[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti wakishua humu ndani siku hizi cjui anaitwa eti KidukuLilo[emoji23][emoji23][emoji23]...Enzi hizo kuna mbishi @Nyaningabu transit Washington Dc amejiweka kama wakishua ila akili nyingi sana.Enzi hizo ukitamkiwa jina Invisible unajihisi ushatundikwa msalabani
Basi tu mazoea.Siku hizi sasaa uwiiii vita vitaa jamani
Kina espy, Heaven Sent Heaven on Earth sister Mentor KakaKiiza Mtambuzi Kaizer et elKuna rafiki yangu alonifanya nijiunge jf(siku hizi nae kapotea, husema hivyo hivyo "jf haina la maana siku hizi") nakumbuka jf ilikuwa jf kweli.
CC ilikuwa moto, kulikuwa na utani wa burudani haswa. Unaweza usicomment kitu ila unajisikia raha tu kusoma comments unacheka kama chizi peke yako.
Ntakuambia ukiniambia ulipomficha espy
Mimi ni mtu mmoja approachable sana, tena nina uvumilivu mkubwa sana, hata kwa ujinga, ila kama anayefanya ujinga anaweza kuutetea tu.
Mifano tafadhaliHakika nimeimiss JF ya kuanzia mwaka 2012 kurudi nyuma...Ni mtizamo wangu(my opinion)JF now days kuna members wanazingua sana..mtu anaaanzisha hata uzi wa kipuuzi na unapata airtime ya maana tu..JF ya kipindi hicho hata ku-comment mtu unawaza sana.... sembuse kuanzisha uzi.
Ma2c ya rejarejaTatizo yule dogo Kei zilimshinda nguvu... aliendekeza sana kuchuja protini
We si ulisema Espy analea mimba yako?Ntakuambia ukiniambia ulipomficha espy
Kalifanya abortion kale kabinti bhana...We si ulisema Espy analea mimba yako?
Umeadimika kama nyongeza ya mshahara wa serikali...Jana na leo babu
upo?
Ntaenda wapi kwa mfano? Bado unacheza volleyball nije tufanye mazoezi?upo?