Goli ya kwanza KMC against Yanga match fixing imefanyika

Goli ya kwanza KMC against Yanga match fixing imefanyika

Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.

Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.

Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.

Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.

Sent using Jamii Forums mobile app
labda kama hujui mchezo wa mpira,hivi unakumbuka penati na yule mnyarwanda wa singida united?
 
Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.

Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.

Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.

Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi tufanye 2-0 kuondoa ukakasi wa hilo goli la kwanza unasemaje we kolo

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kwa Hali kama hii Kuna sababu Gani serikali inachelewesha ujenzi wa mnara wa Rage na Akidi imetimia.
Ni sahihi. Hawa vijana na hizi nyuzi zao sijui hawafikirii wakati wa kuandika kwani wanajidharirisha na kujitia aibu sana.
 
Wewe una akili ndogo sana ya kufikiria, sasa kama ilikuwa ni match fixing huyo beki alikuwa anahaja gani ya kuangaika kuokoa? Na kipa nae alikuwa na sababu gani ya kuangaika kuokoa ile shuti? Si angeruka pembeni tu au angesimama tu kuungalia mpira kama alivyofanya yule kipa wa Tabora dhidi ya Simba? Mpira wa KMC ndio ule ule wa kujiamini kuanzia kwa kipa na kwenda mbele kama uliangalia mechi ya Simba vs KMC utaona KMC ni kawaida kurudisha mpira kwa kipa na kuanzisha mashambulizi tokea golini kwao. Kama lengo ni kuwapa Yanga goli basi walikuwa hawana sababu ya kupambana kuokoa kwa kuwango kikubwa vile.
Match fixing huongi timu nzima. Unacheza na key players mfano kipa. Beki
 
Vip lile goli la Fred dhidi ya tabora ulilielewa wewe dunduka au ulimuelewa kipa wa tabora?
Yule kipa alikula mlungula.
 
Kwa Hali kama hii Kuna sababu Gani serikali inachelewesha ujenzi wa mnara wa Rage na Akidi imetimia.
Na mnara wa Luc Eymael na Mayele waliosema kwamba Yanga ni MANYANI NA MAMMBWA na mayele akisema yanga wanatumia majini kushinda mechi
 
Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.

Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.

Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.

Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata 5imba walituulizia magoli matano..!!
 
Mwamba alikua sahihi kabisa.
JamiiForums1568655207.jpg
 
Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.

Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.

Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.

Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zile tano tano zai na nyie ilikuwaje?
 
Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.

Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.

Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.

Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tuma salamu kwa watu watatu
 
Back
Top Bottom