GOMA: Wanajeshi wa FARDC waamua kujisalimisha kwenye kambi ya jeshi ya M23

GOMA: Wanajeshi wa FARDC waamua kujisalimisha kwenye kambi ya jeshi ya M23

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Baada ya wiki mbili, kufuatia vita vya serikali ya DRC na kundi la waasi la M23, wanajeshi wa FARDC, waliokuwa wamekimbilia kwenye kambi ya MONUSCO, wameamua kutoka na kujipeleka kwenye kambi ya jeshi ya M23 ili iamue yenyewe hatma ya maisha yao.

Hili limetokana na maisha magumu waliokuwa wakipitia wakiwa huko kwenye kambi ya MONUSCO. Huduma za mhiumu ikiwemo maji na chakula, vimekuwa changamoto kubwa kwao, huku serikali na yenyewe ikikaa kimya, jambo waliloona kama kutelekezwa, na kuamua kujisalimisha.

Awali, waliojisalimisha, walipelekwa kambi ya jeshi ya Katindo,walihudumiwa,na wenyewe kukili hawakutegemea wangepokelewa vizuri.

Badae walipelekwa kambi ya Rumangabo, kwa ajili ya masomo maalumu, baada ya hapo watakaokuwa na nia ya kuendelea na jeshi na kukizi vigezo, watapewa mafunzo ya kijeshi yatakayowawezesha kujiunga na jeshi hilo.

Watakaojisikia kupumzika na wale waliotupwa na umri, watawezeshwa kurudi uraiani. Kwa mjibu wa uongozi wa AFC/M23, wanajeshi hao licha ya kukamatwa na kuwa chini ya ulinzi wa M23, mishahara yao watalipwa kama kawaida.
 
Hili limetokana na maisha magumu waliokuwa wakipitia wakiwa huko kwenye kambi ya MONUSCO. Huduma za mhiumu ikiwemo maji na chakula, vimekuwa changamoto kubwa kwao, huku serikali na yenyewe ikikaa kimya, jambo waliloona kama kutelekezwa, na kuamua kujisalimisha
Unataka kutuaminisha kuwa, M23 ni tajiri kuliko MUNUSCO. Kichekesho!!!!!!!!
Uongo mwingine, jitahidi kuupanga vizuri.
 
Unataka kutuaminisha kuwa, M23 ni tajiri kuliko MUNUSCO. Kichekesho!!!!!!!!
Uongo mwingine, jitahidi kuupanga vizuri.
Hii ngoma inachezwa vizuri kweli, inawekezekana kabisa wakawa wameishi maisha ya tabu sana MONUSCO kwa sababu maalumum,

MONUSCO wenyewe ni wanufaika wa hivyo vita ,ni wazi waliwapa huduma mbovu kisha wakaweka nafasi ya wao kwenda kujisalimisha m23 ili tu ngwasuma iendelelee,..

Mbaya zaidi watu wamepewa matibabu,posho, mishahara imepanda hapo mtu ni mateka akijiunga nao je?

Haya uongozi wa jeshi la Congo nao ulikua wapi kuwanusuru askari wake?

FARDC molari iko chini vibaya vibaya dah mpaka huruma msaada mkubwa ni kutoka kwa warundi sasa
 
Hao wenzao,kuna ugumu gani wa maisha kambi ya monusco?
Mwanajeshi wa Congo sawa na Wazaramo kweli kabisa yani wadai maji akuna chakula akuna misitu yote ile uyu Wanajesh kweli au mcheza Boringo ata Waanzabe wetu Wanaishi kwa matunda lkn Mjesh wa Congo anataka Mkate chai asubui maji Safi!!!!! Ndio mana ichi kadhaa Wanagawana ile nchi!!!! Akili ya Vita awana!!
 
Baada ya wiki mbili, kufuatia vita vya serikali ya DRC na kundi la waasi la M23, wanajeshi wa FARDC, waliokuwa wamekimbilia kwenye kambi ya MONUSCO, wameamua kutoka na kujipeleka kwenye kambi ya jeshi ya M23 ili iamue yenyewe hatma ya maisha yao.

Hili limetokana na maisha magumu waliokuwa wakipitia wakiwa huko kwenye kambi ya MONUSCO. Huduma za mhiumu ikiwemo maji na chakula, vimekuwa changamoto kubwa kwao, huku serikali na yenyewe ikikaa kimya, jambo waliloona kama kutelekezwa, na kuamua kujisalimisha.

Awali, waliojisalimisha, walipelekwa kambi ya jeshi ya Katindo,walihudumiwa,na wenyewe kukili hawakutegemea wangepokelewa vizuri.

Badae walipelekwa kambi ya Rumangabo, kwa ajili ya masomo maalumu, baada ya hapo watakaokuwa na nia ya kuendelea na jeshi na kukizi vigezo, watapewa mafunzo ya kijeshi yatakayowawezesha kujiunga na jeshi hilo.

Watakaojisikia kupumzika na wale waliotupwa na umri, watawezeshwa kurudi uraiani. Kwa mjibu wa uongozi wa AFC/M23, wanajeshi hao licha ya kukamatwa na kuwa chini ya ulinzi wa M23, mishahara yao watalipwa kama kawaida.
hakuna waasi dunian wapo smart kias hiki , hata Urusi hawakuwa smart kias kwa wanajeshi wa Ukraine , hawa ni mabeberu wamejificha nyuma ya M23 , waafrika ni mabogus baada ya miaka 10 ndo tutaanza jifanya tunaanza elewa , HAKUNA WAASI WENY UWEZO HUO WA KUWATUNZA NA KUWAPA MAFUNZO WANAJESHI WA DRC NA KUWAWEZESHA WENGINE KURUDI URAIAN , HAHAAA HIZI SIO AKILI ZA MWAFRIKA , ACHA TUJIFANYE HATUELEWI
 
Mwanajeshi wa Congo sawa na Wazalomo kweli kabisa yani wadai maji akuna chakula akuna misitu yote ile uyu Mwajash kweli au mcheza Boringo ata Waanzabe wetu Wanaishi kwa matunda lkn Mjesh wa Congo anataka Mkate chai asubui maji Safi!!!!! Ndio mana ichi kadhaa Wanagawana ile nchi!!!! Akili ya Vita awana!!
hv hata hali ya DRC unaielewa kwanz , panyaroad wanakushinda utapaweza DRC kweny vikundi 100 vya kiasi
 
Hii ngoma inachezwa vizuri kweli, inawekezekana kabisa wakawa wameishi maisha ya tabu sana MONUSCO kwa sababu maalumum,

MONUSCO wenyewe ni wanufaika wa hivyo vita ,ni wazi waliwapa huduma mbovu kisha wakaweka nafasi ya wao kwenda kujisalimisha m23 ili tu ngwasuma iendelelee,..

Mbaya zaidi watu wamepewa matibabu,posho, mishahara imepanda hapo mtu ni mateka akijiunga nao je?

Haya uongozi wa jeshi la Congo nao ulikua wapi kuwanusuru askari wake?

FARDC molari iko chini vibaya vibaya dah mpaka huruma msaada mkubwa ni kutoka kwa warundi sasa
jaman mnalaumu jeshi la DRC ,linalopigana na vikundi vya kiasi zaid ya 100 ilihali jeshi lenu limewashindwa panyaroad wasio na silaha , DRC ipewe pongez mpk hapo ilipo
 
Baada ya wiki mbili, kufuatia vita vya serikali ya DRC na kundi la waasi la M23, wanajeshi wa FARDC, waliokuwa wamekimbilia kwenye kambi ya MONUSCO, wameamua kutoka na kujipeleka kwenye kambi ya jeshi ya M23 ili iamue yenyewe hatma ya maisha yao.

Hili limetokana na maisha magumu waliokuwa wakipitia wakiwa huko kwenye kambi ya MONUSCO. Huduma za mhiumu ikiwemo maji na chakula, vimekuwa changamoto kubwa kwao, huku serikali na yenyewe ikikaa kimya, jambo waliloona kama kutelekezwa, na kuamua kujisalimisha.

Awali, waliojisalimisha, walipelekwa kambi ya jeshi ya Katindo,walihudumiwa,na wenyewe kukili hawakutegemea wangepokelewa vizuri.

Badae walipelekwa kambi ya Rumangabo, kwa ajili ya masomo maalumu, baada ya hapo watakaokuwa na nia ya kuendelea na jeshi na kukizi vigezo, watapewa mafunzo ya kijeshi yatakayowawezesha kujiunga na jeshi hilo.

Watakaojisikia kupumzika na wale waliotupwa na umri, watawezeshwa kurudi uraiani. Kwa mjibu wa uongozi wa AFC/M23, wanajeshi hao licha ya kukamatwa na kuwa chini ya ulinzi wa M23, mishahara yao watalipwa kama kawaida.
Wanajeshi wa drc hata hawajui wanapigania nini.
 
hv hata hali ya DRC unaielewa kwanz , panyaroad wanakushinda utapaweza DRC kweny vikundi 100 vya kiasi
Tz kwenye suala la kufagia uasi/uhalifu isikie tu,hutumia ukatili mkubwa,pale mkiru(mkuranga,kibiti,rufiji) ukatili mkubwa umefanyika, majambazi wanaujua ukatili wa polisi wa bongo,hayo makundi ya waasi ingekua tz,wangeshapotea siku nyingi na mapoti yangejaa mizoga na mafuvu ya watu
 
Mwanajeshi wa Congo sawa na Wazalomo kweli kabisa yani wadai maji akuna chakula akuna misitu yote ile uyu Mwajash kweli au mcheza Boringo ata Waanzabe wetu Wanaishi kwa matunda lkn Mjesh wa Congo anataka Mkate chai asubui maji Safi!!!!! Ndio mana ichi kadhaa Wanagawana ile nchi!!!! Akili ya Vita awana!!
Wazalomo ndio kina nani?
 
Back
Top Bottom