 89.30 yaani imebaki sekunde 30 mpira uishe
Ni kweli. Hata Tanga vs Coastal ,Beki wa Simba kwenye njano angefanya faul ile angeweza kuonywa tu kwa maneno
 
Build-up ya goli la Geita gold ilianzia pale Ntibazonkiza aliposukumwa na kunyang'anywa mpira. Pamoja na kelele za mashabiki, refa alipeta na kilichotokea kinafahamika.

Goli HARAMU. Hongera kwa wachezaji wa Yanga kwa kuonesha ukomavu na kuamua kupigana kufa kupona kulinda heshima ya Wananchi.View attachment 2183196
Haya buana! Jinga kweli
 
Marudio ya camera inaonyesha wazi aliunawa ule mpira alipokua anautoa nje..
 
Build-up ya goli la Geita gold ilianzia pale Ntibazonkiza aliposukumwa na kunyang'anywa mpira. Pamoja na kelele za mashabiki, refa alipeta na kilichotokea kinafahamika.

Goli HARAMU. Hongera kwa wachezaji wa Yanga kwa kuonesha ukomavu na kuamua kupigana kufa kupona kulinda heshima ya Wananchi.View attachment 2183196
Yaani wakati mwingine inashindwa kuelewa waamuzi wetu akili zao, goli limezaliwa baada ya faulo kubwa kuchezwa, mwamuzi kauchuna, isingekuwa juhudi za wachezaji wa Yanga kufanya shinikizo lililosababisha Geita Gold kuunawa mpira, basi ushindi ungekuwa umetengenezwa na mwamuzi.
 
Back
Top Bottom