Fillipina Bellini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 353
- 490
- Thread starter
-
- #21
Alikuwa member humu JF??Signature ya mwisho ya Umkontho we Sizwe
"Black man the light of the world, progenitor of races..as it was in the beginning so shall it be in the end ... that he the black one shall restore order on the universe"
hatuko huru kusema chochote zaidi ya hapa, kwa mujibu wa sheria..zaidi ya waraka aliouacha Umkontho kwa wanaharakati wote...an open letter to all the revolutionariesKafa menzi mitatu imepita uzi mnafungua leo alafu account yake ipo online mnasema ipo chini ya wanasheria tunaomba na sisi tujuwe kauwawa au kafa kwa ugonjwa wa kawaida na kwanini hao wanasheria watumie account ya marehemu kama ajauwawa
Briefly mwaka jana, mpaka umauti ulipomkutaAlikuwa member humu JF??
Ni mtanzania??..Briefly mwaka jana, mpaka umauti ulipomkuta
Wembamba usikupelekee uamini hivyo ni mwili tuu sema alikuwa anajinyima sanaMbona kama alikuwa mgonjwa sana au ndo ugonjwa wetu wa kisasa umembeba
Sawa sawa nimekuelewa ili ndio jibu nililitaka ili kukamilisha swali nililokuwa najiuliza nilikuwa namfuatilia sana alikuwa ni mwafrika hali sura paka roho ila ndio hivyohatuko huru kusema chochote zaidi ya hapa, kwa mujibu wa sheria..zaidi ya waraka aliouacha Umkontho kwa wanaharakati wote...an open letter to all the revolutionaries
Baba mzulu, mama mtanzaniaNi mtanzania??..
Hata mnene waweza kuwa na maradhi pia, kifo ni njia ya hakiWembamba usikupelekee uamini hivyo ni mwili tuu sema alikuwa anajinyima sana
Huo waraka aliouacha uko wapi?hatuko huru kusema chochote zaidi ya hapa, kwa mujibu wa sheria..zaidi ya waraka aliouacha Umkontho kwa wanaharakati wote...an open letter to all the revolutionaries
Utawasilishwa hapa, katika wakati muafaka sawa sawa na maagizo ya marehemuHuo waraka aliouacha uko wapi?
Umkontho we SizweNdio nani huyo
We support you fantasia??????? Anaitwa fantasia na yeye moja ya comment zake katika post zake
Hata Google hajulikana, tupe profile yake kamili.View attachment 801451
Ahmale Lerato Bonginkosi alias Umkontho We Sizwe: 26 July 1984-07 March 2018