Goodbye our commander Umkontho

Huyu mdada nilikutana nae kwenye semina shirikishi ya pan African movement, marekani mwaka just dah, dah Ali ni inspire sana
Ndio naskia eti amefariki

pole sana kwa msiba mkuu..na vipi kuhusu hyo movement ya pan african movement imefikia wapi? maana naona black american wameamka kutoka kwenye usingizi mzito na wanahamia ghana kwa kasi sana nahitaji kujua some details kuhusu hyo movement
 
Movement ipo, ila wewe ndio haupo katika movement...haikuwahi kukoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…