Good Old Days

Good Old Days

Eti wakishua humu ndani siku hizi cjui anaitwa eti KidukuLilo[emoji23][emoji23][emoji23]...Enzi hizo kuna mbishi @Nyaningabu transit Washington Dc amejiweka kama wakishua ila akili nyingi sana.Enzi hizo ukitamkiwa jina Invisible unajihisi ushatundikwa msalabani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nammiss tu lara 1jamani
 
Ila siku najiunga Jf mara ya kwanza hakuna member nilikua nawaogopa kama The Boss BAK Bujibuji [emoji23] na Kiranga
Mimi ni mtu mmoja approachable sana, tena nina uvumilivu mkubwa sana, hata kwa ujinga, ila kama anayefanya ujinga anaweza kuutetea tu.

Tatizo naweza kuuliza swali la kifalsafa bila kumlenga mtu kibinafsi, halafu mtu akachukulia namlenga kibinafsi.
 
Hakika nimeimiss JF ya kuanzia mwaka 2012 kurudi nyuma...Ni mtizamo wangu(my opinion)JF now days kuna members wanazingua sana..mtu anaaanzisha hata uzi wa kipuuzi na unapata airtime ya maana tu..JF ya kipindi hicho hata ku-comment mtu unawaza sana.... sembuse kuanzisha uzi.
Mifano tafadhali
 
Back
Top Bottom