Goli la Mama lingeazia hatua ya makundi mashindano ya CAF

Goli la Mama lingeazia hatua ya makundi mashindano ya CAF

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Ni vigumu kumshawishi mtu kuwa Simba, Azam, Yanga na Coastal wamefanya usajili msimu huu sio kwaajili ya kucheza na Tabora United kwenye ligi, kwakuwa nafasi zao walizoshika kwenye NBC league walijua mapema kwamba watakwenda kushiriki mashindano ya CAF 2024/25.

Namchukia kupita kiasi nikimsikia mtu akisema habari za tatizo la muunganiko wa wachezaji kwenye timu wakati mashindano ya CAF waliyajua na sasa tayari yamefika na yameshaanza kutimua vumbi. Kila mtu nchini kuanzia juu kabisa kwa raia namba moja hadi mkulima na mfugaji kijijini angetamani kuona na kusikia timu zetu zote zinafanya vizuri.

Visingizio vya viongozi na benchi la ufundi kwenye kikosi ni sababu za wao kuondolewa kwenye nafasi zao kama timu zao hazitafikia angalau hatua ya makundi kwa kisingizio chochote.

Soma Pia: Rais angeachana na kulipa goli la mama akajenga uwanja wenye michezo mingi kama Olympic

Ningeshauri goli la Mama lingeanzia hatua ya makundi badala ya hatua za awali kabisa ili kupunguza flukes na chance kwenye pesa za walipakodi.
 
Ni vigumu kumshawishi mtu kuwa Simba, Azam, Yanga na Coastal wamefanya usajili msimu huu sio kwaajili ya kucheza na Tabora United kwenye ligi, kwakuwa nafasi zao walizoshika kwenye NBC league walijua mapema kwamba watakwenda kushiriki mashindano ya CAF 2024/25.

Namchukia kupita kiasi nikimsikia mtu akisema habari za tatizo la muunganiko wa wachezaji kwenye timu wakati mashindano ya CAF waliyajua na sasa tayari yamefika na yameshaanza kutimua vumbi. Kila mtu nchini kuanzia juu kabisa kwa raia namba moja hadi mkulima na mfugaji kijijini angetamani kuona na kusikia timu zetu zote zinafanya vizuri. Visingizio vya viongozi na benchi la ufundi kwenye kikosi ni sababu za wao kuondolewa kwenye nafasi zao kama timu zao hazitafikia angalau hatua ya makundi kwa kisingizio chochote.

Ningeshauli goli la Mama lingeanzia hatua ya makundi badala ya hatua za awali kabisa ili kupunguza flukes na chance kwenye pesa za walipakodi.
Zimeshaanza kutolewa Yanga walipata milioni 20 juzi na jana nina uhakika Azam alipata milioni 5 inatakiwa ushinde mechi usipo shinda hupewi mfano una goli 4 aliye kushinda ana goli 5 hupati
 
Zimeshaanza kutolewa Yanga walipata milioni 20 juzi na jana nina uhakika Azam alipata milioni 5 inatakiwa ishinde mechi usipo shinda hupewi mfano una goli 4 aliye kushinda ana goli 5 hupati
Mechi za awali ilitakiwa timu na wachezaji wafannye juhudi binafsi (self motivation) ili kuzifikia pesa za goli la mama hatua ya makundi. Mara nyingi hatua za awali kuna timu laini kuliko makundi na kuendelea.
 
Mechi za awali ilitakiwa timu na wachezaji wafannye juhudi binafsi (self motivation) ili kuzifikia pesa za goli la mama hatua ya makundi. Mara nyingi hatua za awali kuna timu laini kuliko makundi na kuendelea.
Malezi mema huanza nyumbani Charity begins at home
 
Wew kinakuuma Yanga kupata goli nyingi lakin siyo flukes sijui nin ulichosema
 
Wew kinakuuma Yanga kupata goli nyingi lakin siyo flukes sijui nin ulichosema
Ninamaanisha vital'O sio level ya Yanga kiasi cha kushindwa kuifunga mwenyewe bila motisha ya goli la mama. Goli la mama litumike vema kama booster kwenye mechi ngumu kuanzia makundi.
 
Ni vigumu kumshawishi mtu kuwa Simba, Azam, Yanga na Coastal wamefanya usajili msimu huu sio kwaajili ya kucheza na Tabora United kwenye ligi, kwakuwa nafasi zao walizoshika kwenye NBC league walijua mapema kwamba watakwenda kushiriki mashindano ya CAF 2024/25.

Namchukia kupita kiasi nikimsikia mtu akisema habari za tatizo la muunganiko wa wachezaji kwenye timu wakati mashindano ya CAF waliyajua na sasa tayari yamefika na yameshaanza kutimua vumbi. Kila mtu nchini kuanzia juu kabisa kwa raia namba moja hadi mkulima na mfugaji kijijini angetamani kuona na kusikia timu zetu zote zinafanya vizuri. Visingizio vya viongozi na benchi la ufundi kwenye kikosi ni sababu za wao kuondolewa kwenye nafasi zao kama timu zao hazitafikia angalau hatua ya makundi kwa kisingizio chochote.

Ningeshauli goli la Mama lingeanzia hatua ya makundi badala ya hatua za awali kabisa ili kupunguza flukes na chance kwenye pesa za walipakodi.
Eti flukes ; unazitafuta wewe? Wivu tu.
 
Wewe huna akiii kabisa, hela zetu walipa kodi zinakuwasha nini, hii mijitu ndiyo yenye roho mbaya
 
Huyu mama inaonekana anapenda sana magoli.yaani Kila goli milioni Tano
 
Ni vigumu kumshawishi mtu kuwa Simba, Azam, Yanga na Coastal wamefanya usajili msimu huu sio kwaajili ya kucheza na Tabora United kwenye ligi, kwakuwa nafasi zao walizoshika kwenye NBC league walijua mapema kwamba watakwenda kushiriki mashindano ya CAF 2024/25.

Namchukia kupita kiasi nikimsikia mtu akisema habari za tatizo la muunganiko wa wachezaji kwenye timu wakati mashindano ya CAF waliyajua na sasa tayari yamefika na yameshaanza kutimua vumbi. Kila mtu nchini kuanzia juu kabisa kwa raia namba moja hadi mkulima na mfugaji kijijini angetamani kuona na kusikia timu zetu zote zinafanya vizuri. Visingizio vya viongozi na benchi la ufundi kwenye kikosi ni sababu za wao kuondolewa kwenye nafasi zao kama timu zao hazitafikia angalau hatua ya makundi kwa kisingizio chochote.

Ningeshauli goli la Mama lingeanzia hatua ya makundi badala ya hatua za awali kabisa ili kupunguza flukes na chance kwenye pesa za walipakodi.
Kaa na simba yako...kodi ulilipa lini? TIN no yenyewe huna
 
Wa kununa na wanune. Sisi jumamosi hii tunakusanya nyingine 25; Vitalo watakuwa wametuachia 45 za mama.
 
Wa kununa na wanue. Sisi jumamosi hii tunakusanya nyingine 25; Vitalo watakuwa wamtuachia 45 za mama.
Sipingi hilo, lakiniiii, vital'o sio size yenu, haina tofaiti n ASAS na ZALAN
 
Back
Top Bottom