Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Sinema inaanza Steering akiwa Aish Manula. Tambala linaitwa SimbaVsPrison. Ghafla watazamaji wanaanza kumzomea Steering sababu ya;
Hafai[emoji441][emoji441]
Mpuuzi[emoji441][emoji441]
Kaisha [emoji445][emoji445]
Kauza[emoji441][emoji441][emoji441]
Fukuza[emoji3548][emoji375][emoji373]
Bora Lakred huyu kazeeka.
Lakini Jana Lakred kapigwa goli ambalo ni dhahiri ni yeye tu anayepaswa kulaumiwa maana mpira umepigwa toka mbali na Mtakatifu wa Kusini, hakukuwa na nafasi ya Beki kuokoa mpira ule wa juu, lakini cha kushangaza poor positioning ya kipa inawapa goli Coast.
Cha ajabu mpaka naandika thread hii sijaona yeyote akimlaumu Lakred. Au yeye hapaswi kulaumiwa kama Manula aliyebebeshwa lawama baada ya mabeki wote wa Kati kupigwa chenga na kudondoka. Nabaki na Manula Kwa maana ni kipa mzuri na akikosea ni kama kipa mwingine. Nadhani tumeanza kusahau makosa ya Lakred Mechi ya Zambia.
Hafai[emoji441][emoji441]
Mpuuzi[emoji441][emoji441]
Kaisha [emoji445][emoji445]
Kauza[emoji441][emoji441][emoji441]
Fukuza[emoji3548][emoji375][emoji373]
Bora Lakred huyu kazeeka.
Lakini Jana Lakred kapigwa goli ambalo ni dhahiri ni yeye tu anayepaswa kulaumiwa maana mpira umepigwa toka mbali na Mtakatifu wa Kusini, hakukuwa na nafasi ya Beki kuokoa mpira ule wa juu, lakini cha kushangaza poor positioning ya kipa inawapa goli Coast.
Cha ajabu mpaka naandika thread hii sijaona yeyote akimlaumu Lakred. Au yeye hapaswi kulaumiwa kama Manula aliyebebeshwa lawama baada ya mabeki wote wa Kati kupigwa chenga na kudondoka. Nabaki na Manula Kwa maana ni kipa mzuri na akikosea ni kama kipa mwingine. Nadhani tumeanza kusahau makosa ya Lakred Mechi ya Zambia.