Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Mhhh nimeisikia THANKS hadi moyoni hahahahah! unaonaje ukigonga nyingi nyingi? By the way Utamu wa Gongo muulize hata Mh Waziri Mkuu wa zamani Jaji Joseph Warioba ama Raisi wa zamani wa Zanzibar Alhaji Amani Karume!
Mhhhh usiniambiee!!!!
Nimegundua si moyo tu na vitu vingine! hahahahaha
Hahhahahahaha....wala siulizi!!!
Ngoja nikuongezee nyingine.....labda ntapata ofa ya gongo!!!lolz