A Peculiar people
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 612
- 773
Kiga arosto arosto arostooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante, ila usijetuacha njiani kama lara 1Ladies and gentlemen, its me again. The creater of stories like “How I met my wife” na “Cheaters: the series”.
Nakuleteeni Goodness of fit. A story of love, blackmail, betrayal and politics. Pamoja na kua moderators wamekua wananyofoa nyuzi lakini naona mwaka huu wamelegeza kidogo na kutoa uhuru. Nawaomba kama wakiona kitu kinaenda sivyo wawasiliane na mwandishi ili aweze kuedit badala ya kuufuta.
So hii story itahusu maisha. Nimejaribu kuwaza katika jamii yetu mstari wa maadili uko wapi? Wengi wamekua wanapewa labels kama Malaya, wadangaji, mhuni, fisadi, muuaji lakin hao wanaoita wenzao hayo majina ukiwafuatilia maisha yao wanayaishi hayo wanayoyakemea japo kimya kimya. Na kwa wale wanaoitwa hivyo sometimes wanafanya hayo kwa sababu mbalimbali kama vile mapenzi yao kwa familia zao, wapenzi wao, imani zao au nchi yao.
Kwa wale wataalam wa statistics, goodness of fit ni mstari unaojaribu kuonesha wastani wa viwango katika population. Sasa ni kwa kiwango gani watu wanatoka katika huo mstari? je hao tunaodhani wanaishi katikati ya mstari huo wa goodness of fit, ki uhalisia wanauishi? Ni idea tu so ntakua naandika mojakwamoja kwa hiyo mtanisamehe kama ntakua nachapia.
I am sorry uwezo wangu ni one episode per week. Ikitokea nimepata fursa ntakua naweka surprise episodes katikati ya wiki.
Endelea..........
Episode 1: That man Tom
Siku hiyo nlikua nimechoka kinyama, unajua ile kuchoka hata kufungua kope za macho unaona uvivu eeh? yeah, that kind of tiredness. Nlijikuta nimejilaza tu kwenye kochi langu pekee lililokua hapa sebuleni. Ndani ya dera, simu mkononi ingawa hata sikua nampigia mtu bt just kuperuz page za social media.
Ilikua mida ya saa mbili hivi usiku, leo ilikua siku ndefu kweli, si mnajua shughuri za kuhama makazi zinavyochoshaga? Mvurugano na wasafirisha mizigo, kuzinguana na malipo ya wapandishaji na washushaji, kupotea potea kidogo na nini, full kuchoka yani.
Sikua hata nimepata nafasi ya kula cha jioni, so nikajiambia ngoja nipumzike kama nusu saa then nitaamka nitafute msosi,…. Loh! Nlikua najidanganya mwenyewe kumbe. Nimekuja stuka saa tano na robo usiku, of course sikujua muda wakati huo, mawazo yangu itakua between saa mbili na nusu na saa tatu, kumbe daah, nimepitiliza kinoma noma.
Nikajikokota hadi chumbani, nikavua dela nlilokua nimevaa, nikavaa zangu track suit, raba na kofia, vyote chapa Adidas. Sexy was my look, hahaha. Nikatoka. Ukimya uliokua nje ndo ulifanya nipate wasiwasi kidogo. Unajua ingawa giza ni lile lile, ila usiku wa saa mbili ni tofauti kabisa na usiku wasaa tano. Ukiniuliza tofauti yake wala hata sijui. Ila hisia ziliniambia kabisa em cheki saa kabla hujafika mbali.
Oh Oh…. Nlishtuka kwa sauti, na hiyo ndo hua namna yangu ya kushtuka, siitagi mamaa, wala kumtaja mtume, mi huwa ni short and clear ‘OH OH’. Nikawa nimesimama sasa najishauri niendelee na safari yangu ya kusaka chipsi mayai au nigeuze. Nikisema nigeuze ina maana ndo nalala njaa hivyo, maana leo ndo kwanza nlikua nimehamia makazi haya mapya, sina gesi, vyombo bado vipo kwenye mabox, na kiukweli hata kama hivyo nlivyovitaja ningekua navyo, nisingeweza kupika chochote maana hakukua hata na chochote cha kupikwa kiliwe.
Hii compound nilipohamia ilikua na three houses. Kuna hii nliyochukua mimi ambayo kwa muonekano ilikua ndo ndogo kuliko nyenzake mbili. Yaani ilikua na chumba kimoja na sebule. Ni self-contained ndiyo, ila jiko ndo uamue wewe, upikie sebuleni au chumbani. Lakini hata size ya vyumba ilikua ni ndogo hata kwa muonekano tu.
Nyumba zote tatu zilikua zimepangwa katika muundo wa herufi Z, yaani yangu ipo katikati, imeangaliana na moja iliyoko juu, na kuna nyingine kwa chini ambayo zimepeana mgongo kimshazari. Compound nzima ilizungukwa na ukuta mrefu ambao haukutoa nafasi wa nje kuona ndani wala sisi wa ndani kuona nje.
Shida moja ni kuwa, the compound ilikua mbali kidogo na mji. Hivyo pilikapilika za biashara na mizunguko ya watu vinaisha mapema sana. Na kwa ugeni wangu ingekua ni ngumu kuanza kuzurura alone kutafuta kijiwe cha baa ambapo wanaweza kuwa na msosi muda huu. Tofauti na nchi nyingine ambapo unaingia tu kwenye app ya simu unaagiza unachotaka, bongo ukiwa na njaa either upike au utoke. Na kama mjuavyo wasomaji, kwa msichana mrembo kama mimi, no, kwa msichana yeyote yule (maana wanaume hawaangalii sura sku hizi, as long as tundu unalo), Unless uwe unafahamu unapoenda, kwa kuuliza uliza tu watu usiowajua, utajikuta unabakwa.
So nikaona sina jinsi Zaidi ya kurudi ndani. Nikafunga mlango nikatafuta walau maji ya kunywa nilidanganye tumbo ili nisinzie, nikakuta chupa ya maji ya Kilimanjaro ambayo kimsingi yalikua yamebaki chini ya robo. Nikayagigida yoteee, then fasta nikavua nlichokua nimevaa, nikabaki na kichupi changu cheusi, nikaingia ndani ya duvet.
Kwani usingizi ulikuja sasa…… muda nao hata hauendi. Yaani harakati zote hizi nikajua itakua ishafika hata saa sita, kucheki muda bado saa tano na dakika kadhaa tu. Njaa nayo utadhani imeambiwa iongeze speed. Wakati mwingine hua nafikiri hii kitu inaitwa njaa ni just a state of mind hahaha, how comes inajua huyu mtu hana msosi ndani, maana kwa muumo huu hii njaa imeamua kunitesa kabisa.
Yaani, leo nisipodanja sijui. Ilipofika saa sita na robo, uzalendo ukanishinda. Nikavaa tena zile track suit, raba na kofia, nkatoka. Heri kufa kwa kubakwa walau watu watakusoma kwenye gazeti wakuonee huruma, kuliko kufa na njaa, watu watakutukana kwenye msiba wako. Kufika geti la kutoka nje moyo ukasita. Kubakwa kwa kweli hapana, yaani lidudu linipenye kabisa huko ndani pakiwa pakavu, tena machakani, gizani, no way. nikaanza kurudi tena, machozi yananilengalenga sasa.
Nilipofika usawa wa mlango wangu, kwa mbali nikawa nasikia movement kwenye nyumba ya jirani, either mtu anaflash toilet, au anaoga au anaosha vyombo, maana ni maji nayasikia yakitiririka. Nikasubiri hadi sauti ya maji ikatike, nikagonga mlango.
Wakati nashusha mizigo ile jioni, nliona mdada anaingia hapa. So nlijua atakuepo ndani, na naeza mueleza shida yangu akanisaidia. Wanawake huwa tuna huruma bana.
Ngo, ngo,ngo…. Nikagonga then nikasubiri. Nikaona kimya. Uoga wa kugonga tena ukanifanya nianze kuondoka. Bt ile nafika mlangoni kwangu, nikasikia mlango wa jirani unafunguliwa. Kwa matumaini makubwa ya kupata hata mkate nikarudi mlangoni kwa jirani nikiwa nimeandaa na tabasamu lile la kuomba kitu kwa mtu ambaye ndo mnakutana kwa mara ya pili tu, na mara ya kwanza mlipoonana hukumsalimia. Kufungua mlango nakutana na mwanaume, dah. Tabasamu nliloandaa likafutika ghafla, matumaini ya msosi yakapotea. Naanzaje kumuomba mkaka msosi?
“Mambo?”, akaniuliza kwa sauti kavu kama ya dada Halima wa viti maalum. Nilimjibu huku naona aibu. Kwanza alikua nusu uchi tuseme. Maana alikua kifua wazi na kipensi kifupi ambacho kinaweza tafsirika kama boxer tu “Poa…….., samahani, unaweza kuwa na namba ya dereva bodaboda anayewezakuwa macho muda huu anilitee hata chipsi?”, nlijikuta namuuliza huku macho nimeyaelekeza down. “Mhhhhhh…. Mtaa huu wanawahigi sana kulala hawa vijana, bt kuna mmoja mitaa ya Philips huwa anachelewa kulala, nipe dakika moja nimcheki”, alinijibu huku akiingia ndani kuchukua simu.
Nikapata wasaa wa kumcheki fresh sasa, he was good looking. Yaani kama nnavyopendaga… kaka ambaye kama ni mazoezi sio yale ya kupitiliza. Sipendagi wale misuli imevimba vimba kila sehemu kama viazi mbatata. Napenda mwanaume asiwe tipwatipwa sawa ila sio baunsa sasa, katikati pale, mmenipata eeh?. Yani awe soft kidogo bana, sio mkavu kama harmorapa, yani hata nikiwa napapasa kalio wakati unanila isiwe kama nashika jiwe, hahahah.
Baada ya dkk chache jirani akageuza. “sorry sistaa, jamaa hapokei simu, itakua naye kalala”. Alivyoniita hiyo sistaa, nikajua huyu ni chalii wa chuga, “usjali kaka yangu, siko vibaya kiviile, thanks sana kwa msaada”. “usjali” alijibu huku akifunga mlango.
Nimekaa kitandani usingizi hauji. Nikaona labda nipoteze maumivu kwa kuangalia movie. Nikafungua laptop yangu, nikaanza kucheki upya series ya ‘The Throne’, Ingawa nshaiona ila sikua tayari kuangalia movie mpya usiku huu, unaeza kuta inascenes za kutisha nikalazimika kwenda kumgongea mkaka wa watu kwa mara ya pili. Na ndugu msomaji nadhani unajua nikienda mara ya pili kitakachonikuta.
Movie ikiwa katikati nikasikia mlango kama unagongwa…. Ngo, ngo, ngo, nikawa kama sielewei, ni huu mlango wangu unagongwa au wa jirani, Ngo, ngo, ngo…. It was my door for sure. Kwanza nikaogopa. Nani anagonga usiku huu?, sikuitikia. Nlivyojiuliza ndo nikahisi pengine ni yule jirani, labda amempata bodaboda aliyekua hapokei simu, “ni mimi jirani” sauti yake ikanitoa wasiwasi zaidi, nikafungua kwa matumaini ya kupata solution ya hii njaa.
“Hey sorry kwa usumbufu, vipi ushapata mtu wa kukuletea msosi?”.. aliuliza huku akionekana pia hana mpango wa kuingia ndani. ‘hapana kaka yangu”, “okay subiri robo saa hivi”.
Nikamshukuru pale, maana najua atakua kapata mtu wa kumletea chips. Nikaingia ndani, nikachukua laptop yangu from bedroom, nikakaa kwenye sofa langu kusubiri chips huku nacheki movie. Baada kama ya dkk 20 hivi, nikasikia mlango umegongwa kidogo alafu kabla hata sijaitikia ukafunguliwa. kaka wa watu alikua kabeba sahani mkono mmoja, mkono mwingine umebeba glass ya juice. Nikainuka fasta kumpokea. “Thank you jamani”, nlimwambia huku nakiweka kwenye meza. “usjali bana, I hope unakulaga pilau”……. Alinijibu huku akitabasamu. “Yaani kwa njaa nliyonayo hata ungeleta nyoka ningekula aisee”, alijikuta anacheka kwa jibu langu.
nikakaa ila nikamkaribisha pia akae hata kidogo. Aisee kuna pilau tamu alafu kuna pilau tamu unayokutana nayo ukiwa na njaa ya kufa mtu…. That shit was delicious. “Naitwa Tom”, alijitambulisha huku akikaa pia pembeni yangu. “Mi Neema” nlijitambulisha pia huku nikitafuna mnofu mkubwa wa nyama ya mbuzi. “mgeni kabisa hapa Arusha? Au umehama mtaa tu”, aliniuliza huku macho yakikodolea movie pia. “Miezi mitatu imepita since nimekuja Arusha, ila nlikua naishi kwa rafiki yangu Sanawari”, nikamjibu huku naendelea kuinjoi pilau. Tukapiga stori kadhaa pale hadi namaliza kula.
Nimemaliza kula nikachukua sahani nikapeleka kwenye sinki. Nikarudi nikawa Napata juice ambayo kwa ladha ilikua ni mchanganyiko wa parachichi na passion. Akilini nlijua kabisa huyu jirani hawezi kuwa ameandaa this kind of msosi, nikakumbuka mchana nliona mdada anaingia pale kwake. Kutomuona yule dada muda huu kukanipa idea kuwa alikuja kuliwa tu akasepa, na itakua kabla ya kusepa alimuandalia boy wake misosi ambayo kwa bahati mbaya imeishia tumboni mwangu, yani kumbe a man can cheat you in so many ways.
“asante sana kaka yangu kwa chakula, leo sjui ningelala aje, nlikua na njaa ya hatari”, nlimwambia huku nikimalizia tone la mwisho wa ile juice. “usjali Neema, I’m glad nimeweza saidia, nlivokuona nlijua kabisa utakua unanjaa ya hatari, kama jirani sikua na namna zaidi ya kusaidia maana nlikua na chakula ambacho mdogo wangu alipika mchana”,
“Oh…….”, hiyo oh ilivonitoka nikajistukia inaeza sababisha yale mawazo yangu ya mwanzo yakawa revealed. “dada yako huishi nae hapa?” nikaendelea kwa kuuliza swali ambalo kimsingi halikua na maana. “No anasoma hapo chuo cha ufundi so anakaa hostel za chuo, bt mara nyingi weekends anakuja” alijibu huku akikodolea zaidi movie.
Tom alionekana yuko so taken na hiyo movie. Mi usingizi ndo ulikua umenijaa, kumfukuza siwezi, hata ungekua wewe ndugu msomaji, unamfukuzaje mtu aliyekusaidia msosi. Nlichofanya kwa kuwa yeye alikua amekaa kwenye stuli, mi nikajilaza pale kwenye sofa kama naangalia movie vile, bt lengo langu nlale palepale, akimaliza kucheki atagundua nimelala then asepe zake.
Nimekuja stuka saa nne asubuhi. Huwa nimeset alarm ya kuniamsha saa 12 na nusu asubuhi, lakini sijui hata ni kwa namna gani niliizima alarm ya simu ilivyoita muda huo. Niliamka pale kitandani kivivu na kwenda bathroom. Ni kama vile sikua nakumbuka vyema matukio ya siku iliyotangulia. Ile naoga ndo nikakumbuka sasa. Wait a minute!!!, jana nlilala kwenye sofa, how come nimeamkia kitandani.
Yani nlivokummbuka hii kitu nikamaliza kuoga fasta fasta zaidi ya siku nyingine, maana kwa kawaida mi hueza kaa bafuni saa zima, maji tu yakinimwagikia, I enjoy taking shower, like a lot. Basi nikajikausha maji pale nikaenda sebuleni, eti nachungulia kwanza isijekua Tom bado yupo hahaha. Nlivohakikisha safe ndo nikaenda sitting room, nikacheki laptop nikakuta imezimwa na kufungwa fresh mezani. Inamaana jamaa alinibeba kunileta bed usiku…. Ikabidi niwaze nlikua nimevaaje nliposinzia na nimeamkaje leo. Nikashusha pumzi ya ahueni, maana nlisinzia na dera na nimeamka nalo.
I didn’t know what to think of Tom, to be honest, sikutaka kabisa kufikiria abt any man. The last man to give my heart and body to, ended up to be an asshole. (ila haya matusi kwa Kiswahili nisingeweza yaandika mazee, eti asshole duh). The guy was called Danny. I loved than man, for real yani, nikaanza hadi kufikiria watoto wetu watafananaje. Unajua nlimpenda Danny hadi nikawa tayari kugive up all my dreams and ambitions.
Kampuni ninayofanya kazi ni kampuni ya mawasiliano ya simu. Niliajiriwaga mara tu baada ya kumaliza chuo, nashukuru Mungu jitihada zangu za kazi zimenipandisha hadi kuwa marketing manager wa zone hii ya kaskazini. Malengo yangu ni kupanda hadi kuwa CEO, yeah, why not, am still young and I work hard kwa kweli. Kila ninapopelekwa naleta matokeo chanya, jitihada zangu zimepandisha kampuni yangu hadi kuwa namba mbili nchini, kutoka kwenye namba sita huko chini. So mapenzi yangu kwa Danny nlikua radhi nipige chini vyote hivi kwa ajili yake, yani niwe mama wa nyumbani, ilibaki yeye tu kusema su!!
Nilikua kwenye mahusiano na Danny kwa miaka miwili mizima, imagine. Then ghafla tu kama mshumaa, yakazima. Yani wanaume. Muda wote yupo na mm kumbe ni mume wa mtu. Yani, siku najua I swear I tried to commit suicide. Namshukuru Mungu maana maumivu yaliisha, kilichobaki labda ni ile hali ya kutojiamini. Pamoja na uzuri nlionao, lakini naona kama vile sitakaa nimvutie mwanaume serious wa kunioa, hua nahisi kama vile ntaishia kuwa mlezi wa wana vilee. Wakati huo mdogo wangu Rehema aliolewa mapema kabisa, baada tu ya kumaliza chuo. Nimebaki nungayembe nahakaika, gadammit!!!
Nimekaa mle ndani nikiwa na plan ya kutoka mida ya saa tano, ili nikapate Brunch alafu pia nipitie mazagazaga ya kuniwezesha kupika. Saa tatu na nusu nasikia hodi tena. This time wala sikuwa na shaka, atakua tu Tom, mkaka jirani. Na kweli baada ya kumfungulia nikakuta ni yeye. What he brought kilifanya moyo wangu uyeyuke. The guy brought chapati, supu na thermos ambayo nliona kabisa imebeba maziwa (maana kuna vitone vilikua vinaonekana kwenye kifuniko chake), vyote akiwa ameviweka kwenye kibao. Nikajaribu kumpokea, akanikatalia kwa kichwa kwa akiogopa kuwa ntasababisha ajali, basi akavibalance fresh akatembea kama ananyata, mi nimemshikia mlango asijigonge, akaingia, akaviweka pale mezani.
Jamani, this gesture was too much. Sema nlijizuia tu, ila nlitamani nikamhug kwa shukrani. “jamani Tom, you shouldn’t”, Tom akatabasam kasha akasema, “enjoy jirani, huduma kama hizi unapewa siku ya kwanza tu ukihamia, baada ya hapo usitarajie huduma za aina hii”. Uzuri wa Tom, aliyafanya haya yote na ukimuangalia usoni unaona kabisa huyu hafanyi kwa kutarajia kitu, he is doing it kwa nia ya kusaidia kwa dhati, no hidden agenda. Kwa mara ya pili nikatamani nimkumbatie. Yani vitu vinavyotutekaga wadada mpaka hua najiuliza sjui tumerogwa, imagine…. Eti supu na chapatti vinaniyeyusha moyo.
Nakumbuka that day baada ya breakfast, tulikaa tunacheki tu series ya jana yake, alionekana kuipenda kinoma. Mi nlishaiona bt sikuonesha kama naijua ili nisimkatishe mood yake. “Tom I have to go to town kununua some things…” nlimwambia nikijiandaa kunyanyuka pale nilipo. “hata mm ntaenda town baadae, unaoneje tukapika cha mchana kwanza then tutoke wote kwenye saa kumi…”, well sikua na haraka sana ya kwenda huko town, lakini pia Tom amenipa kampani sana tangu jana, nisingeweza kumkatalia. So tukahamia home kwake ili tukapike.
His house was well organized. Too organized for a man of course, nikajua itakua yule mdogo wake anakujaga marakwamara. Tukawa tumekubaliana tupike chips mayai. Nlichofanya nikamwambia anioneshe tu where everything is at ili nipike mwenyewe. Na kwa kweli sikumlet down. Alinisifia chakula kitam alivoonja tu kijiko kimoja.
Mpaka kufika muda wa kutoka hiyo saa kumi tulikua tumeshazoeana utafikiri ni ndugu. Nishajua anabiashara zake Dodoma ambazo anajaribu kuzi establish. Ila kwa Arusha anabiashara za maduka ya vifaa vya nyumbani mawili, sakina na Moshono. Kwa namna anavyoongea anaonekana kabisa ana vision alafu deep down anaonekana kama ana ule ubinadam ambao ni nadra sana kuuona karne hii.
Wakati wa kutoka nikapiga zangu tshirt na skirt flani ya jeans (mi sio mtu wa suruali sana mchana) then tukaingia kwenye gari yake tukasepa. Well, ilikua kama a date, maana hatukuishia kufanya shopping ya mazaga ya kupika, tulienda kupata dinner maeneo ya milestone, mbuzi choma moja matata sana, then akanipeleka standup comedy flani pale Golden Crest hotel. I really enjoyed. Na kilichofanya ni injoi zaidi nadhani ni ile hali ya kutohisi labda jamaa ananitaka, nlikua free kabisa yani, sikufungwa na mawazo hayo negative.
Njia nzima wakati tunarudi tukawa tunakumbushana vituko vya Mr Beneficial alivyovitoa kwenye ile standup comedy, basi tunacheka wenyewe, utadhani tumejuana kitambo. Mpaka tunaingia kwenye compound yetu, nlikua nimeinjoi mno kwa kweli. Akanisaidia kushusha mizigo yangu kwenye gari, akaiweka yale maeneo nlikua nimepanga niwe napikia. Mi nikawa pale mlangoni, a little bit tipsy, maana nlishusha glasses kadhaa za wine pale Golden Crest.
Wakati anatoka Tom si akawa anapita pale mlangoni, mlango ni mdogo so obviosly tukagusana kiaina, alivo hajielewi eti akapita tu, kabisa akaniacha nimesimama tu mlangoni, ikanidi nimuite, “hey……..” akasimama na kunigeukia, alikua ashaenda umbali mrefu amekaribia kabisa mlango wa kuingia kwake, haya kumuita nimemuita, namwambia nn sasa hahahah, then kwa aibu aibu za kike nikajikuta namwambia, “Thanks for today………. And yesterday……….. oh, and this morning too”, Tom akatabasam pale, “my pleasure” then akafungua mlango wake akaingia kwake. Shit!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
I know me ndugu wasomaji, ingawa hata akili yangu ilikua haijagundua bado, lakini nlikua radhi Tom alale na mm that day. Mawazo haya yakaanza nifanya nijihisi kama kamalaya flani hivi, ntafikiriaje like this, mimi Neema, nliyelelewa kwenye familia ya kichungaji naanzaje kufikiria kuliwa na mtu nliyeonana nae just masaa machache tu yamepita. Nikaenda kuoga, nlipomaliza nikavaa zangu night dress nikazama bed.
Cha ajabu pamoja na kujizodoa, bado mawazo yangu ya kijinga yakawa yanazunguka. What if Tom ameoa?, nlipowaza haya nikakumbuka yule shwaini Danny basi nikaishia kujiaminisha almost all men are the same, so I shouldn’t trust any of them, Tom included.
Kesho yake ilikua ni jumatatu, kwa sisi waajiriwa ilipaswa tuamke mapema kwenda kutimiza majukum ya mwajiri. So nlikua nimeamka mapema, kama kawaida, mda mrefu bafuni nikiimba kwa sauti ya chini huku maji ya moto yakinitiririkia mwilini. Baada ya kujiweka safi, I had my simple breakfast, coffee and eggs kasha nikatoka.
Ile nafunga mlango, namuona Tom akifungua mlango wake. “Ndo unaenda job Ney?”, “yap, si unajua kazi zetu waajiriwa”, “naelewa, let me drive you, maana nataka nikapitie vijiwe vyangu nione kama kila kitu kipo sawa”, well, it was kind of him kuoffer lift, na kwa namna nlivyo muangalia hakua anaenda kwenye biashara zake wala nini, alionekana ndo kwanza ameamka. Bt sikutaka kumshushua, kwa kua amesema anatoka pia, mi sikua na namna zaidi ya kukubali.Njia nzima stori, Tom was funny kiasi chake, na pia alikua muongeaji, which was perfect kwangu maana mi ni mkimya kiaina. Safari ikawa fupi kwa stori zake za kufurahisha.
Weekend njema...
Kiga
View attachment 1689835
Dah, Goddy ni mmoja kati ya wanaume wenye bahati sana duniani, amekula kote afu wanaogopa kumwambia, mamaeee.Episode 2: Meet my twin sister.
“……………………………………………. Na amri iliyo kuu zaidi ya zote ni upendo..”,
Ni maneno aliyoyatoa mchungaji kiongozi wakati wa ibada ya leo. He looked elegant kwenye mavazi yake meupe. Kati ya watu ambao muonekano wao unaendana na kazi wanayofanya basi ni huyu baba. Mchungaji Kingu kimuonekano tu alikua kweli mtumishi wa Mungu. Sura ya upole, sauti ya mamlaka, mvi kiasi kichwani, yaani kasisi haswaaa.
Kama kawaida mi na mdogo wangu tulikua tumekaa siti za katikati ya kanisa, na katika hali ya kawaida isingekua rahisi kuonekana ni wa tofauti na waumini wengine, ila leo kama ilivyo jumapili nyingine zote tunazokuepo kanisani, waumini ilionekana wazi wanatupatia attention flani hivi ya kiudadisi.
Hii inatokana kwanza na kuwa mi na mdogo wangu ni mapacha, yaani wale mapacha tunaofanana mnooo, so kwa mtu yeyote ilikua lazima atuangalie mara mbilimbili kujaribu kututofautisha, na hii si tu kwa wale wanaotuona mara ya kwanza lakini hata pia wale ambao kila jumapili wanakua wanatuona. Cha pili kinachotupatia attention ni status yetu kanisani.
Maneno ya mchungaji yalikua yananiingia barabara, na yali make a lot of sense kwangu. Anachosisitiza mchungaji ndicho kinachokosekana ktk jamii zetu kwa sasa, yaani upendo. Mchungaji aliendelea kutukumbusha kuwa kama ukimpenda Mungu wako na ukapenda jirani zako automatically utakua unaishi maisha yasiyo na dhambi, maana mzizi wa dhambi zote ni ukosefu wa upendo. Kama utampenda binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe (kama ilivyoamriwa), ni dhahiri hautapenda kumsababishia maumivu yoyote, ya kimwili au kihisia. Yaani hauta iba cha mtu, hauta tukana mtu, hauta piga mtu, hauta zini na mke wa mtu, kwa kuwa unao upendo.
The African Church for Salvation au kwa kifupi ACS ndilo kanisa tunalosali. Lakini pia ndilo kanisa kubwa kuliko yote nchini, yani karibu wananchi wote ni waumini wa kanisa hili, asilimia chache tu zisizofika hata 30% ndio walikua waumini wa dini na madhehebu mengine. Ukubwa wa ACS ulichangiwa na vitu vingi, kwanza ni historia. Wale wamisionari waliokuja toka ulaya na marekani kusambaza dini Afrika, walikumbana na changamoto nyingi sana. Kiufupi waafrika wengi hawakua tayari kuacha tamaduni zao na kukumbatia tamaduni mpya ya kizungu.
Lakini kuna mission moja ilifanikiwa sana kuwavutia waafrika kutoka kwenye upagani, ilikua ni mission iliyoongozwa na muingereza mmoja maeneo ya vijiji vya Dodoma. Ukubwa wa mafanikio wa mission ile ilifanya ipate misaada mingi mno kutoka kila pembe ya dunia. Akajenga hospitali, makanisa makubwa, shule pamoja na kuwagawia wananchi wake misaada mbali mbali ikiwemo ya kiuchumi.
Siri ya mafanikio yake ni moja, aliondoa masharti yote yanayopingana na tamaduni za kiafrika kwenye mafundisho yake. Aliruhusu na kufungisha ndoa za wake wengi, aliruhusu na kujumuika na waumini katika burudani za ngoma za asili pamoja na kunywa pombe za kienyeji. Siku zote aliwaonya tu waumini wake kutokuruhusu ulevi wa kupindukia na wajihadhari anasa zisiwaondoe katika mafundisho ya kanisa.
Maendeleo ya kiuchumi ya waumini wake yakasababisha waumini wengi Zaidi kujiunga, kujiunga kwa waumini wengi kukasababisha misaada Zaidi kuja, wafadhili wakijua kanisa lao linakua, kumbe jamaa kaanzisha kanisa lake lenye kukumbatia uafrika na tamaduni zake.. Hadi jamaa wa ulaya kuja kushtuka, kanisa lishakua kubwa na linaweza kujiendesha lenyewe.
Mission nyingine nchini zikajiunga na kanisa, zilizopinga zikafa kimyakimya maana waumini wakahamia ACS. Na ili kuwateka waumini wa dini na madhehebu mengine akalifanya kanisa liwe na itikadi mchanganyiko, yani taratibu za ibada zina urumi ndani yake, liturjia ina umartin luther, na baadhi ya mafundisho yaki Hellen White. A cocktail of Christian churches. Yaani ni kipindi cha miaka haifiki 100 tangu yule mzungu aanzishe ACS, lakini kanisa limekua sio tu kubwa Zaidi ya yote, lakini lenye nguvu na ushawishi mkubwa kwenye jamii.
Mafundisho ya leo kuhusu upendo yakanifanya nimuangalie mdogowangu aliyekua kakaa pembeni yangu. Ni kweli mi na yeye sometimes hatuelewani, hasa linapokuja suala la Imani, lakini fact ni kuwa nampenda sana, maybe Zaidi ya yeyote maishani mwangu. Alipoona namuangalia naye akanigeukia, tukatazamana kwa muda, then akatabasam, as if anasema, I love you too big sis. Then akageukia mbele, akauchukua mkono wangu, tukafunganisha vidole. Naelewa yeye sio mtu wa kanisa kivileee, maana kila mara ninapomgusia kuhusu kusali amekua akinambia haamini sana katika dini. Ila neno la leo kuhusu upendo itakua limemuingia sawasawa.
Kama ilivyo kawaida baada ya ibada kanisani kwetu, waumini tulipata wasaa wa kusalimiana na mchungaji. So tulivyotoka tu, direct tukajiunga na mama ambaye wakati wa ibada hukaa siti ya mbele kabisa karibu na meza ya bwana. Kisha kwa pamoja tukasogea kwa ule mwendo wa kitakatifu, hadi pembeni ya mchungaji kiongozi. Alivyotuona hakuweza kuficha tabasamu lake, mtu yeyote akimuona atajua kabisa, this man yuko so proud na familia yake. Naam, mchungaji Kingu ni baba yangu mimi Neema na pacha wangu Rehema, pamoja na kuwa tuko highschool sasa, lakini baba hakuonekana kama ni mzee kihivyo.
“njooni wanangu, I want you to meet someone”, Mzee Kingu alituambia huku akituonesha ishara ya kutusogeza pembeni kidogo ya tulipokuepo. Lahaula, uso kwa uso na mzee Mushi, mmoja wa waumini wa kanisa hili ambaye anahadhi na wadhfa wa juu serikalini. Mushi alikua ni mmoja wa watu wenye utajiri hapa town, lakini mara nyingi maisha yake na familia yake yalikua ni Dodoma. Hii ni kwa kuwa mzee Mushi alikua pia ni waziri katika serikali, tena sio waziri wa mazingira au utawala gani sijui, hapana, the man was minister for internal affairs. Yaani popote alipo anaulinzi wa polisi.
Mushi alikua na mtoto mmoja tu, a handsome and educated young man. His name was Goddy. Goddy alikua wakati huo anasoma chuo kikuu. Mzee Mushi na Mzee Kingu ni childhood friends, walisoma wote kuanzia form one mpaka chuo wakaenda wote enzi hizo, so ni marafiki mnoo. Urafiki wao ukafanya na familia zetu ziwe marafiki pia. So mara zote familia hizi zikikutana kulikua na chakula cha pamoja, either kwetu au kwa Mushi.
“unamuona baby wako…….”, ilikua ni sauti ya Rehema ikininong’oneza. “stop it Doi, he is not…..”, nlimjibu kwa kumuita jina ambalo nimezoea kumuita, Doi, huku yeye akicheka tu. Kiukweli hisia zangu kwa Goddy zilikua wazi mno, I loved this boy. Wasiwasi wangu ni kuwa kila mtu sasa alikua anajua ninavyofeel, sio tu Rehema, bt hadi Goddy mwenyewe na mbaya Zaidi huenda hata wazazi wangu, “God forbid”, nlijikuta najisemea kimoyomoyo, maana namna wazazi wangu walivyotulea wakihisi tu kitu kama hicho itawavunja moyo sana. Ingawa ukweli wa mambo ni kuwa Rehema ashaanza haya mambo zamani since akiwa form three, ni mimi tu ndo walau hadi sasa kiwambo changu cha bikira bado kipo intact.
Baada ya kusalimiana pale, familia mbili zikakubaliana tuwe na dinner nyumbani kwetu. And that evening was so nice kwa kweli. Kila mtu was happy. Mi na doi tulikua tumevaa our black dresses ambazo hua tunazivaa kwa siku maalum tu. Kwa muonekano wa doi nnavyomuangalia na kwa namna mi na yeye tunavyofanana, basi kwa kweli tumependeza.
Wakati wa dinner mzee Mushi hakuacha kutusifia, “Kingu Mungu kakujalia watoto wazuri kweli rafiki yangu” alitamka huku akimuangalia mwanae Goddy ambaye wakati wote alionekana mkimya na akitukodolea mijicho. “yaani kila nikiwaangalia nashindwa kuwatofautisha kabisa…… Goddy unaweza watofautisha kweli maana mmekua wote since wadogo” mzee Mushi alimuuliza kijana wake. “kwakweli wanafanana mno, siwezi hata siku moja kuwatofautishaga….” Alijibu Goddy huku kila mtu akicheka pale mezani.
“Mhhhhh, Goddy kweli unashindwa kututofautisha? mimi ndo Neema then huyu ni doto ukituangalia kwa makini utagundua” alitamka Doi kwa utani, ingawa hakuna aliyegundua kuwa anadanganya. Ilibidi niseme na mm, “anawadanganya bana, mm ndo Neema”, kila mmoja sasa akawa anacheka hadi mzee Kingu. “kwa kweli hata mimi wakati mwingine nawachanganyaga hawa watoto, mama yao tu ndo anawajua vizuri”, aliongezea Mzee Kingu, which was a joke I know, maana sidhani kama hatujui vizuri huyu mzee kama anavyosema.
After dinner kila mtu akarudi room kwake, wageni wetu pia walipewa vyumba vyao. Goddy alipewa akalale chumba ambacho sisi ndo hukitumia, then tukaenda kulala chumba ambacho anatumiaga dada wa kazi ambaye leo amelala sebuleni. Sikuweza pata usingizi kiurahisi, kila nikumuwaza Goddy najikuta natabasamu. Nlitamani ninyate hadi room alipo, walau nimkiss tu ila ndo haiwezekani.
Doi ni kama alisoma mawazo yangu..
“we nae, kinachokunyima usingizi ni nini?, si uende room kwake” alitamka doi but sikua na la kumjibu. “au nikamuite?”,…. “nooo, doi usifanye hivyo, atanionaje jamani msichana kumfata mkaka namna hiyo”, nikamjibu kwa msisitizo. “we mshamba kweli dada yangu, Goddy mwenyewe huko aliko anatamani ungeenda, ngoja nikuoneshe…” alitamka doi huku akiinuka kitandani, akafungua mlango akatoka.
Huku moyo ukinienda kasi ikabidi nimfate kwa nyuma…. Tukawa tunanyata, mi namfuata nyuma yake kama kifaranga cha bata, nimeshika pindo la t-shirt yake, tukavuka chumba cha wageni ambacho Mushi na mkewe wamelala, then tukapita chumba cha wazazi wetu….. tukafika chumba alichopo Goddy. Ndo nikajua hata Doi nae hakua na plan yeyote.
Tumesimama pale kwenye mlango, doi ananisisitiza kwa ishara niingie, mimi natingisha kichwa no na kumuoneshea ishara tugeuze room. Bwana wee, alivyo kichaa doi si akagonga mlango, “Nani”, ilisikika sauti kutoka chumba cha mzee wetu…….. ebana ee, hizo mbio sijawahi zikimbia sikujali kunyata tena, vuuuu hadi room, kitandani nikajifunika na shuka kabisa kujidai nimesinzia. Dakika moja ikapita, mbili, tatu hadi tano, simuoni Doi akirudi. Duh itakua kanaswa na mzee au?, dah, moyo ukawa unaenda mbio kinoma, presha juu. Tutaweka wapi sura zetu jamani…. Watoto wa mchungaji mnamnyatia mwanaume kumfata room, yaani kidogo nilie kwa kuwaza tu namna baba atakavyojisikia.
Baada ya dkk 10 ndo doi akarudi…… anacheeeeeeka. “uoga wako unakukosesha mambo matamu dada yangu” akanizodoa pale. Mimi hata sielewi. Pressure nliyonayo, mbona mwenzangu anachukullia poa tu…….”Doi em nambie what happened, baba alitoka?”, nliuliza kwa shauku ya kutaka kujua. “alitoka ndiyo…….. akanikuta mlango wa toilet. Nikamwambia nimeona taa ya chooni inawaka ndo nikagonga kujua kama kuna mtu, basi akanisaidia kugonga nikaingia akarudi zake kulala”. Nikashusha pumzi, “asante Yesu”.
“but haikuishia hapo, ile natoka toilet si nikakutana na Goddy kwenye korido”, moyo ukaanza kunidunda Zaidi ya mara ya kwanza kusikia Goddy. “weee, Goddy alitoka?”, niliuliza kwa sauti ya kigugumizi iliyomchekesha Zaidi Doi. Akanisimulia ile anatoka tu toi, akakutana nae uso kwa uso, Goddy akamuuliza “we ndo uligonga mlango wangu”, basi doi ikabidi amwambie sio yeye ila ni dada ndo aligonga, alikua anataka aende wapige stori.
Aliposema stori ikabidi hadi mimi nicheke. “eheee, akasemaje Goddy?”, akafurahi, akasema kama vipi nije nikuite uende now, ila nikamwambia mzee ashashtuka haitakua safe, ila kesho usiku asifunge mlango utaenda”,
oooh my God, ndo nshawekwa kwenye mtego hivyo. “sidhani kama ntaweza doi, itabidi ww ndo uende” nlimwambia rehema kwa uoga. “ntaendaje mie wakati nimemwambia wewe ndo unamtaka?”, “Goddy hawezi kututofautisha bana, akikuona wewe ni sawa ameniona mimi. Na Zaidi ya yote wewe ushazoea haya mambo mi mwenzio sijawahi naogopa”, “wewe si ndo unampenda Goddy jamani, mi nimekusaidia tu, na hiyo hofu unadhani itakuzuia kupata raha hadi lini?, utaumia kidogo tu bt utainjoi next time. Na besides, Goddy ukimpa hiyo bikra lazma akuoe nakwambia”,
kusikia kuolewa uoga kama ukaondoka vile, yani nikiolewa na Goddy mbona ntatoa sadaka kwa Mungu. “una uhakika Doi? Unadhani ananipenda pia?”, “believe me, hakuna mwanaume anapewa bikra akaacha kukupenda, utaniambia after tomorrow”. Usiku huo pamoja na purukushani zote, nililala na tabasamu usoni.
Kesho yake nakwambia sikutoka hata kunywa chai. Nliogopa hata ile kumuona Goddy kwa mbali. Nimejifungia ndani room hadi nlipoletewa taarifa na doi kuwa wametoka Goddy na wazazi wake, bt Goddy kasema atarudi usiku. Ndo walau nkapata Amani ya kwenda nje ya room yangu. Ilikua ni jumatatu ya wiki ya mwisho ya likizo, so hata sisi tulitakiwa tukafanye shopping za mwisho mwisho kabla ya kurudi school. Na kimsingi hiyo kazi ya kununua mahitaji ya shule ilikua inafanywa na mimi. Huyo mdogo wangu ni kama kila kitu nlikua namfanyia, kuanzia usafi wa room hadi kumfulia nguo zake. Bt ndo ukubwa huo.
So mida ya mchana nikaingia kitaa pia, doi yeye alikua ashaenda kuonana na friends zake, ambao kimsingi nlijua anaenda kumuaga bwana ake ambaye ni mwanajeshi lugalo.
Ile narudi saa mojamoja hivi, si namkuta Goddy kesharudi. Wapo wanaongea na mzee wangu sitting room. Yaani nlipita kama sijawaona, na sikutoka tena. Hata msosi wa usiku ni Doi ndo aliniletea na kuwadanganya sijisikii poa. Kama mjuavyo muda haugandi. Saa nne hii hapa, nne na nusu, tano kasoro, muda huo wote Doi ananisisitiza niende na nisipoteze muda Zaidi. Kwenda nataka, kuogopa naogopa, yaani sikujua hata nifanyeje. Yani ilibaki kidogo nipige magoti nisali nipate ujasiri wa kwenda kutenda dhambi hahahahah.
Ilibidi doi anivute sasa, na mimi ni kama nlikua nahitaji tu kuvutwa, kaninyatisha hadi nlangoni tena. Zamu hii hakugonga, akaufungua mlango, afu yeye akarudi, nikabaki namuita kwa ku whisper, doi, doi, doi……… ndani siingii, room kwangu sirudi.
Ghafla nikasikia nashikwa mkono, ohoo, Goddy akawa amenivutia ndani. Akaufunga mlango. Yani nakumbuka kila detail ya siku hii,. Ingawa nlikua nimeinamisha kichwa chini, nikichezea vidole vyangu huku naviangalia, ila nlihisi kabisa ananikodolea macho. “you are very beautiful”, ndo alichosema Goddy, nlijisikia nimejawa na furaha ya ghafla, ikajaza kifua changu kiasi kuwa tabasamu nlilojitahidi kulificha likawa wazi.
Ikabidi nimtazame na kumjibu, “asante”,. Asante yangu ikawa kama wito kwake, maana alinisogelea nlipokua nimesimama, alipofika karibu kabisa na nilipo, mikono yake ikaenda kwenye hips zangu, mapigo yangu ya moyo yakazidisha kasi, pumzi zikawa zile za kukimbizwa na mbwa, yani, kama mguso tu unanifanya nijisikie hivi, what abt the real thing.
Mkono wake wa kushoto nakumbuka ukapanda kuelekea kidevuni kwangu, ukiwa njiani kuelekea huko, ukajikwaa kwenye titi langu la kulia lililosimama dede na ambalo ni kitambaa tu cha nguo ya cotton nliyovaa ndo vililizuia lisimpanguse nyamakwanyama. Alivyokishika kidevu changu akakiinua slowly, nikawa sasa naangaliana nae uso kwa uso. Akaniletea lips, nikampa nafasi…. Ebana ee, I have kissed some few men in my life kwa umri nilionao sasa, ila that kiss that day, that first kiss nliyoipata kwa Goddy, ilikua ina ladha ya tofauti sana. Sijui kama mshakutana na ladha flani ambayo ni softy na innocent at the same time. Hadi ile harufu yake naikumbuka mpaka leo. I enjoyed men….. ilikua lips zinasuguana tu, soft, salty, sweet, sour yqni ladha mchanganyiko.
then mkono wake uliokua bize unanibinya matako, akaupitisha ndani ya tshirt yangu, kidogo nimzuie, ila nikajipa moyo, nishayavulia nguo haya maji, nisipoyaoga nitajilaum. Najua aliinjoi sana ule usoft wa maumbile yangu kwa ndani. Maana nilimsikia miguno yake ikiongezeka. I felt beautiful than ever before. Mkono wake si ukafika kifuani, hapo ndo nlijua mapenzi matamu jamani. Alipokua anayaminya na kuyapapasa at the same time, ule ulaini wa mwili wangu nikawa nauhisi mimi sasa, raha ya kuchezewa kifua nlihisi ndo raha Zaidi ya raha zote duniani kwa wakati huo, maana nlisahau kabisa hadi kukiss, nikamuegemea kifuani kwake na kumuacha huru anipe raha ajuavyo.
Ghafla akarudi chini, akapitisha vidole hadi ikulu, nikamshika mkono asiendelee, akanielewa, akaishika pajama yangu akaishusha pamoja na chupi kwa pamoja, mi nikawa nimemkumbatia tu. Nikawa uchi kabisa huku chini, akarudia kunila denda sasa, huku akipapasa ulaini wa matako yote mawili, hasa kuanzia kiunoni hadi kwenye nyama ya pembeni chini kidogo ya kalioz.
Yani nlikua ulimwengu mwengine, hata sikujua ni saa ngapi alinilaza chali kwenye kitanda ambacho nimekilalia tangu nikiwa mdogo. Goddy hakutaka kunichelewesha, akaanza kuhangaika kupenya. Mwanzo akawa kama anapapasa tu pale juu, nikawa naskia raha kinoma, yale mawazo ya kuwa inauma siku ya kwanza nikawa naona sio ya kweli. Alipoona nimerelax ndo akaanza kutafuta upenyo. Ninachomsifu Goddy ni kuwa hakua na papara, alijua kuuma na kupuliza, yaani anasugua juu juu, then anaadvance sentimita kadhaa, akiona naresist anaanza zoezi upya.
Bt kama mjuavyo, wazungu wakiwa wanakuja hata wanaume wenyewe hawawezi kujicontrol, alipoona wanakuja, akanibana mikono fresh ili nisichomoke, then akaipenyeza nahisi yoteeee, maana nlipata umivu moja kali kama nachanwa na Topaz. Nikatoa ukunga ambao nadhani ulishtua nyumba nzima, Goddy akaniziba mdomo then akaendelea kupump mara kadhaa hadi akaja.
Nliumwa siku tatu nawaambia. Siku zote hizo naletewa tu zawadi, mara chocolate, mara kadi za I love you, mara maua. Nikazidi kumpenda Goddy. Ingawa sikuwa nimeonana nae tena kwa kuona tu aibu kumface. Kilichonishtua na ikabidi nimuulize doi ni kuwa kadi zote anazonitumia hakua ananiita kwa jina langu. Doi akanambia itakua hajui vizuri wewe ni kulwa au doto. Nikawa nimepanga kabla sijaenda shule itabidi nimfate tena room alaf nimpe siri ya kututofaurisha ambayo ilikua iko sikio la kushoto la doi. Wakati tunatobolewa masikio, yeye tundu liliziba, ikabidi watoboe tena pembeni, so doi anamatundu mawili sikio moja (maana aliamuaga kuzibua na tundu lililoziba alivyokua). So nikamwambia doi amwambie jpili ntaenda tena.
Ilivyofika jumamosi mchana nikamuuliza doi kama alimwambia Goddy ujumbe wangu. Cha ajabu doi akawa kama anamind hivi. “wakaka wa chuo wanakuaga na wanawake wengi, angalia asije kuwa anakutumia tu”…. Nikawa nashangaa haya yote yanatoka wapi, maana kiukweli bila kuvutwa na doi siku ile mpaka leo ningekua bado bikra. Na akaniambia kabisa hajamwambia labda nikamwambie mwenyewe. Nlivyo muoga naanzia wapi kumwambia. Nikakaa tu kimya.
Usiku wa hiyo jumamosi tumelala, doi akaniambia something ambayo ilinichanganya akili yangu kiasi cha kudata yani. “Neema”, ni mara chache sana huniita kwa jina langu halisi, “Goddy ameniambia ananipenda mm”. “whaaaaaaaaat?”, nlishout ile kwa hasira. Bwana anauma jamani. Hasa unayempenda kama nnavyompenda Goddy. “sikiza usipaniki, haya mambo hutokea, makosa uliyafanya mwenyewe, ulipaswa umwambie wewe ni nani siku ulipoamua kulala nae, jana nikiwa jikoni na mama, Goddy alikuja, sasa mm nkawa naona ile aibu ya kawaida ile ya kukutana na shemeji aliyemla dada yangu, ile aibu yangu nadhani akahisi mm ndo alilala nae jumatatu.
So mama alipotoka kidogo, akaja kunihug na kuniambia kanimiss sana, kabla sijajitetea akanikiss, then akaniambia ananisubiri room, mimi kumwambia kakosea nikawa siwezi, na sikuweza kukwambia uende unasubiriwa maana hukuwepo muda huo”, Ikabidi nimkatishe, “so ukaenda wewe kwa niaba yangu”, “yeah, unadhani angejisikiaje kakwambia uende alafu usitokee, nlisubiri mama alivyoaga anatoka nikaenda room kwake”, “Rehema please nambie hamkufanya chochote”, nilimuuliza huku nimemkazia macho…, doi hakujibu kitu, nikamuuliza tena “mlifanya?”, akaitikia kwa kichwa.
“Ooooo my G. ndo umefanya nn sasa, si ataona si wote Malaya, yani kabisa ukaenda fanya mapenzi na bwana wa dada yako doi, una akili kweli?”, “kwani lazima ajue jamani?, cha kufanya wewe ujifanye hujui kitu, na usahau kuhusu yeye, mi ntaendelea nae”, “unasemaje doi?”, “sikia neema, baada ya kufanya tuliongea mengi sana, nimegundua tunaendana mambo mengi mi na yeye, na isitoshe siku ile alisikia mama akiniita jina langu so anajua anayetoka nae ni rehema na sio wewe, so ili kulinda heshima ya familia na kutoonekana Malaya, itabidi umsahau Goddy”,
Alinichanganya kinoma, nikakumbuka siku ile usiku tuliponyata Doi aliporudi room alinambia amemwambia Goddy kuwa ni dada ndo alikua anataka wapige story, sasa inakuaje Goddy hakujua ni Neema au Rehema aliyemla. Sikusema kitu ila nilihisi tu Rehema kuna maneno kayasema kumbadilisha Goddy aamini yeye ndo aliliwa siku ile night.
Doi siku zote hajawahi niona na furaha na akaniacha nidumu nayo. Tangu tupo watoto, yaani wote tunanunuliwa midoli, lakini atatamani wa kwangu ndo uwe wake, akiuchoka atataka ule wa kwake na kunirudishia wa kwangu, tena baada ya kuuharibu, ili tu nisiinjoi. Hiki alichonifanyia ndo kilikua kilele cha maumivu aliyowahi nisababishia. Kwa kweli sikua na jinsi ya kumshawishi aachane na Goddy. Na ili kunimaliza kabisa hata jumapili ambayo nlipanga mm ndo nikainjoi na mpenzi wangu, yeye ndo alienda usiku. Doi ndo akawa kaninyang’anya mwanaume nliyempenda. Na hadi leo Goddy hajawahi jua kuwa aliyembikiri siku ile ni mimi na sio mkewe Rehema. Ndiyo, mkewe, walikuja kuoana baada ya sisi kumaliza chuo.
Happy weekend
Kiga.View attachment 1690778