Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Unalipi la kumkumbuka kitasa Pepe aliyetangaza kutundika daluga Leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa nainjoi sana kuangalia mechi za Ureno eneo la ulinzi kwa sababu yake. Haitakuwa ile Ureno tena kwangu, nimehuzunika.Unalipi la kumkumbuka kitasa Pepe aliyetangaza kutundika daluga Leo View attachment 3065420View attachment 3065421
Ametundika daruga?Unalipi la kumkumbuka kitasa Pepe aliyetangaza kutundika daluga Leo View attachment 3065420sView attachment 3065421
Hv alikosa namba au aliona kwa vipaji vilivyokuwepo brazil wakat huo ilikuwa ngumu kuonekana? ndo akaamua kwenda ureno akiwa ya hela ya ticket ya ndege ya kumpekeka ureno tu,Vile alivokuwa anaipenda Ureno huwezi jua kama alikuwa Mbrazil wa kuzaliwa kabisa ila kukosa namba kukamfanya afanye juhudi za kupata uraia wa Ureno..
Atakumbukwa sana. Mastar wengi waliopita Madrid wanaheshimu kazi yake.
Mreno uraia, mzaliwa wa brazil.Huyu kumbe ni mreno? Mie najuaga ni m Brazil, lol
Nilipofika, nilikuwa na kiasi cha euro tano. Ilinibidi niende Ofisi ya Mambo ya Nje kwa kuwa nilitoka Brazili peke yangu na nilikuwa na umri wa miaka 18 tu. Nilipaswa kupokea faksi kutoka kwa Marítimo ili kunipa ruhusa ya kuingia Ureno. Kwa pesa pekee niliyokuwa nayo, ilinibidi ninunue kadi ya simu ili nimpigie Mama yangu ili kumwambia kuwa nilikuwa sawa. Chaguo jingine lingekuwa kununua kitu cha kula. Niliwaza: "Hapana, nitapiga simu nyumbani ili Mama yangu asiwe na wasiwasi," Pepe alielezaHv alikosa namba au aliona kwa vipaji vilivyokuwepo brazil wakat huo ilikuwa ngumu kuonekana? ndo akaamua kwenda ureno akiwa ya hela ya ticket ya ndege ya kumpekeka ureno tu,
Jamaa alikuwa mpambanaji sanaNilipofika, nilikuwa na kiasi cha euro tano. Ilinibidi niende Ofisi ya Mambo ya Nje kwa kuwa nilitoka Brazili peke yangu na nilikuwa na umri wa miaka 18 tu. Nilipaswa kupokea faksi kutoka kwa Marítimo ili kunipa ruhusa ya kuingia Ureno. Kwa pesa pekee niliyokuwa nayo, ilinibidi ninunue kadi ya simu ili nimpigie Mama yangu ili kumwambia kuwa nilikuwa sawa. Chaguo jingine lingekuwa kununua kitu cha kula. Niliwaza: "Hapana, nitapiga simu nyumbani ili Mama yangu asiwe na wasiwasi," Pepe alieleza
Kwa maelezo ya Baba yake. PEPE. Kocha Dunga aliwasiliana nae kwa ajili ya kumweleza kuwa kulikuwa na dalili za yeye kuitwa kikosini ila Pepe aligomea akadai kuwa alikuwa anafuatilia issue yake ya kuhamia Portugal.Hv alikosa namba au aliona kwa vipaji vilivyokuwepo brazil wakat huo ilikuwa ngumu kuonekana? ndo akaamua kwenda ureno akiwa ya hela ya ticket ya ndege ya kumpekeka ureno tu,
Gen Z wanakuambia dinyo hakuwa mchezaji, alikuwa ball dancer,Pepe the pure evil
Ametufurahisha sana tuishi ishi badae tuanze kuambiwa na Gen Z Gabriel Malhales ni mkali kuliko pepe
tushike lipi, alikosa namba au alikataa dalili za kuitwa kikosini kutoka kwa dunga?Kwa maelezo ya Baba yake. PEPE. Kocha Dunga aliwasiliana nae kwa ajili ya kumweleza kuwa kulikuwa na dalili za yeye kuitwa kikosini ila Pepe aligomea akadai kuwa alikuwa anafuatilia issue yake ya kuhamia Portugal.
Lunyungu alifanya kazi yake haswa.A stara VisitaUnalipi la kumkumbuka kitasa Pepe aliyetangaza kutundika daluga Leo View attachment 3065420View attachment 3065421
Alikataa maana alishaona fursa Portugaltushike lipi, alikosa namba au alikataa dalili za kuitwa kikosini kutoka kwa dunga?
unajitahidi kufuatilia ishuz ila una wenge, ukipunguza wenge utakuwa vzuri.Alikataa maana alishaona fursa Portugal
Ahsante sana Mkuu kwa ushauri!unajitahidi kufuatilia ishuz ila una wenge, ukipunguza wenge utakuwa vzuri.