Golikipa wa ajabu

Golikipa wa ajabu


You have made my daaaaaay[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu kipa ni special case inabidi watani wa jadi Yanga waende awape siri ya mafanikio haswa wanapofika kwenye hatua ya penati ili wasiwe wanafungwa kirahisi rahisi.
 
Giuseppe, umenishawishi kutumia MB's zangu kutazama/kumtazama Kipa huyu katika Mikwaju hii ya Penati.....!!

Kama sio Maigizo, ningeshauri Yanga tumsajiri huyu KIPA, atatusaidia sana hasa tukikutana tena katika Mechi na Watani (Simba).....joke..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Giuseppe, umenishawishi kutumia MB's zangu kutazama/kumtazama Kipa huyu katika Mikwaju hii ya Penati.....!!

Kama sio Maigizo, ningeshauri Yanga tumsajiri huyu KIPA, atatusaidia sana hasa tukikutana tena katika Mechi na Watani (Simba).....joke..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
GettyImages-185002046-5772f4153df78cb62ce1ad69.jpg
 
Mkuu hatari kipa huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo real ni comedy wakuu
You have made my daaaaaay[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sipendi kuona damu sijui kwa nini

huyu kipa ni special case inabidi watani wa jadi Yanga waende awape siri ya mafanikio haswa wanapofika kwenye hatua ya penati ili wasiwe wanafungwa kirahisi rahisi.

Hii ilikuwa match kweli au kiini macho

Kama wewe ni wa kiume sawa.

ha ha ha ha


Umenifurahisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app

weka basi hata like tano, au bonyeza kile kitufe cha kuongezea nini sijui.

Giuseppe, umenishawishi kutumia MB's zangu kutazama/kumtazama Kipa huyu katika Mikwaju hii ya Penati.....!!

Kama sio Maigizo, ningeshauri Yanga tumsajiri huyu KIPA, atatusaidia sana hasa tukikutana tena katika Mechi na Watani (Simba).....joke..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom