OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
HahahahhhGoli makini kabisa lililofungwa na mchezaji Shiza Kichuya mchezaji wa Simba SC limechorewa mchoro kisayansi na wataalam. Goli hilo la kusawazisha dhidi ya Yanga katika mechi ya siku ya jumamosi lilifungwa na mchezaji huyo tegemezi kupitia mpira wa kona ulioingia moja kwa moja na kumuacha goli kipa wa Yanga akishika kichwa.
FIFA wamelitambua goli hilo na wanalifanyia kazi goli hilo katika vikao vyao na wataliingiza katika kumbukumbu zao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] zile rangi zina laana ya mchongayanga kama LIPUMBA tu
Wataalam wa handballYanga wanaona gere
Wataalam wa handball
aka chaneta queens.Wataalam wa handball
kushoto...nakumbuka msimu mmoja sadio mane alifunga goli kama lile lakin si mpira wa kona alijaribu kugeuka alipofunga tu ilibidi akae chini kuuguza maumiv maana ile angle hapana ilikuwa kati ya Soton vs ArsenaleHivi kichuya lile goli alifunga na mguu wa kulia au kushotoo?