Goli la Mayele goli bora CAFCC

Goli la Mayele goli bora CAFCC

Mchezaji mvivu huyo anasubiria chapati ashushie na maji
 
Mzigo ni wewe na Makolokolo wenzio mliowahi kuokolewa na Yanga msishuke ligi kuu kucheza ligi daraja la pili na umejizima data kabisa kama vile hujui kilichotokea.
Na wewe unakaa kabisa kijiweni unasikiliza stori za wanywa kahawa na unaamini,, style up mkuu
 
Yanga itungiwe mtaala, ifundishwe kwenye elimu ya msingi na secondary
 
Sisi Yanga tujitofautishe na Mbumbumbu fc kuhangaika na vitu vidogo. Mambo ya mchezaji wa wiki, goli la wiki tuwaachie mbumbumbu fc.
Kwa Sasa sio muda wa kusifiana Kwa vitu vidogo, Huu ni muda wa kuzungumzia makosa ya ki mbinu tuliyonayo na namna ya kuyarekebisha haraka.
Hatua tulizofikia hazikupi muda wa kukosea, wachezaji wanatakiwa wa focus kwenye namna ya kusaidiana kupunguza makosa.
Tushangilie vikombe si matukio ya wiki mojamoja au mwezi, Hivyo ndivyo wakubwa wanavyo ishi.y
Hivi wewe bogus utaweza vipi kujitofautisha na vitu vidogo ikiwa unashiriki kombe la watoto?

Hujawahi kuwa na akili.
 
Nilijua hamtaanzisha uzi...kweli nyie ni gongowazi...
 
Back
Top Bottom