Good news: Diamond athibitisha Wasafi Tower kukamilika 95%

Majizzo ana ngapi EFM?
 
wewe ndo boya kabisa, wakati ana utajiri wa $10 million ndo ashindwe $1 million
Harmonize alikuwa anadaiwa 500mil akauza nyumba zake 3 lkn bado hazikutosha kulipa deni ebu imagine yani mpk mtu unaanza kuuza asset manake umeshikwa pabaya bank hakuna kitu lkn ukiingia youtube utaambiwa harmonize ana utajiri wa 5 bilion + halafu unashindwa kulipa 500mil mpk unauza asset
 
sawa but hiyo ni mzee
 
Yani kabisa unamfananisha Mond na kina Dre?[emoji41]

Stop hating and get inspired
 
sijasema harmonize nimesema diamond platinumz sawa baba lao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…