Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Giuseppe, umenishawishi kutumia MB's zangu kutazama/kumtazama Kipa huyu katika Mikwaju hii ya Penati.....!!
Kama sio Maigizo, ningeshauri Yanga tumsajiri huyu KIPA, atatusaidia sana hasa tukikutana tena katika Mechi na Watani (Simba).....joke..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo real ni comedy wakuu
You have made my daaaaaay[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipendi kuona damu sijui kwa nini
huyu kipa ni special case inabidi watani wa jadi Yanga waende awape siri ya mafanikio haswa wanapofika kwenye hatua ya penati ili wasiwe wanafungwa kirahisi rahisi.
Hii ilikuwa match kweli au kiini macho
Kama wewe ni wa kiume sawa.
ha ha ha ha
weka basi hata like tano, au bonyeza kile kitufe cha kuongezea nini sijui.
Giuseppe, umenishawishi kutumia MB's zangu kutazama/kumtazama Kipa huyu katika Mikwaju hii ya Penati.....!!
Kama sio Maigizo, ningeshauri Yanga tumsajiri huyu KIPA, atatusaidia sana hasa tukikutana tena katika Mechi na Watani (Simba).....joke..!!
Sent using Jamii Forums mobile app