Dah huko wachovuBora timu ya taifa iundwe na wazznzibari ambao wameonyesha uwezo mkubwa wa mpira kuliko wachezaji wetu wengi wa bara.
Goli lile la Manula, kapanguliandani badala ya konzi la nje.Hivi yule beki aliyetoa kona iliyozaa goli alikuwa anawaza nini maana hakukuwa na pressure yoyote au aliweka mzigo kwa Mhindi?
Angalau hata Manula alikuwa na pressure so unaweza kumlaumu kidogo. Kona haitolewi kwa kujisikia kama vile tu unataka kutoa simu mfukoni.Goli lile la Manula, kapanguliandani badala ya konzi la nje.
Anapangua kama anacheza volleyballGoli lile la Manula, kapanguliandani badala ya konzi la nje.
Wanaweza hao...Na bora hawaja kqalifai kwenda kamerun. mana wangetutia aibu kubwa.
Hivi yule beki aliyetoa kona iliyozaa goli alikuwa anawaza nini maana hakukuwa na pressure yoyote au aliweka mzigo kwa Mhindi?
Ana kadi mbili za NjanoKwanini Mbwana Samatta hakucheza?
Mkuu aisei kumbe tuliacha siku moja kuishangilia hii timu ya vidudu mtu..!Hii timu iko Dar kila mtu Dar ni mjuaji bora hata ingepelekwa Rukwa huko.