Hata kama ni mkongwe JF ,ukweli utasemwa tu,hao wasanii wenu ni MISIFA's CAMP mingi,kuongeza Sifuri tu sana,DOMO alishawahi kusema kwamba analeta Rolls Royce ipo kwenye maji ,huu mwaka wa 6 au wa 7 bado haijafika ,leo anatuambia wasafi Tower ipo 95% ndio yale yale ya MISIFA's CAMP ,mara nalipia watu kodi na bla bla kibao...Mbona simpigi Madongo KIBAKULI ingawa wote nawaona MABUMUNDA? KIBAKULI anafanya mambo ila kimya kimya ,akiweka wazi lazima tutoe SPANA ambapo hakupo sawa!! Sina Chuki na MSANII wowote ,DOMO akifanya vizuri nitatoa SIFA akiharibu atapigwa SPANA tu....DOmo namkubali kwenye Mbagala,Nitarejea,Make me sing,Inama,Kamwambie basi.