Goli la Shiza Kichuya(Simba SC) lachorewa mchoro Kisayansi

Wacha uongo wewe..
Goli kama hilo hata Azam walifungwa na timu ya African Lyon.....
Wabongo kwa uzushi duh[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Na HENRY alipiga goli kama hilo akiwa USA.
 
Hhood mayanja alifunga dhidi ya azam kama LA kichuya.
Ni mchezaji wa African Lyon
George nketto wa twiga sports ya kinondoni alifunga goli km lile dhidi ya simba pale shamba bibi,nakumbuka kaseja alikuwa ndio kipa wa cmba
 
Goli la Tambwe limeingizwa katika kushindania magoli bora ya netball
 
yanga kama LIPUMBA tu
[emoji13]
 
Na goli la Tambwe lile la mkono kama kauli mbiu ya Chama chetu lichunguzwe
 
Nchi yetu INA bahati ,kupatwa kwa jua,tetemeko na sasa goli LA kisayansi.
 
Mbona kichuya mwenyewe ni mzungu?????
 
Wacha uongo wewe..
Goli kama hilo hata Azam walifungwa na timu ya African Lyon.....
Wabongo kwa uzushi duh[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Wacha uongo wewe..
Goli kama hilo hata Azam walifungwa na timu ya African Lyon.....
Wabongo kwa uzushi duh[emoji124] [emoji124] [emoji124]
goli la Kichuya linawakilisha nchi kitaifa,nyie Yanga acheni husda.hili goli sio la Simba tu,ni la Watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…