Goli la Mukwala ni goli Bora Sana

Goli la Mukwala ni goli Bora Sana

Makolo bhana.

Hili goli pia ni mafanikio yenu sawa na yale ya kufungua WhatsApp channel
 
Kuna mahali nimesema ni mafanikio? Mukwala kafunga goli bora sana.
Ndugu mbumbumbu Goli Bora alitokani na hisia za mashabiki au timu iliyo funga
Gori Bora ni Gori lililo fungwa kwa Sanaa iliyo tukuka ya mpira wa miguu.
Gori la Mukwala ni lakawaida na linaweza kufungwa ata na kibu kwakua mfungaji aliruka free hakukua na defender aliye msumbua.

Kama angekosa Gori ndio jambo ambalo linge shangaza, alichofanya ni kuruka na kuelekeza mpira golini.
 
Ndugu mbumbumbu Goli Bora alitokani na hisia za mashabiki au timu iliyo funga
Gori Bora ni Gori lililo fungwa kwa Sanaa iliyo tukuka ya mpira wa miguu.
Gori la Mukwala ni lakawaida na linaweza kufungwa ata na kibu kwakua mfungaji aliruka free hakukua na defender aliye msumbua.

Kama angekosa Gori ndio jambo ambalo linge shangaza, alichofanya ni kuruka na kuelekeza mpira golini.
Mpaka uwe unaliangalia lile goli kiweledi ndiyo utajua ubora wake
 
Goli Bora huwa na mambo yafuatayo.

1. Umuhimu wa goli
2. Limefungwaje
3. Juhudi na weledi wa mfungaji
4. Ubora na defensi ya waliofungwa.

Sijasema goli zuri bali nimesema goli bora. Mkwala kafunga goli bora Sana.
Waaaahhhhh
 
Weka picha tuone wengine hatuangaliagi game za bongo
 
Mpaka uwe unaliangalia lile goli kiweledi ndiyo utajua ubora wake
Kama uki liangalia kwa undani na fikra pevu, Lile Gori ubora wake unakuja kwakua limekwenda kutuliza Hali ya hewa pale Msimbazi.
Mechi ingeisha kwa suluhu watu wangehoji ubora wa Mukwala, ubora wa Kocha , Matumizi ya bilioni Saba katika kikosi Cha Simba.

Lile Gori limekwenda kuzuia ayo yote kwasasa kabla siku ya malalamiko haija fika kwakua haipo mbali.
 
Goli Bora huwa na mambo yafuatayo.

1. Umuhimu wa goli
2. Limefungwaje
3. Juhudi na weledi wa mfungaji
4. Ubora na defensi ya waliofungwa.

Sijasema goli zuri bali nimesema goli bora. Mkwala kafunga goli bora Sana.
Kafunga goli MUHIMU basi, zingine mbwembwe tu.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Chura anapolia kuliko Sokwe.Mashujaa wa Kigoma wamefungwa lakini wanaopiga mayowe ni mashujaa wa Jangwani.
 
Ndugu mbumbumbu Goli Bora alitokani na hisia za mashabiki au timu iliyo funga
Gori Bora ni Gori lililo fungwa kwa Sanaa iliyo tukuka ya mpira wa miguu.
Gori la Mukwala ni lakawaida na linaweza kufungwa ata na kibu kwakua mfungaji aliruka free hakukua na defender aliye msumbua.

Kama angekosa Gori ndio jambo ambalo linge shangaza, alichofanya ni kuruka na kuelekeza mpira golini.
Utakufa kwa presha..
 
Back
Top Bottom