Goodbye our commander Umkontho

Goodbye our commander Umkontho

An impostor is you, a Somalian pretending to be Jew, a Jew so what? A Jew and an Afro- Moslem movement ya kina Malcom little na Louis farhan wapi na wapi? To us a Jew ain't a thing, we don't give ****
 
Hata kama ni ngoma, let's imagine ' ok so what??? Point yako ni nini? Kenge maji wewe
Mambo ya kenge siyazungumzii maana kenge sijawahi kumuona anaandika JF au kuwasiliana na binaadamu kama Casto wa Muna! Point yangu ni pale ulipodai alikuwa mzima! Je ulijua hiv status yake? Jibu ni hapana. Hivyo jitenge na kutoa ushuhuda usiokuwa na uhakika nao ndo maana tunasema Patrick alikuwa wa Peter kwa vile hakuna aliyepata DNA cc Mzigua90
 
Unadhani alikuwa sahihi. Miaka hiyo alilaumiwa na wananchi wake kwa kukataa kiwango cha maambukizi ya VVU kilichokuwemo nchini mwake. "Denial at its best." Kwa suala hilo mwanamapinduzi alikuwa Mandela aliyekiri mwanaye mmoja kufa kwa matokeo ya VVU na UKIMWI.
Kama walikufa nisawa sababu lengo LA ARV ni kuufanya ukimwi uzidi kustawi kwa kuenezwa na walionao tayari alikuwa sahihi mbeki.
 
Mambo ya kenge siyazungumzii maana kenge sijawahi kumuona anaandika JF au kuwasiliana na binaadamu kama Casto wa Muna! Point yangu ni pale ulipodai alikuwa mzima! Je ulijua hiv status yake? Jibu ni hapana. Hivyo jitenge na kutoa ushuhuda usiokuwa na uhakika nao ndo maana tunasema Patrick alikuwa wa Peter kwa vile hakuna aliyepata DNA cc Mzigua90
Nakazia hapo
 
We don't have proof ya hadithi ya yesu, kaburi lake, sanda yake vyote vimethibitishwa kuwa fake, yet watu bado wana amini story ya paradise, na wamamsubiri mchizi ashuke, kutoka mbinguni, nyie,vipi? This shit is about faith...you have to believe in us...in you....pasipo imani you can't liberate yourself
 
Back
Top Bottom