Weka sasa goli lenyewe tulione, sio kila mtu aliangaliaTuweke takwimu sawa na safari ya vilio na mbiu dhidi ya marefa kutoka kwa mashabiki vianze
Goli alilofunga Ngushi dhidi ya Dodoma Jiji ni clear offside Sasa sijui tuendelee kubaki kwenye makosa ya kibinadam au hatua zianze kuchukuliwa dhidi ya Wala rushwa
Kwa kuwa timu lako bovu auDaah, ligi iishie hapo
Kuna VAR muda si mrefu tatizo litakwishaTuweke takwimu sawa na safari ya vilio na mbiu dhidi ya marefa kutoka kwa mashabiki vianze
Goli alilofunga Ngushi dhidi ya Dodoma Jiji ni clear offside Sasa sijui tuendelee kubaki kwenye makosa ya kibinadam au hatua zianze kuchukuliwa dhidi ya Wala rushwa
Yanga anaendelea kupanda kwenye msimamo bila ya kucheza mechi.Daah, ligi iishie hapo
KIGOMA sio kwa Omba OMba,naona mgogo unalilia.Kigoma huwezi peleka var hata ikiwapo
Thubutu, huko duniani kuna VAR ila matatizo yako palepale, rejea spurs vs liverpoolKuna VAR muda si mrefu tatizo litakwisha