Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaa.. yani kazi sana. Tunakaa tu tunasubiria Mungu akijaalia ila wakati wa kusubiria sasa tunavuta muda na warundi [emoji23][emoji23][emoji23]Huweji kujua nani utampenda ,utamkuta wapi? Muda gani ? Kwanini yeye? Unaempenda anaweza kuwa hata taahira lakini unampenda tu...hayo ndio mapenzi.
Hahahahaa.. yani kazi sana. Tunakaa tu tunasubiria Mungu akijaalia ila wakati wa kusubiria sasa tunavuta muda na warundi [emoji23][emoji23][emoji23]
Seneta hata huku bongo si zipo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kama nampenda beb navuka boda tu hamna shidaHahahahahahah mrundi lazima akuvushe boda,kule utaenda kunywa bia zinaitwa senetor.Ukimaliza bia moja chaliiii..
Seneta hata huku bongo si zipo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kama nampenda beb navuka boda tu hamna shida
@Ledada my unaitwaNamtafuta my wangu
Mkimuona mniite au mumwambie nakufwaa na kumhamu balaaa
Wewe si umekataa kuwa my wangu, sawa tu.@Ledada my unaitwa
Haha the best couple ever[emoji23] [emoji125] [emoji125]New couple in town[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] si nimekuitia my wako jamani ledadaWewe si umekataa kuwa my wangu, sawa tu.
Uliambiwa chelewa chelewa utakuta mwana si wakoSawa bana...
SawaUliambiwa chelewa chelewa utakuta mwana si wako
Sisi tu wavivu wakufungua siledii....ungetakiwa iwe ina trend sana mida hii [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haha the best couple ever[emoji23] [emoji125] [emoji125]
Hilo tuuu wala usihofu,kazi ya kesho iyoSisi tu wavivu wakufungua siledii....ungetakiwa iwe ina trend sana mida hii [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimekuja mai[emoji5]@Ledada my unaitwa
Ulikua unatafutwa mai wanguNimekuja mai[emoji5]
Mai wangu hakika nimetafuta hiyo post sijaiona adi ulivyo niita weweUlikua unatafutwa mai wangu
My huyo Jolie Jolie asikuchanganye bana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]