Tuwache uongo mziki kimziki diamond kafanikiwa hiv uliwahi kutegemea siku moja msanii wa Kitanzania atamiliki hotel?Kila mtu akitoa maona tofauti basi misukule ya domo inasema ni wivu,hivi nimuonee wivu domo kwa lipi? Hivi tz nzima ni yeye ndio aliyetoka zero? Mbona kuna Mabilionea wengi sana wana mpunga wa hatari na wameanzia sifuri na wala hatujawahi kuwasema? msilazimishe msanii wenu akubalike na watu wote!! Kuna wengine sio wapenzi wa muziki wake wa BENIBATI au MNANDA.
Yaani wewe ni zero brain ,unazungumzia Hotel au Restaurant? Hata Shishi Bebi anamiliki HOTEL.Tuwache uongo mziki kimziki diamond kafanikiwa hiv uliwahi kutegemea siku moja msanii wa Kitanzania atamiliki hotel?
Haya dada wa kibabuliKila mtu akitoa maona tofauti basi misukule ya domo inasema ni wivu,hivi nimuonee wivu domo kwa lipi? Hivi tz nzima ni yeye ndio aliyetoka zero? Mbona kuna Mabilionea wengi sana wana mpunga wa hatari na wameanzia sifuri na wala hatujawahi kuwasema? msilazimishe msanii wenu akubalike na watu wote!! Kuna wengine sio wapenzi wa muziki wake wa BENIBATI au MNANDA.
Duh! kwa hiyo ile sio hotel mzee baba unadharau Sana aisee labda mwenzetu una maisha mazuri ndio maana unaona ile Ni restaurantYaani wewe ni zero brain ,unazungumzia Hotel au Restaurant? Hata Shishi Bebi anamiliki HOTEL.
Aaah wap ataweza kweliHivi collabo ya Diamond na Wizkid inatoka ?
Sijui wanakwama wapiUmeongea point.
Baadae umaarufu ukiisha anakuja kuwa kama Mr. Nice hizo mali anazojifanyia promo wala hazitaonekana badae.
Hiyo hotel una uhakika ni yakeTuwache uongo mziki kimziki diamond kafanikiwa hiv uliwahi kutegemea siku moja msanii wa Kitanzania atamiliki hotel?
Kwani mzee ujui?Hiyo hotel una uhakika ni yake
Ndio tatizo lenu mtu akitoa maoni tofauti kuhusu boss wenu basi mnafikiri ni TIMU KIBAKULI, sina timu mimi hata huyo KIBAKULI mimi namuona BOYA tu.Haya dada wa kibabuli
Kama alitupiga changa la macho kwenye Rolls Royce hata kwenye Restaurant possible nalo ni changa la macho ,labda yeye kawekwa front ila kuna watu nyuma ndio wamiliki wa restaurant.Hiyo hotel una uhakika ni yake
wewe kumbe ni mgeni wa wasanii.Kwani mzee ujui?
Mpambe tu a.k.a chawaNani Mondi? Yeye asa ni kama nani ?
Hata kama ni mkongwe JF ,ukweli utasemwa tu,hao wasanii wenu ni MISIFA's CAMP mingi,kuongeza Sifuri tu sana,DOMO alishawahi kusema kwamba analeta Rolls Royce ipo kwenye maji ,huu mwaka wa 6 au wa 7 bado haijafika ,leo anatuambia wasafi Tower ipo 95% ndio yale yale ya MISIFA's CAMP ,mara nalipia watu kodi na bla bla kibao...Mbona simpigi Madongo KIBAKULI ingawa wote nawaona MABUMUNDA? KIBAKULI anafanya mambo ila kimya kimya ,akiweka wazi lazima tutoe SPANA ambapo hakupo sawa!! Sina Chuki na MSANII wowote ,DOMO akifanya vizuri nitatoa SIFA akiharibu atapigwa SPANA tu....DOmo namkubali kwenye Mbagala,Nitarejea,Make me sing,Inama,Kamwambie basi.
So unataka kuniambia signing ya document aliyokuwa anaonesha akifanya na mmiliki wa ile hotel aliyeuza Ni uongo? Mpaka akakututembeza maeneo yote ya ndani na nje ya hotel na akatutajia eneo ambalo ipo hiyo hotel inamaana hivyo vyote anaigiza?wewe kumbe ni mgeni wa wasanii.
Una umri gani kwanza?
So unataka kuniambia signing ya document aliyokuwa anaonesha akifanya na mmiliki wa ile hotel aliyeuza Ni uongo? Mpaka akakututembeza maeneo yote ya ndani na nje ya hotel na akatutajia eneo ambalo ipo hiyo hotel inamaana hivyo vyote anaigiza?
Hata Mimi naweza kusimama jukwaani nikasema namiliki Hotel ya nyota 5 kumbe nyuma ya pazia Hotel ni ya watu wanaokwepa mkono wa serikali wananitumiaKwani mzee ujui?
Collabo ipo na video yake ilishutiwa zanzibar mwaka jana na collabo nyingin ni rayvan X wizkid zote zimeshashootiwa video labda inasubiliwa timing tuuHivi collabo ya Diamond na Wizkid inatoka ?
Hizo Ni fikra zako kwa level alifikia diamond sio za kudanganya umma na adanganye umma ili iweje? Mzee usikariri maisha sio kila msanii anaweza kuishi maisha ya kufakeHata Mimi naweza kusimama jukwaani nikasema namiliki Hotel ya nyota 5 kumbe nyuma ya pazia Hotel ni ya watu wanaokwepa mkono wa serikali wananitumia
Tufanye ana 1% mimi nasema Heshima yake apewe tu hamna escaping ktk hili panapohitaji kusifiwa na pasifiwe maana hata angekua na 0.1% bado atabaki kuwa mfano wa kuigwa kwa vijana wengi,nani anajali hisa ni zake au si zake.Tufanye ana asilimia 10 bado nasema sio mchezo.