Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Ndiyo anakabwa sanahivi, aziz ki ni overrated? au kwasababu wanamjua ubaya wake huwa anakabwa hadi anashindwa kufanay vitu vyake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo anakabwa sanahivi, aziz ki ni overrated? au kwasababu wanamjua ubaya wake huwa anakabwa hadi anashindwa kufanay vitu vyake?
Daaah Page za CAF zinajaa likes na comments za wabongo [emoji23][emoji23]Lile Goli la pili la Nouadhibou walilowafunga Pyramid ni zaidi ya Goli nilitegemea hata litakua Goli bora la msimu...
Sema page ya CAF wameshajua wabongo ndo mashabiki wao lazima wawape ili mpige nduru...
Nabisha!Mind u ....Simba kwenye hatua hii ya makundi tuna goal Moja tu....
Tena la penalty
Ukibisha ....naleta records
Hata miye sikutegemea angeweza funga paleIla kusema ule ukweli, lile goli linastahili. Maana lilikuwa ni la kibabe sana. Binafsi hata sikulitarajia.
Hata miye nashangaa kama ilivyo avatar yakoHivi huyu jamaa mpira ulimgonga mguu au alituliza na kupiga fastafasta. Kuna kitu alikifanya pale sikukielewa.
Mbona na nyie mko kwenye haya mashindano au umesahau mara hiiShirikisho la Soka Barani Afrika limelichagua goli alilofunga Mchezaji wa Yangasc, Pacome Zouzoua dhidi ya Al Ahly kuwa ndilo Goli Bora la Wiki kwenye mechi za pili hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Wananchi hapo vipi?
[emoji871] @anoth_paul
#GoalOfTheWeek #PacomeZouzoua #CAFCL #MatchDay2
Simba tungekuwa naye huyu angetupeleka final!
View attachment 2833719
Achana na Timu ya wengine fikirieni pale Ghana mtatokaje hamujawahi kushinda mechi hatua ya makundi tangu 1974Mind u ....Simba kwenye hatua hii ya makundi tuna goal Moja tu....
Tena la penalty
Ukibisha ....naleta records