Inonga anaendelea kuutumia huo utalam wa kuteleza kiwaahadaa mshabiki na goli zinaingia na mzgo atabebeshwa Kennedy tu.Unamlaumu vipi Inonga wakati aliteleza na kuumia pale?ulidhani kajifanyisha kuanguka na wakati kaikosa mechi ya Coastal kwa kuumia kule?Ungekuwa umewahi kucheza japo mpira ungeelewa
hawezi kukuelewa usijitese.Unamlaumu vipi Inonga wakati aliteleza na kuumia pale?ulidhani kajifanyisha kuanguka na wakati kaikosa mechi ya Coastal kwa kuumia kule?Ungekuwa umewahi kucheza japo mpira ungeelewa
Hakuna atakayekumbusha hili. Nimewapa madhaifu ya Lakred wanasema mpira uligonga Mwamba Kwanza. Nashangaa Mechi ya Jana goli la Coast mpira uligonga Mwamba gani?Lile goli hakuna kipa anadaka,alishawahi kufungwa diarra na shiza kichuya
Ungekuwa umewahi kucheza mpira ungetambua kuwa mchezaji hapendi kukosa mechi kwa sababu yoyote,dakrari wa timu kakiri Inonga kaumia,kwa hiyo unataka kusema Kennedy alikubali kugeuzwa makusudi kwa sababu Inonga kajifanyisha?Akili za wapi hizi?Inonga anaendelea kuutumia huo utalam wa kuteleza kiwaahadaa mshabiki na goli zinaingia na mzgo atabebeshwa Kennedy tu.
Mpira unaouzungumzia ni upi, mbna unajikuta mchezaji mkuu, unanijua ama unaongea Bila uhakika.Ungekuwa umewahi kucheza mpira ungetambua kuwa mchezaji hapendi kukosa mechi kwa sababu yoyote,dakrari wa timu kakiri Inonga kaumia,kwa hiyo unataka kusema Kennedy alikubali kugeuzwa makusudi kwa sababu Inonga kajifanyisha?Akili za wapi hizi?
Hawakutupiwa majini bali wameyaokota wenyewe!Kuna mashabiki wa Simba utafikiri wametupiwa majini ya Mayele, kipa wa Simba akiwa Manual goli lolote atakalofungwa watamsingizia kauza mechi bila kuangalia Nini kilisababisha goli.
Ukiacha goli dhidi ya Prisons,Inonga aliteleza tena lini goli likaingia?Huyu Inonga huyu huyu anayemweka benchi Batibinsika wa Saint Etiene kwenye timu ya taifa?Haina haja ya kukufahamu,maneno yako tu yanaonesha hujui mpira.Mpira unaouzungumzia ni upi, mbna unajikuta mchezaji mkuu, unanijua ama unaongea Bila uhakika.
Mpira nmecheza na ninaufahamu, kuhusu Inonga ataendelea na utaratibu huohuo wa kuteleza akiwaaminisha kaumia na goli zinaingia .
Tukianza hoja za kuujua mpira tutafika mbali, Inonga anamakosa kibao tu, na haihitaji utaalam kuyaona na ni mzur kucheza na fikra za shabiki.Ukiacha goli dhidi ya Prisons,Inonga aliteleza tena lini goli likaingia?Huyu Inonga huyu huyu anayemweka benchi Batibinsika wa Saint Etiene kwenye timu ya taifa?Haina haja ya kukufahamu,maneno yako tu yanaonesha hujui mpira.
Kwa engo ile kiungo yoyote anayejua boli,akishaona kipa kasogea mbele hata hatua moja tu anapiga banana chop kipa anabaki anaogelea tu.,magoli safi sana yaleHakuna atakayekumbusha hili. Nimewapa madhaifu ya Lakred wanasema mpira uligonga Mwamba Kwanza. Nashangaa Mechi ya Jana goli la Coast mpira uligonga Mwamba gani?
Haumfahau vizuri huyo jamaa ni bingwa wa drama akiona game nzito hua anajivunjaLini Inonga alijifanyisha kuumia na kukosa mechi?Unadhani kuna mchezaji anapenda kukosa mechi kwa sababu zozote zile?labda kama ile mechi ulitazama kwenye TV ya Chogo
Kaangalie mechi ya Yanga na Simba kombe la FA ilichezwa Mwanza, alipanda na mpira akaporwa ikapigwa counter attack alipo ona kachomesha akajidondosha chini ili aoenekane hakuhusika na mistake, kuna mechi ya Azam FC na Simba alifanya mbwembwe akanyang'aywa mpira alipo ona wanaenda kufungwa akajilazaUkiacha goli dhidi ya Prisons,Inonga aliteleza tena lini goli likaingia?Huyu Inonga huyu huyu anayemweka benchi Batibinsika wa Saint Etiene kwenye timu ya taifa?Haina haja ya kukufahamu,maneno yako tu yanaonesha hujui mpira.
Ni kama Una hoja, hebu ngoja niingie chimbo.Kaangalie mechi ya Yanga na Simba kombe la FA ilichezwa Mwanza, alipanda na mpira akaporwa ikapigwa counter attack alipo ona kachomesha akajidondosha chini ili aoenekane hakuhusika na mistake, kuna mechi ya Azam FC na Simba alifanya mbwembwe akanyang'aywa mpira alipo ona wanaenda kufungwa akajilaza
Wewe na makocha nani anajua mpira,kocha gani atakubali kumpanga beki mwenye makosa kibao tena mbele ya beki anayecheza ligi kuu Ufaransa?hayo makosa kibao unayaona peke yako?Inonga ameshatwaa tuzo ya beki bora Congo na Tanzania,mtu asiyejua mpira pekee atakubaliana na weweTukianza hoja za kuujua mpira tutafika mbali, Inonga anamakosa kibao tu, na haihitaji utaalam kuyaona na ni mzur kucheza na fikra za shabiki.
Prisons na Coastal Union ni gemu nzito?taja hata gemu moja aliyojivunjaHaumfahau vizuri huyo jamaa ni bingwa wa drama akiona game nzito hua anajivunja