njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Mungu ni mkubwa sana, baada ya figisu ya kumfungia miaka 2 msemaji aliyeipa ubingwa Yanga baada ya kuukosa kwa miaka 4 ndugu Manara , figisu ziliendelea sana
Tukaona wachezaji wa Yanga wakitaka kuvunjwa miguu marefa kimya, adhabu ya Inonga hadi leo kimya, kamati ya masaa 72 huwa ni kuwaadhibu Yanga tu
Yakaja ya Kisinda ila Mungu ni mkubwa kawapiga upofu kwenye roho zao mbaya sasa Kisinda anaenda kupima watu umri tusubiri mambio yale , ma assits yake, magoli yake, maudambwiudambwi, ma skills yake,dah itakuwa hatari sana
HABARI NJEMA TOKA CAF ni kwamba baada ya figisu figisu za Karia na Rais wa CAF Motsepe za kubadili kanuni majuzi tu ili FISTON LEWANDOSKI HARLAND MAYELE asichukue ufungaji bora wa CAF watu wenye nia njema na Yanga huko CAIRO makao makuu ya CAF na wasio na chuki dhidi ya klabu hiyo kubwa na bora kabisa barani Afrika kwa sasa wamesema NO, sheria ibaki kama ilivyo
Wananchi leo mjitokeze kwa wingi kushuhudia Fiston the greatest of all time Mayele akipiga bao 7 na kufikisha bao kumi hivyo kuibuka mfungaji bora wa champions league mwaka huu
Party ya kusheherekea KIATU CHA DHAHABU CHA CAF 2022/23 KUTUA YANGA itafanyika Kidimbwi baadaye usiku
Tukaona wachezaji wa Yanga wakitaka kuvunjwa miguu marefa kimya, adhabu ya Inonga hadi leo kimya, kamati ya masaa 72 huwa ni kuwaadhibu Yanga tu
Yakaja ya Kisinda ila Mungu ni mkubwa kawapiga upofu kwenye roho zao mbaya sasa Kisinda anaenda kupima watu umri tusubiri mambio yale , ma assits yake, magoli yake, maudambwiudambwi, ma skills yake,dah itakuwa hatari sana
HABARI NJEMA TOKA CAF ni kwamba baada ya figisu figisu za Karia na Rais wa CAF Motsepe za kubadili kanuni majuzi tu ili FISTON LEWANDOSKI HARLAND MAYELE asichukue ufungaji bora wa CAF watu wenye nia njema na Yanga huko CAIRO makao makuu ya CAF na wasio na chuki dhidi ya klabu hiyo kubwa na bora kabisa barani Afrika kwa sasa wamesema NO, sheria ibaki kama ilivyo
Wananchi leo mjitokeze kwa wingi kushuhudia Fiston the greatest of all time Mayele akipiga bao 7 na kufikisha bao kumi hivyo kuibuka mfungaji bora wa champions league mwaka huu
Party ya kusheherekea KIATU CHA DHAHABU CHA CAF 2022/23 KUTUA YANGA itafanyika Kidimbwi baadaye usiku