demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Ninawapongeza watani kwa ushindi. Lakini ushindi wenu umejaa sintofahamu sana. Maana usajili wenu hauendani na aina ya mpira mnaocheza.
Yaani butua butua zimekuwa nyingi mno. Mmekosa kabisa uhatari katika lango laa mpinzani kama wenzenu Yanga.
Nadhani wengi wetu tumeona game ya Yanga pale Arusha. Licha ya changamoto ya ubora aa uwanja bado walicheza mpira safi mno.
Imagine wao ndio wangekuwa wanaanza na Geita G FC tena kwenye kapeti la Lupaso, Nina uhakika wangepiga goli zaidi ya 6 hivi leo.
Watani timu yenu bado haija settle vya kutosha, cha ajabu zaidi inaonekana hata kocha wenu bado hajapata first 11 yake. Ugonjwa ule ule mliokuwa nao last season.
Watani ninaona mkifanya vibaya sana kwenye viwanja vya nje ya Dar. Msipo badilika basi mtaiacha meza mapema tu.
Yaani butua butua zimekuwa nyingi mno. Mmekosa kabisa uhatari katika lango laa mpinzani kama wenzenu Yanga.
Nadhani wengi wetu tumeona game ya Yanga pale Arusha. Licha ya changamoto ya ubora aa uwanja bado walicheza mpira safi mno.
Imagine wao ndio wangekuwa wanaanza na Geita G FC tena kwenye kapeti la Lupaso, Nina uhakika wangepiga goli zaidi ya 6 hivi leo.
Watani timu yenu bado haija settle vya kutosha, cha ajabu zaidi inaonekana hata kocha wenu bado hajapata first 11 yake. Ugonjwa ule ule mliokuwa nao last season.
Watani ninaona mkifanya vibaya sana kwenye viwanja vya nje ya Dar. Msipo badilika basi mtaiacha meza mapema tu.