Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
wote hawahitaji kumfahamu, hata wewe, hutafahamiwa na wote, hebu tuache mengine tuangalie, harakati ya huyu mtu, ndio legacy yake kwetu...Kwahiyo ukajua wote tunamfahamu, acha ushamba.
Hateful goyAn impostor is you, a Somalian pretending to be Jew, a Jew so what? A Jew and an Afro- Moslem movement ya kina Malcom little na Louis farhan wapi na wapi? To us a Jew ain't a thing, we don't give ****
Mambo ya kenge siyazungumzii maana kenge sijawahi kumuona anaandika JF au kuwasiliana na binaadamu kama Casto wa Muna! Point yangu ni pale ulipodai alikuwa mzima! Je ulijua hiv status yake? Jibu ni hapana. Hivyo jitenge na kutoa ushuhuda usiokuwa na uhakika nao ndo maana tunasema Patrick alikuwa wa Peter kwa vile hakuna aliyepata DNA cc Mzigua90Hata kama ni ngoma, let's imagine ' ok so what??? Point yako ni nini? Kenge maji wewe
Kama walikufa nisawa sababu lengo LA ARV ni kuufanya ukimwi uzidi kustawi kwa kuenezwa na walionao tayari alikuwa sahihi mbeki.Unadhani alikuwa sahihi. Miaka hiyo alilaumiwa na wananchi wake kwa kukataa kiwango cha maambukizi ya VVU kilichokuwemo nchini mwake. "Denial at its best." Kwa suala hilo mwanamapinduzi alikuwa Mandela aliyekiri mwanaye mmoja kufa kwa matokeo ya VVU na UKIMWI.
Nakazia hapoMambo ya kenge siyazungumzii maana kenge sijawahi kumuona anaandika JF au kuwasiliana na binaadamu kama Casto wa Muna! Point yangu ni pale ulipodai alikuwa mzima! Je ulijua hiv status yake? Jibu ni hapana. Hivyo jitenge na kutoa ushuhuda usiokuwa na uhakika nao ndo maana tunasema Patrick alikuwa wa Peter kwa vile hakuna aliyepata DNA cc Mzigua90
Ubarikiwe mama na uwe na jumapili njema yenye faraja na mafanikio lukukiNakazia hapo
Amen my dearUbarikiwe mama na uwe na jumapili njema yenye faraja na mafanikio lukuki
Hivi ocean inaitwaje kwa kiswahili?Amen my dear
BahariHivi ocean inaitwaje kwa kiswahili?
Ila siyo kila Bahari ina Beach au nakoseaBahari
Enheee. Point yako nini au unataka unipe dongo kama kawaida yako my dear?Ila siyo kila Bahari ina Beach au nakosea
anasumbuliwa na "mshindo"Huyu vipi?
kuna baadhi ya hoja zake nimepata kuzipitia inaonesha ana kitu au vitu vinamvuruga nyuma na mbele, sasa anachofanya huku ni kama sehemu anapopatia relief.talk tells and short tempers..huu uzi we umeingia chaka binti....mbona hivi????
Mwache, apambane na fatima binti fyatu, amuweke sawa kwanzakuna baadhi ya hoja zake nimepata kuzipitia inaonesha ana kitu au vitu vinamvuruga nyuma na mbele, sasa anachofanya huku ni kama sehemu anapopatia relief.
Kuna mengi, huyajui, na wala hutayajua kamwe...Kwa sababu, huwezi kujua kila kitu, wewe si mungu
you're right man...it's crazyA lot of hysteria in here.
AsanteKama walikufa nisawa sababu lengo LA ARV ni kuufanya ukimwi uzidi kustawi kwa kuenezwa na walionao tayari alikuwa sahihi mbeki.