Huu ni mwanzo mzuri, sasa wale waliobaki nao wafunge magoli ya haraka haraka kabla mabeki wao hawajajipanga sawa
Wenye ujasiri huo sio wengi. Nimemshangaa sana Selelii remarks yake kwamba Mpendazoe angemtaka ushauri angemwambia asiondoke na kwamba yeye hatatoka CCM. Wengi ni aina hiyo ya kuganga njaa na hawajui wanatetea nini.
Big up Mpendazoe.