Gongo ipi Nzuri!

Mhhh nimeisikia THANKS hadi moyoni hahahahah! unaonaje ukigonga nyingi nyingi? By the way Utamu wa Gongo muulize hata Mh Waziri Mkuu wa zamani Jaji Joseph Warioba ama Raisi wa zamani wa Zanzibar Alhaji Amani Karume!

Mhhhh usiniambiee!!!!


Nimegundua si moyo tu na vitu vingine! hahahahaha

Hahhahahahaha....wala siulizi!!!
Ngoja nikuongezee nyingine.....labda ntapata ofa ya gongo!!!lolz
 
Hahhahahahaha....wala siulizi!!!
Ngoja nikuongezee nyingine.....labda ntapata ofa ya gongo!!!lolz

Jukwaa kwanza haliruhusu unaweza pata BAN bure! Mchungaji akakukosa kwenye ibada

Thanks for a chat nahisi kulewa sasa! Ngoja nipige lapa niishie nisave hela ya sikukuu.....kabla sijaondoka hebu nidondoshee PM nina kuahidi fanta ya gongo
 
Jukwaa kwanza haliruhusu unaweza pata BAN bure! Mchungaji akakukosa kwenye ibada

Thanks for a chat nahisi kulewa sasa! Ngoja nipige lapa niishie nisave hela ya sikukuu.....kabla sijaondoka hebu nidondoshee PM nina kuahidi fanta ya gongo

Should probably do the same.....kichwa kishaanza kuniuma!!!
Asante na ww mchungaji!!Hhahaahah fanta ya gongo huhh....nataka siku ya sikukuu hiyo!!!
 
i tried kidogo nilipokua high school, ila inishinda.that G is too dangerous. Kenya wanaita changàa inaua watu kila siku. Stop it kabisa.
 
ya mapapai na mavi inakufanya chini uwe mzima kinoma
Ndo maana demu akipata jamaa wa kutoka mara hamwachii
Nu kwa ajili ya shughuli anayompa:A S-alert1:
 

Maeneo ya Igogo mkuu, wa chini unamwona tu, manjagu hawapandi ovyo kule! kuna mama mmoja nimesahau jina lake, anatengeneza gongo la ukweli sana! Na pale chini wanaita Butimba - ziwani kabisa kwenye maji ndy viwanda vipo kibao! teh teh-Ukizoea gongo Konyagi haipandi! Muulize Mzee F. Sumaye anazijua kona zote mpaka Luchelele, ila yeye alikuwa anapenda sana Mataptap.
 
utakuwa umekunywa pingu pale kwenye vilima vya igogo bugando
 
i tried kidogo nilipokua high school, ila inishinda.that G is too dangerous. Kenya wanaita changàa inaua watu kila siku. Stop it kabisa.

Mkuu nimeanza nikiwa mtoto sasa na huu utu uzima siwezi kuacha!
 
ya mapapai na mavi inakufanya chini uwe mzima kinoma
Ndo maana demu akipata jamaa wa kutoka mara hamwachii
Nu kwa ajili ya shughuli anayompa:A S-alert1:

Ni zaidi ya viagra lazima ndoa iwe na heshima.... ndo maana wanywa gongo watoto wao wamefanana na baba zao
 

Hahahaah tapu tapu mkuu zinaleta vitambi sana! Enzi zile Sumaye ni Mwalimu wa Nyegezi hahahaah hata gongo alikuwa anapiga kule ziwani Luchelele!
 
Moshi wanaita Piwa( Pure) au Chang'aa, Mitambo Mingi ya Gongo kwa Moshi Iko Njoro wenyewe wanaita Msitu wa Njoro, Gongo ya Moshi inatengenezwa na Molasisi ambayo ni makabi ya Miwa kutoka kiwanda cha Sukari cha TPC, lakini kwa kuinogesha huwa wanachanganya na Mavi, Mikojo nasikia na Mapapai yaliyooza. Muulize Mzee wa Kiraracha juzi kafukuza Mwenyekiti wa Kijiji kwa Kunywa Piwa

Ila nashangaa sana pamoja na tofauti ya material ya Kutengenezea Gongo lakini hii kitu Harufu yake inafanana sana
 

Hahahah umenikumbusha pyuwa! Kule Marangu watengenezaji wapo kule mtoni karibu na kwa Mzee Macha. Gongo la mihongo halina harufu mazee. Basically gongo ni zao la fermentation of carbohydrate followed by distillation process! Rangi ya gongo hufanana Konyagi haioni ndani
 

I have never tried Gongo ila harufu yake naipenda sana, Wanywaji Gongo wengi huwa wanakunja sura wakati wa kumeza Gongo, hii hali kwa muda mrefu huwa inawafanya sura zao zimekunjika na midomo kuungua. Dah Ila Gongo Kiboko maana Mapolisi wengi wa Moshi ni Wanywa Piwa
 
Ila kwa kweli watu waliofanya Biashara ya Gongo kwa Miaka Mitano bila Kusumbuliwa na Dola wengi wamekuwa Matajiri sana maana hii kitu watu wengi wanakunywa
 
Umewahi kuionja ya kwetu Mtwara? Inatengenezwa kwa mabibo yaliyokaushwa. Ukiipata pure ina super spirit kiasi kwamba kwenye shoda ya mafuta ya taa tunaitumia kwenye vibatari
 
Mchungaji umenikumbusha kitu.Kule Kagera na kwingine kote gongo ni pome haramu na ;polisi wanawasaka wauzaji na watumiaji lakini waganda wanainunua kwa jumla kutoka kagera na kuipeleka uganda kwa siri na kuipaki kwenye vifuko fulani na kuirejesha kagera kama pombe halali .inaitwa walagi,empire nk.Hii ikoje mchungaji
 

Waganda ni Wajanja sana, Gongo imewaondolea wengi Umaskini, Gongo inalipa sana Mkuu kama unayo Fursa wewe Tengeneza tu Gongo kwa Wingi, ukiwa na Mitambo kama Kumi ya Kutengeneza Gongo unasema bye bye kwa Umaskini. Mimi hili linchi likinishinda nakuwa Mlanguzi wa Gongo tu basi
 

Hahahaah ni sehemu ya Ibada kukunja uso kumtisha Israel asikuchukue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…