Goli la Shiza Kichuya(Simba SC) lachorewa mchoro Kisayansi

yanga ana piga magoli ya kimaradona

arsenal ameiga toka yanga

wazungu huiga mambo ya maana tu.

mpinzani wa arsenal hawezi fanya ujinga kama wa ssc
 
goli kama lile hutokea tena kila baada ya miaka 10 duniani kote. Safari hii limepatikana TANZANIA
Watanzania tuna bahati sana mwaka huu, juzi juzi kupatwa kwa mwezi kumetokea Tanzania, tena Mbeya, ambayo ni nadra sana kutokea duniani. Hata miezi miwili haijaisha goli la namna hiyo linatokea tena Tanzania! Mweee jobha, Apatwile Mwakajua!
 
Nilifurahi sana Kichuya kukata ngebe za wazee wa Jangwani but mbona mchoro unaonyesha alitumia mguu wa kulia wakati kiuhalisia ni kwamba alitumia mguu wa kushoto? au sijaelewa uliposema limecholewa mchoro!!!
Just for illustration
 
H
Hii nakumbuka shuleni tulikuwa tunaiita ANGLE THETA.
 

Mbona picha inaonesha anapigia kulia wakati alitumia kushoto kufunga goli...........au mchoro wa kwako huu???!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…