Na kwenye kikosi Bora cha week yupo maestro Ngoma TU kutoka team za Tanzania unaonaje hii.Mind u ....Simba kwenye hatua hii ya makundi tuna goal Moja tu....
Tena la penalty
Ukibisha ....naleta records
Teh teh ....Na kwenye kikosi Bora cha week yupo maestro Ngoma TU kutoka team za Tanzania unaonaje hii.
Haha hiyo calculated risk chiefUkitapeliwa....usijekuomba ushauri hapa jf
Na usisahau kuwa na ana point 2 na huyo mwenye goli bora la wiki ana point 1 kwenye michezo 2Mind u ....Simba kwenye hatua hii ya makundi tuna goal Moja tu....
Tena la penalty
Ukibisha ....naleta records
Points 2 zinaweza kuwa 2 au 3 na piont moja inaweza kuwa 2 au 4..Na usisahau kuwa na ana point 2 na huyo mwenye goli bora la wiki ana point 1 kwenye michezo 2
Points 2 zinaweza kuwa 3 au 4 zaidi ya hapo hakuna kinginePoints 2 zinaweza kuwa 2 au 3 na piont moja inaweza kuwa 2 au 4..
Points 2 haziwezi kuwa 5 hilo haliwezekani.
hivi, aziz ki ni overrated? au kwasababu wanamjua ubaya wake huwa anakabwa hadi anashindwa kufanay vitu vyake?Shirikisho la Soka Barani Afrika limelichagua goli alilofunga Mchezaji wa Yangasc, Pacome Zouzoua dhidi ya Al Ahly kuwa ndilo Goli Bora la Wiki kwenye mechi za pili hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Wananchi hapo vipi?
[emoji871] @anoth_paul
#GoalOfTheWeek #PacomeZouzoua #CAFCL #MatchDay2
Simba tungekuwa naye huyu angetupeleka final!
View attachment 2833719
AaahaaaaMind u ....Simba kwenye hatua hii ya makundi tuna goal Moja tu....
Tena la penalty
Ukibisha ....naleta records
Wabongo ndo wanazipa online engagements hizo pageLile Goli la pili la Nouadhibou walilowafunga Pyramid ni zaidi ya Goli nilitegemea hata litakua Goli bora la msimu...
Sema page ya CAF wameshajua wabongo ndo mashabiki wao lazima wawape ili mpige nduru...
Na Pacome jeNa kwenye kikosi Bora cha week yupo maestro Ngoma TU kutoka team za Tanzania unaonaje hii.
Nashauri kwa Master Gamondi Aziz Ki aanzie benchi. Wanamkamia Ile mbaya.hivi, aziz ki ni overrated? au kwasababu wanamjua ubaya wake huwa anakabwa hadi anashindwa kufanay vitu vyake?
Kwan utopolo wanayo kumi.kwanza wana negative 😜😜Mind u ....Simba kwenye hatua hii ya makundi tuna goal Moja tu....
Tena la penalty
Ukibisha ....naleta records