Golikipa Djigui Diarra wa Yanga anawania tuzo ya golikipa bora afrika kwenye tuzo za CAF 2023. Ni Diarra, ni Yanga na ni vita huko CAF

Golikipa Djigui Diarra wa Yanga anawania tuzo ya golikipa bora afrika kwenye tuzo za CAF 2023. Ni Diarra, ni Yanga na ni vita huko CAF

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
20231101_130512.jpg
 
Kwakweli Diara anastahili kabisa na atabeba hiyo tuzo bila wasiwasi
Katika vipengele ambavyo mshindi yuko wazi ni hicho za goalkeeper bora.
 
Hawezi beba, mafanikio ya yanga kufika fainali yamembeba. Kuna Onans, kipa wa Morocco, kipa wa Al ahly na wengineo Bora. Ukija short list ndio mtaona. Pamoja na kuwaponda Simba lakini tayari kawatangulia kwa kutoa mchezaji mwenye goli Bora.
 
Back
Top Bottom