John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
CAF ilishamaliza mambo ya Ligi ya Mabingwa, kuanzia mchezaji bora na goli bora la week. Mnaleta mambo gani tena? Msituharibie swaumuGoli alilofunga Mayele dhidi ya US Monastir katika moja ya mechi za CAFCC Limetinga na kuwa moja ya goli bora CAFCC.
Tazama Link
Ndio...kama waliloshiriki wale MBUMBUMBU mwaka jana.Cafcc ndio ligi la maluza et??
Wanatamani sn 🤣🤣🤣Upotoshaji huu. Kichwa cha habari kinasema goli la Mayele ndiyo goli bora la CAFCC wakati magoli yako sijui 5 halafu goli bora kati ya hayo halijatajwa.
Kumbe mnayatamani yale mliyokuwa mnayaponda jana tu.
congo imefungwa na south sudanGoli la Fiston Mayele wa Yanga SC alilofunga dhidi ya US Monastir kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) limetajwa kuwa Goli Bora la Wiki.
Mayele alifunga goli hilo Machi 19, 2023 katika dimba la Benjamin Mkapa na kuifanya Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Monastir ya Tunisia.
#CAFCC
Nyie si ndo mnakataga keki nyie kisa ambundo kapiga tobo mtu au???Sisi Yanga tujitofautishe na Mbumbumbu fc kuhangaika na vitu vidogo. Mambo ya mchezaji wa wiki, goli la wiki tuwaachie mbumbumbu fc.
Kwa Sasa sio muda wa kusifiana Kwa vitu vidogo, Huu ni muda wa kuzungumzia makosa ya ki mbinu tuliyonayo na namna ya kuyarekebisha haraka.
Hatua tulizofikia hazikupi muda wa kukosea, wachezaji wanatakiwa wa focus kwenye namna ya kusaidiana kupunguza makosa.
Tushangilie vikombe si matukio ya wiki mojamoja au mwezi, Hivyo ndivyo wakubwa wanavyo ishi.y
hakuna ubaya kujipendekezaGoli la Fiston Mayele wa Yanga SC alilofunga dhidi ya US Monastir kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) limetajwa kuwa Goli Bora la Wiki.
Mayele alifunga goli hilo Machi 19, 2023 katika dimba la Benjamin Mkapa na kuifanya Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Monastir ya Tunisia.
#CAFCC
Mzigo ni wewe na Makolokolo wenzio mliowahi kuokolewa na Yanga msishuke ligi kuu kucheza ligi daraja la pili na umejizima data kabisa kama vile hujui kilichotokea.Kama Taifa inatupasa kulaani mwaka ambao yanga ilianzishwa,, utopolo ni mzigo kwa Taifa..
Unbeaten 49, ubingwa 29× , tumekuchapa kuliko timu zote duniani,Hakuna chochote yanga anaweza kufanya ambacho mnyama simba hajawahi kufanya,,.. haya tuambieni goli bora kwenye mashindano gani?
Sio CAFCC sema ligi ya LOOSERGoli alilofunga Mayele dhidi ya US Monastir katika moja ya mechi za CAFCC Limetinga na kuwa moja ya goli bora CAFCC.
Tazama Link
Wewe kichwa hakijapona.Kama Taifa inatupasa kulaani mwaka ambao yanga ilianzishwa,, utopolo ni mzigo kwa Taifa..