jee wewe hujambi?Nasikia pia hawa wakoromaji wana jamba sana pyuuuuuuu!!!...
labda anapiga kitu kingine siyo mswaki. huwa anaingia bafuni na sabuni?Mi ninarafiki yangu akipiga mswaki anapiga kelele utadhani anakata roho! Yaani huwezi ku imagine hiyo sauti na huwa anajifungia bafuni lakini sauti inatoka utadhani yupo pembeni yako! Dah! Niambieni Hii ni tabia au ugonjwa?
duh.thithemi mielabda anapiga kitu kingine siyo mswaki. huwa anaingia bafuni na sabuni?
Kwani wewe ukiingia bafuni na sabuni huwa unapiga nini?labda anapiga kitu kingine siyo mswaki. huwa anaingia bafuni na sabuni?
Wanajf doctors, nina rafiki yangu ana ugonjwa ambao nyakati za usku akiwa amelala! Anakoroma kwa nguvu huku anapikicha sikio na pua,alafu ukimstua anastuka na ukimuuliza anakuwa hajui kilichokuwa kinaendelea!! Kwa kweli anaogopesha! Mwenye utaalamu!ushauri
Wanajf doctors, nina rafiki yangu ana ugonjwa ambao nyakati za usku akiwa amelala! Anakoroma kwa nguvu huku anapikicha sikio na pua,alafu ukimstua anastuka na ukimuuliza anakuwa hajui kilichokuwa kinaendelea!! Kwa kweli anaogopesha! Mwenye utaalamu!ushauri