Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Mara ya mwisho lini kusikia ripoti ya panya road Tanzania?jaman mnalaumu jeshi la DRC ,linalopigana na vikundi vya kiasi zaid ya 100 ilihali jeshi lenu limewashindwa panyaroad wasio na silaha , DRC ipewe pongez mpk hapo ilipo
Duh!...,hii kali...Baada ya wiki mbili, kufuatia vita vya serikali ya DRC na kundi la waasi la M23, wanajeshi wa FARDC, waliokuwa wamekimbilia kwenye kambi ya MONUSCO, wameamua kutoka na kujipeleka kwenye kambi ya jeshi ya M23 ili iamue yenyewe hatma ya maisha yao.
Hili limetokana na maisha magumu waliokuwa wakipitia wakiwa huko kwenye kambi ya MONUSCO. Huduma za mhiumu ikiwemo maji na chakula, vimekuwa changamoto kubwa kwao, huku serikali na yenyewe ikikaa kimya, jambo waliloona kama kutelekezwa, na kuamua kujisalimisha.
Awali, waliojisalimisha, walipelekwa kambi ya jeshi ya Katindo,walihudumiwa,na wenyewe kukili hawakutegemea wangepokelewa vizuri.
Badae walipelekwa kambi ya Rumangabo, kwa ajili ya masomo maalumu, baada ya hapo watakaokuwa na nia ya kuendelea na jeshi na kukizi vigezo, watapewa mafunzo ya kijeshi yatakayowawezesha kujiunga na jeshi hilo.
Watakaojisikia kupumzika na wale waliotupwa na umri, watawezeshwa kurudi uraiani. Kwa mjibu wa uongozi wa AFC/M23, wanajeshi hao licha ya kukamatwa na kuwa chini ya ulinzi wa M23, mishahara yao watalipwa kama kawaida.
Najiuliza kwa nini Tanzania tumeamua kukaa pembeni tukimuacha Kagame achukue DRC.Hii ngoma inachezwa vizuri kweli, inawekezekana kabisa wakawa wameishi maisha ya tabu sana MONUSCO kwa sababu maalumum,
MONUSCO wenyewe ni wanufaika wa hivyo vita ,ni wazi waliwapa huduma mbovu kisha wakaweka nafasi ya wao kwenda kujisalimisha m23 ili tu ngwasuma iendelelee,..
Mbaya zaidi watu wamepewa matibabu,posho, mishahara imepanda hapo mtu ni mateka akijiunga nao je?
Haya uongozi wa jeshi la Congo nao ulikua wapi kuwanusuru askari wake?
FARDC molari iko chini vibaya vibaya dah mpaka huruma msaada mkubwa ni kutoka kwa warundi sasa
CONGO PUMBAVU KABISA.
RWANDA INAINGIA MALA 90 KWA UKUBWA WA CONGO.
INAPIGWA NA KANCHI KADOGO HIVYO???
SHENZI KABISA
Kama habari hii itakuwa ni ya kweli, basi hao wafungwa wa kivita watakuwa ni wa kwanza duniani kutendewa ukarimu wa namna hiyo wakiwa mikononi mwa adui!Baada ya wiki mbili, kufuatia vita vya serikali ya DRC na kundi la waasi la M23, wanajeshi wa FARDC, waliokuwa wamekimbilia kwenye kambi ya MONUSCO, wameamua kutoka na kujipeleka kwenye kambi ya jeshi ya M23 ili iamue yenyewe hatma ya maisha yao.
Hili limetokana na maisha magumu waliokuwa wakipitia wakiwa huko kwenye kambi ya MONUSCO. Huduma za mhiumu ikiwemo maji na chakula, vimekuwa changamoto kubwa kwao, huku serikali na yenyewe ikikaa kimya, jambo waliloona kama kutelekezwa, na kuamua kujisalimisha.
Awali, waliojisalimisha, walipelekwa kambi ya jeshi ya Katindo,walihudumiwa,na wenyewe kukili hawakutegemea wangepokelewa vizuri.
Badae walipelekwa kambi ya Rumangabo, kwa ajili ya masomo maalumu, baada ya hapo watakaokuwa na nia ya kuendelea na jeshi na kukizi vigezo, watapewa mafunzo ya kijeshi yatakayowawezesha kujiunga na jeshi hilo.
Watakaojisikia kupumzika na wale waliotupwa na umri, watawezeshwa kurudi uraiani. Kwa mjibu wa uongozi wa AFC/M23, wanajeshi hao licha ya kukamatwa na kuwa chini ya ulinzi wa M23, mishahara yao watalipwa kama kawaida.
Sidhani kama itakuwa shida, maana hata wenzao waliokamatwa,walishapelekwa kwenye mafunzo upya bila kuwadhulu.Kama habari hii itakuwa ni ya kweli, basi hao wafungwa wa kivita watakuwa ni wa kwanza duniani kutendewa ukarimu wa namna hiyo wakiwa mikononi mwa adui!
Lakini Hicho Kiswahili 👆 👆Duh! labda kimeandikwa na mbeba AK 47 wa huko-huko.Mwanajeshi wa Congo sawa na Wazalomo kweli kabisa yani wadai maji akuna chakula akuna misitu yote ile uyu Mwajash kweli au mcheza Boringo ata Waanzabe wetu Wanaishi kwa matunda lkn Mjesh wa Congo anataka Mkate chai asubui maji Safi!!!!! Ndio mana ichi kadhaa Wanagawana ile nchi!!!! Akili ya Vita awana!!
Kabisa. Ni ajabu eti POW analipwa mshahara badala ya kuwa interrogated.Kama habari hii itakuwa ni ya kweli, basi hao wafungwa wa kivita watakuwa ni wa kwanza duniani kutendewa ukarimu wa namna hiyo wakiwa mikononi mwa adui!
Hakuna kitu hii ni propaganda ya wanyaruandaBaada ya wiki mbili, kufuatia vita vya serikali ya DRC na kundi la waasi la M23, wanajeshi wa FARDC, waliokuwa wamekimbilia kwenye kambi ya MONUSCO, wameamua kutoka na kujipeleka kwenye kambi ya jeshi ya M23 ili iamue yenyewe hatma ya maisha yao.
Hili limetokana na maisha magumu waliokuwa wakipitia wakiwa huko kwenye kambi ya MONUSCO. Huduma za mhiumu ikiwemo maji na chakula, vimekuwa changamoto kubwa kwao, huku serikali na yenyewe ikikaa kimya, jambo waliloona kama kutelekezwa, na kuamua kujisalimisha.
Awali, waliojisalimisha, walipelekwa kambi ya jeshi ya Katindo,walihudumiwa,na wenyewe kukili hawakutegemea wangepokelewa vizuri.
Badae walipelekwa kambi ya Rumangabo, kwa ajili ya masomo maalumu, baada ya hapo watakaokuwa na nia ya kuendelea na jeshi na kukizi vigezo, watapewa mafunzo ya kijeshi yatakayowawezesha kujiunga na jeshi hilo.
Watakaojisikia kupumzika na wale waliotupwa na umri, watawezeshwa kurudi uraiani. Kwa mjibu wa uongozi wa AFC/M23, wanajeshi hao licha ya kukamatwa na kuwa chini ya ulinzi wa M23, mishahara yao watalipwa kama kawaida.