GOOD NEWS

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
15,267
Reaction score
29,917
```GOOD NEWS: Serikali imesema kuwa bei mpya ya sukari kwanzia mwezi ujao itakuwa Tsh. 1000 kwa kilo moja.```

SOURCE: Gazeti MAJIRA November 1998.. napenda sana kusoma news za zamani.
 
afadhali miaka hyo walijibu maombi yetu siku iyo nilikuwa nipo natoka shule nkakutana n gazeti ilo....teh kam nlikuepo
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€nimeingia nikajua bonge la newZ mhhh!
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji2] [emoji38]....
Bange mbichi mbaya saanaa
 
Ugonjwa wa akili unasumbua watu kwa serikali gani itakayowafanyia ivo tz nyie tulieni muisome number...
 
```GOOD NEWS: Serikali imesema kuwa bei mpya ya sukari kwanzia mwezi ujao itakuwa Tsh. 1000 kwa kilo moja.```

SOURCE: Gazeti MAJIRA November 1998.. napenda sana kusoma news za zamani.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Daaa dunian kuna mengi mungu nijalie niendlee kuish nione maajabu ya uumbaji wakoo!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…