olando da costa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 505
- 379
Shauri yao.Kuna watu watakosa usingizi
Iwe kama lile jengo lao la ufipa linalozidi kuchakaa kila kukicha.Kwani hawa jamaa walitaka Tanzania iwe vipi?
Mataga hana jibu. Anajiropoka tuKwani hawa jamaa walitaka Tanzania iwe vipi?
Siyo kwa mdororo huu wa uchumiNinyi wapiga kelele wa Mbowe hamkutaka Tanzania ipate maendeleo?
Msukuma acha kubwatuka bwatuka huna dataNinyi wapiga kelele wa Mbowe hamkutaka Tanzania ipate maendeleo?
Unapiga ramli mzeeHuu mradi wa kuiigiza copy & paste toka China na Japan ni mgumu kweli kweli maana gharama yake kumlazimisha mkandarasi kuweka mbwembwe nyingii zisizo na lazima ili tu matarajio ya CCM Mpya kisiasa yatimie yanaifilisi nchi yetu Tanzania.
Kupitia video hii ya SGR reli Tanzania kulinganisha na mitandao ya reli za nchi zingine zenye uchumi mkubwa za Marekani ya Kaskazini, bara ulaya , Mashariki ya mbali China, Japan, Korea ya Kusini mpaka Oceania hapa CCM Mpya imeamua kutumia fedha nyingi bila ulazima wowote.
Tusubiri hii SGR reli Mpya itakayokuwa na urefu wa kilometa 1,200 kuona lini itakamilika na kama itaweza kuchochea makuzi ya kiuchumi na viwanda ndani ya Tanzania.
Maana tunaona ujenzi wa reli Mpya ukiendelea bila serikali kuanisha migodi mingapi ya makaa ya mawe ya Tanzania, viwanda vingapi vya ndani, mifugo ipi , mazao ya kilimo n.k itasafirishwa toka kona moja ya nchi yetu kwenda pembe nyingine ya Tanzania kuleta ajira rasmi nyingi za kuongeza thamani mazao, madini ya chuma pia upanuzi wa masoko ya ndani n.k
Hata wakoloni walileta maendeleo,wasingetesa watu wangeendelea kutawala Hadi sasaNinyi wapiga kelele wa Mbowe hamkutaka Tanzania ipate maendeleo?
Tunataka maendeleo ya watu na sio vitu ili akumbukwe kwenye vitu.Ninyi wapiga kelele wa Mbowe hamkutaka Tanzania ipate maendeleo?
Hata enzi za mkoloni kazi zilifanywa Hadi saa nane usiku na ujira ulikuwa mzuri kuliko wa serikali yako.Nani anatesa watu? Watu wanafanya kazi mpaka saa nane usiku.
Yaonekana kwamba wewe ni mtaalamu si tu wa usafirishaji (transportation) pia ni mwanauchumi. Kwa sababu hiyo ITAPENDEZA ukatoa maoni ni jinsi gani SGR itumike kuokoa fedha za mradi na kuleta tija na maendeleobm kwenye sekta ulixozitaja. Tofauti na hilo unavuvuzela tu lawama.Huu mradi wa kuiigiza copy & paste toka China na Japan ni mgumu kweli kweli maana gharama yake kumlazimisha mkandarasi kuweka mbwembwe nyingii zisizo na lazima ili tu matarajio ya CCM Mpya kisiasa yatimie yanaifilisi nchi yetu Tanzania.
Kupitia video hii ya SGR reli Tanzania kulinganisha na mitandao ya reli za nchi zingine zenye uchumi mkubwa za Marekani ya Kaskazini, bara ulaya , Mashariki ya mbali China, Japan, Korea ya Kusini mpaka Oceania hapa CCM Mpya imeamua kutumia fedha nyingi bila ulazima wowote.
Tusubiri hii SGR reli Mpya itakayokuwa na urefu wa kilometa 1,200 kuona lini itakamilika na kama itaweza kuchochea makuzi ya kiuchumi na viwanda ndani ya Tanzania.
Maana tunaona ujenzi wa reli Mpya ukiendelea bila serikali kuanisha migodi mingapi ya makaa ya mawe ya Tanzania, viwanda vingapi vya ndani, mifugo ipi , mazao ya kilimo n.k itasafirishwa toka kona moja ya nchi yetu kwenda pembe nyingine ya Tanzania kuleta ajira rasmi nyingi za kuongeza thamani mazao, madini ya chuma pia upanuzi wa masoko ya ndani n.k
Kwani saa hizi ziko salama? Rejea audit reports za CAG for 5 yrs.Unajua lengo la kuzuia Uhuru wa habari,miradi isiyo tija kiuchumi,kutaka kuuwa upinzani ili taarifa za wizi wa Kodi zao zisisikikeSubirini Chadema itawale muibe mali za umma. Ili mtajirike kupitia ufisadi.
Isiwe kisingizioMdororo wa uchumi umeletwa na Corona virus.