Nnje ya madaLolimwaaa.
Jamaa ni producer mkubwa sana hapa Tanzania, ametengeneza hit song nyingi sana hasa za wasanii wa kanda ya ziwa.
Yule dogo alieimbaga BASII NEENDA, hit zoote producer alikua Goodluck, nadhan sasa hivi yuko bize na music production.
Jina la uproducer anaitwaga LOLIPOP, katengeneza hit nyingi sana bongo fleva
Yaani wewe!Wanapokezana sasa hivi ni muda wa oldumare
Mambo ya kuwa na Managers wanakutumiw ukiwa juu tu.Sijamsikia muda
dah aisee ni hatariMambo ya kuwa na Managers wanakutumiw ukiwa juu tu.
Manager wake walishachukua Account yake ya Youtube(Tetesi)
Ni kweli walichukua kila kitu, saiv kaanza upyaMambo ya kuwa na Managers wanakutumiw ukiwa juu tu.
Manager wake walishachukua Account yake ya Youtube(Tetesi)
Yule ustake ncheke gospel alivamia tuHello.
Nini kimetokea kwa msanii wa nyimbo za Gospel Good luck Gozbert amekuwa na ukimya mkubwa sana uliopitiliza na haieleweki umesababishwa na nini.
Hakuna hits song Tena Wala kuvuma na nyimbo zake zile kama zamani.
Dah, pesa zilikuwa hazirudi au? Hii lazima ikuchanganyeNi kweli walichukua kila kitu, saiv kaanza upya
Masharti ya management yalibadilika nakua magumu, ili yeye aendelee kua juu zaidi ya pale, akashindwa na kuona bora ateme gung'oDah, pesa zilikuwa hazirudi au? Hii lazima ikuchanganye
Dah ni hatari.Masharti ya management yalibadilika nakua magumu, ili yeye aendelee kua juu zaidi ya pale, akashindwa na kuona bora ateme gung'o
Jambo zuriYupo MWANANYAMLA ana studio ya VIDEO na MUSIC PRODUCTION kubwa
niliwahi pita siku moja amepanga NYUMBA nzima akifanya hayo mambo ya STUDIO
nadhani amrona huko kunalipa zaidi
Nadhani jibu umepataHello.
Nini kimetokea kwa msanii wa nyimbo za Gospel Good luck Gozbert amekuwa na ukimya mkubwa sana uliopitiliza na haieleweki umesababishwa na nini.
Hakuna hits song Tena Wala kuvuma na nyimbo zake zile kama zamani.
SS majibu mmepata wakuuAlitoa wimbo karibuni, ila ni kama watu hawakuupokea vizuri
Mkuu unawez aweka link, kuna updates zozote?SS majibu mmepata waluu
Dah jau. Apewe msaada itakuwa hayuko sawa.Nasikia kachoma gari sijui nini