[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo ni sawa uje bongo alafu upige picha na afande sele mkiwa studio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka kwa sauti ya juu sanaHapo ni sawa uje bongo alafu upige picha na afande sele mkiwa studio
I was about to ask you about him.why that nigga was jailed?? I heard Snoop snitched him.That nigga is a G for real.....do you know B.G Knocc out?I know Tha East Sidaz. Tray Dee is true G.
Kabadili jina baada ya kuandikwa jina pale Hall of Fame mwaka 2017. Akaenda Jamaica na kuwa Rastafarian kisha akajiita Snoop Lion. Akatoa movie moja 2018 kisha baadae akatoa Album akarudia jina lake la Snoop Dogg. Mwishoni akatoa Gospel album.Kua mkweli.
Nitajie wimbo wako wa mwisho kuusikia wa Snoop?
Unajua kama alibadili jina?
I was about to ask you about him.why that nigga was jailed?? I heard Snoop snitched him.That nigga is a G for real.....do you know B.G Knocc out?
he is from Compton...he is a baby face Gangsta like the late Nipsey Hussle [emoji3][emoji3][emoji3]Tray Dee has a couple of interviews too on that platform, just check it out. Baby Gangsta Knocc Out? A real G, his interviews dope too.
Suge said Snoop's a rat. Can't prove it, but I can see it.
[emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie khaaah.Sawa Juma lokole umesomeka,
Naona umetoka mafichoni toke ile issue ya BET award kubuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo ni sawa uje bongo alafu upige picha na afande sele mkiwa studio
[emoji23][emoji23][emoji23]Nyie mjazeni mwenzenu ananogewa na kitu cha marekani [emoji100][emoji100]
Anaelewa sana Diamond platinumz Ni geniusView attachment 1853270
Ninajiuliza swali lakini sipati jibu lake. Je, Diamond Platnumz anaelewa kile anachoambiwa hapo na Rapa Snoop Dogg Dog?
Utajijibu mwenyewe hapo.
Tulia Mimi sio inno kijanaDogo inno umerudi baada ya mchongo wa Tuzo kupita [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Snoop Dogg ni Grammy winner [emoji471][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuliza fuvuHapo ni sawa uje bongo alafu upige picha na afande sele mkiwa studio
Sawa James Delicious [emoji39]Sawa Juma lokole umesomeka,
Naona umetoka mafichoni toke ile issue ya BET award kubuma.
Don't hate be inspiredYaani hapo walipokaa utafikiri snoop yuko na demu wake
Endelea kukaza fuvu? Nilichoandika na ulichonidrag mpaka hapa vitu viwili tofauti.
FactSnoop Lion alilitumia kidogo sana alipofanya reggae album project ilipoisha akarudia jina la zamani
Kalale kijana sokomokoSimshangai huyu hanangwa mleta uzi
Nawashangaa wanaocoment hapa.
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]