Kideme
JF-Expert Member
- Apr 13, 2020
- 258
- 250
Vit! Taarifa zinatatanishaMwanzo tulivyopewa habari ni kana kwamba goma yote wamechukua,kumbe fardc airport wanayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vit! Taarifa zinatatanishaMwanzo tulivyopewa habari ni kana kwamba goma yote wamechukua,kumbe fardc airport wanayo
Kwa mujibu wa nani?....ielewemitaa:?Hatoboi wakati ameshika Goma kwa zaidi ya 70% ?
Kuna taarifa zinadai Jeshi la congo lime piga RwandaHii mbinu ya kupiga ndani ya Rwanda nimeikubali,inaweza amsha hamasa ya wanaompinga kagame pale Rwanda....kumvuruga PK inabidi kuanzie ndani kwake.
Pale Rwanda ni suala la muda tu,kuna watu wakipata mwanya kagame atakua na hali mbaya.
Jeshi la namna hii unategemea maajabu, wanajeshi 1200 wamesalimu amri hawapiganiKwa mujibu wa nani?....ielewemitaa:?