Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Swali zuri kwa CCM na Kikwete, na si kwa wana MMU. Sisi tunapiga story za mapenzi ili kusahau matatizo yetu. By the way, wapo watu wankufa kila dakika kwa kukosa pesa ya kununulia dose ya malaria, wewe umeona la mabomu tu?