pass over
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 362
- 336
Sakho lilikuwa goli bora la mashndano ganiHakuna chochote yanga anaweza kufanya ambacho mnyama simba hajawahi kufanya,,.. haya tuambieni goli bora kwenye mashindano gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sakho lilikuwa goli bora la mashndano ganiHakuna chochote yanga anaweza kufanya ambacho mnyama simba hajawahi kufanya,,.. haya tuambieni goli bora kwenye mashindano gani?
Ubingwa wa mchongo, unbeaten za miamala,, huoni aibuUnbeaten 49, ubingwa 29× , tumekuchapa kuliko timu zote duniani,
Na wewe unakaa kabisa kijiweni unasikiliza stori za wanywa kahawa na unaamini,, style up mkuuMzigo ni wewe na Makolokolo wenzio mliowahi kuokolewa na Yanga msishuke ligi kuu kucheza ligi daraja la pili na umejizima data kabisa kama vile hujui kilichotokea.
Wewe ndo ujibu, kwasababu nyie ndo mlikua mki-underrate haya mashindano..Sakho lilikuwa goli bora la mashndano gani
Naamini ulikuwa haujazaliwa.Muulize tena aliyekusimulia muda huo mwiko ulikuwa wapi!Mzigo ni wewe na Makolokolo wenzio mliowahi kuokolewa na Yanga msishuke ligi kuu kucheza ligi daraja la pili na umejizima data kabisa kama vile hujui kilichotokea.
Unataka watoto wawe wajinga?Taifa litaharibika.Utopolo?Yanga itungiwe mtaala, ifundishwe kwenye elimu ya msingi na secondary
Pia, Yanga iwekwe kwenye katiba mpyaUnataka watoto wawe wajinga?Taifa litaharibika.Utopolo?
Kutakuwa na maandamano kila siku kama Uarabuni.Tusithubutu.Pia, Yanga iwekwe kwenye katiba mpya
Hivi wewe bogus utaweza vipi kujitofautisha na vitu vidogo ikiwa unashiriki kombe la watoto?Sisi Yanga tujitofautishe na Mbumbumbu fc kuhangaika na vitu vidogo. Mambo ya mchezaji wa wiki, goli la wiki tuwaachie mbumbumbu fc.
Kwa Sasa sio muda wa kusifiana Kwa vitu vidogo, Huu ni muda wa kuzungumzia makosa ya ki mbinu tuliyonayo na namna ya kuyarekebisha haraka.
Hatua tulizofikia hazikupi muda wa kukosea, wachezaji wanatakiwa wa focus kwenye namna ya kusaidiana kupunguza makosa.
Tushangilie vikombe si matukio ya wiki mojamoja au mwezi, Hivyo ndivyo wakubwa wanavyo ishi.y
Ila kabwili kwenye mtaala asiwepoYanga itungiwe mtaala, ifundishwe kwenye elimu ya msingi na secondary