Episode 7: K ni sarafu
********************************
Nikiwa bado nipo sebuleni kwa mdogo wangu, mawazo yakarudi hadi siku ile Tom alivoniletea simu nikiwa namuandalia supu ya kuku wa kienyeji. Uzuri Tom wakati ananiletea ile simu jikoni alikua anaongea na simu yake, so hakupata mawazo ya kusoma msg iliyoingia. Alivonikabidhi, nikajifuta mikono kwenye kitaulo kidogo pale jikoni kisha nikaishika fresh. Ki ukweli sikua na wasiwasi sana maana mtu pekee anaeweza niharibia alikua ni Dani, na kama mnavyojua nlikua nishamblock, so hakua na namna ya kunitafuta.
Ile nafungua msg mpya kwenye whatsapp, nikakutana na picha. Picha ya kwanza ilikua inaonesha mdada kalala kwenye sofa, mguu mmoja upo chini, mmoja kaunyosha sofani, sura ilikua haionekani, lakini tayari nishajua kinachotokea. Picha ya pili ndo ilikua inaonesha sura, uso ulikua umegeukia upande mwingine, lakini huhitaji kuangalia marambili kugundua kuwa yule ni MIMI. Yani naonekana live nimelala, nimejiachia mwenyewe kitumbua hiki apa. Mnajua kuvunjika moyo nyie?, sidhani, ebana siku hiyo nlihisi maumivu physically ya kuumia moyo, ni kama kuna mtu yuko ndani ya kifua anagonga na nyundo moyo wangu. Ndo hivyo, sikuhitaji kujiuliza mara mbili hii msg nani katuma, huyu ni Dani, na siku ile ananila baada ya kumaliza kumbe alinipiga picha. Ujumbe haukua na maelezo zaidi, zilikua ni picha kama sita hivi, nyingine zikiwa zimezoom kabisa uchi wangu.
So mnaona maana yangu nlivowaambia kuwa Dani alikuja kunila tena?, sikua na jinsi ndugu wasomaji. Utaendelea kukataa kutoa mzigo wakati mtu ana picha zako za namna ile?, he blackmailed me. Nilituma msg kwenye ile namba, tena sio moja, msg kama kumi hivi, ingawa zinaonesha kuwa delivered ila hakua anarespond. Yani ilibidi nimdanganye Tom kuwa kuna rafiki yangu anashida ya ghafla, ili tu nitoke pale home maana ningeendelea kukaaa pale, angegundua tu kuna something wrong. Jaribu kumpigia Dani ili walau aniambie anataka bei gani tuyamalize, ila wala hakupokea. Nikawa nimetoka home mpaka hoteli moja inaitwa Impala. Nimekaa pale kuanzia asbu ile mpaka mchana wa saa nane ndo dani akajibu msg, eti ‘hi beautiful’. Nikampigia.
Dani alikua anaongea so relaxed. Madai yake eti niende tuongelee kwake. Nikamuomba sana, aje nilipo. Baada ya kumbembeleza sana akakubali. Nikajua lazma atataka hela, so nikaenda benki chap iliyokaribu pale, nikadraw milioni, nikarudi impala. Alivyokuja yani nlishikwa na bonge la hasira, nikatamani ningekua na bastola nimlipue risasi ya kichwa, kmmk, bt hasira zangu zikaishia kulia tu. Tumekaa kama dkk 10 pale mi nalia tu, siezi hata kuongea. “Sikia Neema, kulia hakutakusaidia. Kumbuka nlikuomba uje home kama ulivyoahidigi bt ukagoma, sikua na lengo hata la kufika hapa tulipofika bt umenilazimisha wewe”. Nlimuangalia kwa hasira mno, “How could you do that Dani, kama hukua na nia mbaya why ulinipiga picha? Si ni ili uje unisambaze mitandaoni kama unavyo tishia now”, dani aliniangaliaaaa, then akatabasam, “Sikia Neema, mi nlipiga picha zile kwa matumizi yangu binafsi, mabaharia wanaelewa kazi yake, wanaume karibu wote wana picha za uchi walizotumiwa na wapenzi wao, na hata wakiachana hawazisambazi na hao ma ex wao hawaishi kwa wasiwasi, maana wanajua zile ni kwa matumizi binafsi tu”
nikawa kama nimetulia kidogo, “Ina maana huna mpango wa kuzisambaza hizo picha?”, Dani aliniangalia direct machoni, kisha akasema, “sikia Neema, nnachotaka ni wewe kutimiza ahadi yako tu, ukitimiza basi, wala hautakaa usikie kutoka kwangu tena, utaendelea kuwa dada yangu, si ndo unavyotaka….. dada?”. Nilishusha pumzi. Nikaanza kuwaza kuhusu alichosema, nikamvulie chupi anile tena, yani nikampanulie miguu kabisa aingie, nikiwa nimemuacha my Tom home, no way. Lakini nisipompa, si ndo hata huyo Tom itabidi nimsahau, na sio Tom tu, damage itakayotokea ni kuanzia kazini, kwa wazazi wangu, kiufupi ntapoteza kila kitu ninachokipenda. Akili ikawa imeshakubali kuwa kuvua chupi ndo the only best option hapa.
“Neema najua its not easy kwako, believe me, hata kwangu ilikua ngumu kuchukua hii njia nliyotumia, lakini ni kwa sababu ya ulivyofanya nijisikie, siku ile umenipa ww mwenyewe nadhani unajua hukunipa vya kutosha, uliniacha na kiu ambayo hadi leo inanisumbua” aliongea huku anapeleka mkono na kuushika mkono wangu. Sikua na nguvu ya kuutoa. Kisha akaendelea kuzungumza, “sio lazima iwe kule mianzini, hata hapa kama uko sawa tuchukue room tumalizane, ……. Sawa Neema?” aliuliza kwa sauti ya chini. Nikaanza kulia tena, akarudia kuuliza kama niko tayari, nikaitikia tu kwa kichwa, sasa ningefanyaje. Akadai hana hela, nikachomoa laki mbili nikampa, akanyanyuka akaenda kuchukua room.
Baada ya dkk 15, akanitumia msg kuniambia room aliyopo. Ingawa akili ishakubali bt nikahisi tumbo kama linakata. Nikajikaza nikanyanyuka kwenda. Kuingia room, nikakuta keshalala bed, nikafunga mlango, nikasimama sijui hata nianzie wapi. Akasimama kunifuata, akanikumbatia. Mikono kama nlivyohisi akaipeleka kwenye matako. Ndo kilichotufikisha hapa najua, ningekua wa kawaida wala asingehangaika. Akataka aanze kunikiss, nikakwepesha mdomo. Hakujali, akaanza kunikiss sehem mbalimbali za uso wangu. Then mikono yake ikawa inalipandisha dera nililovaa, sikua na namna zaidi ya kumruhusu alitoe. Ile kubaki na chupi tu kukamfanya apagawe zaidi. Akanishika mkono akanivuta hadi kwenye dirisha ambalo lilikua linaangalia upande wa swimming pool.
Akanishikisha mikono kwenye ukingo wa dirisha, kiuno akakivuta kwa nyuma kama hatua moja, miguu akaiachanisha ile mguu pande. Then akaniacha kwenye hilo pozi, akarudi nyuma kuvua nguo zake, sikua na hamu hata ya kumuangalia. Nikawa naangalia nje ambako kuna watu walikua wanaogelea. Baadae nikasikia mikono ikifungua bra mgongoni, ilivyotoka, akawa anaminya minya maziwa yangu, yani nlivo dhaifu, eti nikaanza kusikia raha, ila sikutaka kumuonesha. Baadae akanivua chupi, tena nlinyanyua kabisa mguu ili aitoe yote. Then nikahisi joto la msumari wake ukipapasa msitari wa ikweta. Yani miili yetu ilivyo, eti K ikaanza kuloa, jamani, si dani ataona kama nimeinjoi hii kitu. Mbona inanisaliti hii K, na zaidi ya yote inamsaliti Tom. Dani hakusubiri sana, akafanya kama Zuchu anavyosemaga akilambisha watu sukari, ‘dambua dambua, we dambua.. jifanye kama unafua…. kiguru nyanyua’, mguu wangu mmoja akaupandisha akauegemeza juu ya kimeza pale room, nafasi ileeeeeeeeeeeee akapitisha mashine. Sikutaka kuonesha tu, bt nliskia utam, ila sikugeuka hata, nikaendelea kuangalia tu outside, huku jamaa anashughurika. Kama kawaida, sidhani kama alidumu dakika tatu, akamaliza.
Alivomaliza, nikachukua chupi yangu nikavaa. Nikafuata dera pia nikavaa, sikutaka hata kuoga. Ile nataka kutoka nikasikia, “you are not leaving, are you?”, nikamuangalia kwa mshangao uliochanganyika na uoga. “usifanye makosa uliyofanya that day, hakikisha nimetosheka plz”, …. “Dani please, usinifanyie hivyo”. “Neema, sio kwamba nakupa new demands, wewe kaoge, then tupige vingine viwili ndo uende, sawa dada”. Sikua na namna, nikaingia bathroom, nikaoga, nikarudi room uchi wa mnyama, ready for the second round. Dani aliniinjoi kama alivyo sema. Three times. Tumemaliza round ya tatu jioni saa moja hivi. Nikamuuliza kama tumemalizana akasema yeah we are good. “basi delete hizo picha mbele yangu”, akaniangalia pale akiwa anavaa suruali yake, then akasema, “nlikwambia hizo picha ni kwa matumizi binafsi, nlichokuahidi ni kuwa zitabaki private kwangu, ukitaka nizifute inabidi ulipie”, “dah jamani dani, si nimekupa unachotaka lakini, plz kama kuna hata chembe ya huruma kwenye moyo wako, nisaidie kwa hilo, futa picha plz”, “sio tulivyokubaliana Neema”, “okay Dani, sh ngapi unataka, chukua hizo laki nane hapo kwenye pochi”, dani alicheka kishenzi, kisha akasema, “ningekua nataka hela ningesema, malipo ni kunipa tena Neema, yes, ukitaka nifute picha malipo yake ni goli tisa nizimwagie mwilini mwako”
Nilichoka ndugu msomaji. Akili ikaniambia Dani ni reasonable man, anachosema anamaanisha, so tukaanza kunegotiate bei. “Okay dani, nataka hizo picha zifutwe, bt goli tisa is too much, tufanye tatu kama leo”, Dani akafikiria kwa muda, akasema “tufanye sita basi”, “Dani plz nakuomba, najua unaona ni namna gani niko radhi kukubaliana na wewe ingawa sio rahisi kwangu, naomba please, tukubaliane goli nne, ntajitahidi” yaani hata siamini leo mimi Neema na negotiate malipo ya uchi kwa bei ya goli. “Sawa dada Neema, goli nne, bt on two different days”, akamaliza kuvaa na kutoka room.
Mpaka hapa nnavyowasimulia nikiwa sebuleni kwa mdogo wangu nlishamlipa goli mbili, bado ananidai mbili. Kweli K ni sarafu, tena ya thamani Zaidi ya shilingi. Kitu gani kwani K ishashindwa kununua, simu kali? Vacation Hawaii? gari?, nyumba?, nini hii sarafu ishashindwa nunua? hakuna, hakuna. K inanua hadi mapenzi……. Hapana chezea aisee, tena sio mapenzi tu, ndoa ndugu msomaji, K inaeza nunua ndoa hakyanani.
****************************************************
Hello guys, naitwa Doi, ndivyo anavyoniita dada yangu, bt kwenye vyeti naitwa Rehema. Like everyone else, I love myself. I love good things. Lakini Zaidi ya yote I love my family and I love my country. My sister has this idea kuwa eti simpendi, yani mimi kabisa? Eti simpendi Ney? Kwa hakika hakuna binadam nnayempenda Zaidi ya dada yangu. Yes I love my man pia, sorry my men hahaha, bt I do love my sis.
Ingawa dada yangu Neema kaongea mengi kunihusu, na kuonesha kwa namna moja ama nyingine mm ndo hua namkatili furaha yake, the truth is kila ninachofanya na kuonekana kibaya kwake mara nyingi inakua ni kwa ajili yake mwenyewe. To protect her. To lead her. Neema ndo mkubwa kwangu, atleast for some few hours. Ila since tukiwa wadogo dada yangu huyu alinitegemea sana katika kumprotect. Neema is so fragile, yani yuko soft mbaya. Sio tu kimwili, ila hata kihisia. Sio mtu wa kuhimili maumivu yale makali ya kihisia. Hivyo tangu tunakua nlishajua kuwa ni jukumu langu kama Rehema kuhakikisha namlinda dada yangu.
Chukulia mfano issue ya Goddy. Ni kweli Neema anampenda sana G. sana yani. Since tukiwa bado watoto. Na kiukweli mi sikua hata na mpango wa kuwa na Goddy. Well, sio kuwa the man is not attractive, hapana, ila moyo wangu haukua kabisa kwake. And I was happy kwa Ney kuwa nae. Ndo maana siku ile nikahakikisha nawaunganisha ili waanzishe mahusiano. Kama mmefuatilia vizuri ndugu wasomaji, bila mimi asingeliwa na G that day.
Na hata mkijiuliza ndugu zangu, hivi kweli ningewezaje injoi kumpindua dada yangu? Yani niinjoi kabisaaaa kuliwa na mtu ambaye katoka kumla dada yangu, tena sio kumla tu, kumbikiri…. No way, lazma kulikua na sababu iliyofanya mimi nitoe sadaka furaha yangu, niwe na G, mwanaume ambaye sikumpenda kiviiiile, ili tu kumprotect my sister. Iko hivi. The day after Ney kaliwa na G, yani asbh yake tu wakati Ney anaugulia ndani kwa maumivu na aibu, nikiwa nje nafanya usafi, usawa wa dirisha la Goddy, nikamsikia akiongea na simu. Maongezi yake ndo yalisababisha nimuonee huruma dada yangu. Goddy alikua anapiga stori na jamaa zake kuhusu kula tunda la mtoto wa mchungaji. Yani alivokua anaongea inaonesha kabisa hakua na mpango wa kufanya mahusiano ya kudumu na Ney.
Pili namna alivokua anaongea na hao washkaji zake, ilionesha kabisa ni mtu ambaye anachukulia position ya baba yake kama credit ya kujiona yuko juu ya wenzake. Maana alikua sometimes anawapa maagizo ya kumfanyia somethings za huko chuo anakosoma, tena sio kuwaomba, anawaagiza kama chawa wake vile. Nikajua kabisa hapa Neema hata akiwa na huyu ataumizwa kila siku. Na cha mwisho kilichofanya hadi niache kufanya usafi nirudi room na kulala ni sentensi yake moja iliyoonesha anademu mwingine chuo.
Ndipo nilipochukua maamuzi ya kumuondoa Neema kwenye equation ili nideal naye mwenyewe. Nlijua nikimwambia Neema kuwa jamaa ni bazazi na hakufai, asingekubali, maana she really loved him. So the only way ni kumvunja moyo wake now ili kuuokoa na maumivu makubwa Zaidi baadae. Nikafanya niliyofanya nikamdanganya G kuwa mi ndo alinila the other day, tukaendelea kulana. Lengo ilikua nimtumie akinogewa nimpige chini. Ila kadri nlivyokua nae na hasa nlipoenda chuo, nligundua mambo yangu yatafanikiwa Zaidi kama nikimmiliki mojakwamoja. Uzuri mi moyo wangu mgumu, so hata akini cheat sitajali sana wala kuumia kama ambavyo angeumia Neema. So nikafanya juu chini kwanza Goddy ampige chini demu wake wa siku nyingi, visa tu vya kawaida ambavyo sina muda wa kuwasimulia now, bt ndani ya miezi sita nikawa ndo the only girl kwake. Of course alikua na vi chicks kadhaa badae, bt I was sure mie ndo the main chick. Kingine kilichonipa Amani ni kuwa, mi pia nina main boy wangu. Yani ingawa nlikua radhi Goddy anioe, bt moyo wangu alikua nao Kanali.
Hiyo ni incidence moja tu inayoonesha namna nlivyojitoa ili kumsave ndugu yangu. Nyingine ni shuleni. Pamoja na kubeba adhabu kibao za Neema ambazo nyingine wala hajui kuwa nilizibeba kwa niaba yake, kuna situations nyingine kibao nlijitoa kwa ajili yake. Moja ambayo naikumbuka ni kwa mwalimu Kitepa. Neema hakua mzuri sana kwenye masomo, yani uwezo wake ni wa wastani, hasa kwenye somo la hesabu. Shule tuliyokua tunasoma ni boarding, na ilikua iko very strict kuhusu suala la wastani. Yani ili uvuke kuingia darasa lingine ilibidi upate wastani wa kuanzia 55 na kuendelea.
Kwa kuwa mimi nlikua niko fresh class, yani namba one darasani, kazi yangu ilikua kuhakikisha mimi na Neema tunaendelea kuwepo shule moja. So muda mwingi nlikua nautumia kumuelekeza mwenzangu kwenye masomo mbali mbali. So kuanzia form one hadi three tulikua tunajitahidi anapata huo wastani. Ila pale form three ndo hali ikawa inaenda kuwa mbaya. Ilipaswa avuke hapa tu ili aingie form four tumalize wote. Ile November baada ya mitihani yote kufanywa na kurudishiwa karatasi za mitihani yote isipokua hisabati, wastani ukawa 55 kamili. Kwa maana nyingine, akirudishiwa mtihani wa hisabati na akawa amepata marks chini ya 55, itakua imekula kwetu.
Siku hiyo nimerelax zangu bwenini, nikashangaa Neema anakuja huku Analia. Kwa kuwa mi nlikua nalala kitanda cha juu yeye chini, ilibidi nishuke nimuulize kulikoni dada yangu. Ndo akanionesha karatasi ya mtihani wa hesabu, 49. Nliishiwa pozi ndugu msomaji. I felt sad and disappointed. Nlimuwazia dada yangu namna anavyofeel sasa, kuwa itabidi afukuzwe shule, akasome shule nyingine tofauti na hii, tena peke yake. Nani atakaye mtake care akipata shida?. Then nikamfikiria baba na namna anavyotutegemea tufanye poa kwenye masomo. Kufeli kwa mwanae kutampa sonona moyoni.
Nikachukua ile karatasi. Nikaikagua kwa kuhesabu upya kuona kama mwalimu alikosea kuhesabu. Mwalimu ni kweli alifanya makosa kuhesabu, lakini alikosea kwa kuongeza marks, yani Neema alikua amepata 48 na sio 49. Nikacheki kama kuna swali kakoseshwa, nikaona pia hakuna makosa. Wakati huo wote Neema ananiangalia lile jicho la matumaini. Nlivyohakikisha karatasi iko sawa kila kitu, nkamuangalia Neema. Ile sura yake na namna alivoonesha kukata tamaa, nikasikia umivu moja kali sana moyoni. “Kuna maswali hajakusahisha vizuri”. Nikaamua kumdanganya. Nikaona anapata matumaini.
Akachukua karatasi ili aende kwa mwalimu wa hesabu, Mr Kitepa. Nikamzuia. “sikia Ney, itakua ngumu kumuelewasha ukienda wewe, nipe hiyo karatasi mi ndo nimfate”. Akiwa bado anajiuliza, nikampokonya, nikaikunja nikaiweka kwenye mfuko wa shamba dress yangu iliyokua pembeni juu ya kitanda changu. Then nikafungua locker la Neema nikachukua shamba dress yake (ambayo ili kutofautisha mi na yeye walimu walisema nguo zetu tuziwekee alama ya majina yetu, yani N kwa neema na R kwa rehema, begani). Wakati huo Neema ananiangalia, nikavua pensi langu la kulalia na tshirt nliyokua nmevaa, then nikatupia ile shamba dress ya Neema.
Bahati nzuri Mr. Kitepa alikua zamu wiki ile, ambayo ndo ilikua wiki ya kufunga shule tuondoke zetu. So ingawa ilikua jioni ya saa 11 lakini alikua bado yupo ofisini. Nilifurahi kukuta yupo peke yake, walau naeza muomba akatusaidia. Basi nikaanza kwa kumsalimia, alivoitikia nikavuta kiti nikakaa. “Sir, nimefeli hesabu”
“So unataka nifanye nini kama umefeli?”, alijibu huku akiendelea kujaza marks kwenye computer yake.
“Sir, nimepata 49, lakini unajua kuwa nimefanya jitihada kubwa mno kufaulu tangu nikiwa form one, nisipofaulu hili somo nafukuzwa shule sir, please nisaidie, my parents will kill me”
“Sikia binti, ulitakiwa uwaze hayo wakati wa kujiandaa, mbona mwenzio amefaulu? Hii inaonesha ni uzembe tu. Kama huna lingine nipishe natakiwa niwakilishe hizi marks kesho kwa ofisi ya mtaaluma”.
Nikawa nimekata tamaa. Hapa hakuna msaada. Ikabidi sasa niingize gia ya pili.
“Sir, I know ni ngumu kwenda kinyume na maadili yako ya kazi, ila najua unajua baba yangu mdogo Mr Mushi ni kiongozi mkubwa kwenye chama na serikali, nakuapia ukitusaidia hili ntahakikisha anakusaidia kukuconnect ktk chama kama uko interested, if not basi serikalini, hata wizarani ukitaka”
Mr Kitepa akaacha kufanya anachofanya akaniangalia kwa muda mrefu.
“So kumsaidia dada yako uko radhi kutoa rushwa?”. Nikabaki namshangaa kajuaje mimi sio Neema.
“Neema ninavyomjua hana ujasiri wala akili ya kufikiria ulivyofikiria, so you must be mdogo wake”
“Sir, haina umuhimu kwa sasa. Fikiria kwa umri huo ukiwa na connection ya waziri”
“ntajuaje kama kweli unayosema” aliuliza mwalimu.
Nikamuomba simu yake, alivyonipa nikaingiza namba za Mr Mushi ambazo nlikua nazo kichwani. Namba za mzee Mushi nlikua nazo maana yeye ndo aliyetuleta shuleni na kutukabidhi kwa mkuu wa shule kama wanae. Lakini pia alitupatia namba yake ili kama tukipata shida tumpigie yeye kwa kuwa alikua ndo mbunge wa jimbo hili ambako shule yetu ipo, so tunaeza saidika kwa urahisi na ukaribu Zaidi hata kama sio yeye direct bt kupitia connections zake kwenye huu mji.
Simu ilipoita na kupokelewa nikaweka loud speaker ili mwalimu asikie. [Nani mwenzangu?] ilisikika sauti ya mzee Mushi live and clear. Mr Kitepa akawa mdomo wazi, haamini kama naeza kuwa na direct connection na waziri wa mambo ya ndani ya nchi. “Shikamoo ba’mdogo, mi Rehema Kingu”, [ooooh, vipi mwanangu, masomo yanaendeje? Mmesharudi likizo?] “hapana Ba’mdogo tupo shuleni bado”, [vipi kuna shida yoyote?], “Hapana ba’mdogo, kuna huyu mwalimu wa hesabu alikua anashida ya kupata kazi wizarani, ametusaidia sana kwa kweli mpaka tumefaulu wote wawili, nikasema kama unaweza pia ukamsaidia ba’mdogo”, [Ahaa, haina shida, mkiwa likizo mumlete ofisini kwangu tuongee anataka nini hasa, mambo madogo sana hayo, na nafurahi amekua msaada kwenu wanangu].
Hivyo tu yani. Baada ya kumaliza kuongea na simu na kuagana na mzee Mushi, nikahakikisha nafuta call logs zote zenye hiyo namba ili asije nizunguka akajiconnect na mzee alaf asisaidie. Mr Kitepa alibaki kinywa wazi kwa muda. Alipo kaa sawa tena akawa keshalainika. “ dah, siamini kama life inaeza kua rahisi namna hii”. “Ni wewe tu ticha, karatasi hii hapa ya Neema, anahitaji 55 tu, then unaondoka maisha ya chaki na kuhamia kwenye kiyoyozi”, nliongea huku natabasam. Then nikanyanyuka ili nitoke ofisini kwake.
Ile nafika mlangoni, kabla sijafungua mlango nitoke nikamsikia mwalimu ananisemesha, kugeuka namkuta kasimama ananiangalia, hasa kiunoni. Yani wanaume, dah. Nikajua tu wakati natoka shape langu ingawa ndani ya shamba dress lilijichora na kumpa wild thoughts mwl. Na niseme tu wazi, huyu ticha anajulikana anapenda sana down.
“Sikia Rehema, ntamsaidia dada yako”, alisema haya huku ananifuata pale mlangoni. “But nifikirie pia na mimi eeh”, alikua keshanifikia, amenisogelea kabisa, anapapasa hips huku anaipandisha hiii dress slowly. “skia sir, si nimekuhakikishia ajira wizarani lakini,…” nliongea huku najitahidi kumsukuma aniachie. Yeye ndo kwanza anapapasa ngozi za paja. “sawa, ila huu utam naomba hata kidogo tu mama”, alionesha keshadhamiria kunila.
Of course ningeweza kataa, bt nilikua radhi kufanya chochote kwa ajili ya Neema. “Sir tutakutwa …”, “Usiogope, hakuna anaekuja hapa now”, aliongea huku anaivuta chupi kwa chini, then akaninyanyua mguu mmoja akawa kama kaubeba, akamtoa babu, akapenya.
Nlichofanya nlihakikisha hamalizii ndani, na nlifanikiwa. “kesho utakuja tena mtoto mzuri?”, nlimuangalia nikatabasamu, lile tabasamu la kebehi, nikachukua pichu yangu hapo chini nikavaa.
“Nop” nlijibu huku naweka gauni sawa. Nikasogea pale mezani kwenye ile karatasi ya Rehema, nikaisogeza mbele ya komputa yake, “55…” nlimkumbusha huku naipoint ile karatasi. “Okay okay, bt si ahadi yako ya kunikutanisha na waziri bado ipo, si ndio?”. “You made your choice already sir, ulipewa chaguo la maisha bora, ukachagua uchi……….. 55..”. nliongea huku nafungua mlango na kutoka. Kweli K ni sarafu, tena inanguvu Zaidi ya dola ya Biden.
Kati ya vitu ninavoonaga nimejitoa sana kwa Ney ni hicho. I was fuc*ed to save her. And she doesn’t know ile marks alifikishaje mpaka leo. Yeye anaamini ni kweli kuna maswali yalikoseshwa kimakosa. Bt ndo msalaba wangu. Will always take care of her.
Mwanzo nimewaeleza kuwa najipenda pia, hivyo sidhani kama itatosha kuwaambia tu kuhusu situation nilizotumika kwa ajili ya dada yangu. I love someone pia. Ndiyo, nampenda Goddy, lakini kuna mwanaume ambaye ndo tuseme kaumiliki moyo wangu. Jina lake sio vizuri kulitaja hapa, ila ngoja tumwite Kanali, maana ni mjeda na ndicho cheo alichonacho kwa sasa ninavyowasimulia.
Naamini duniani kuna wanaume wa aina mbili kubwa. Kuna ambao mi huwaita ‘hard’ lakini kuna ambao ni soft. Mwanaume kama Paulo wa nchi jirani, au mbunge wangu msukuma, wale ni hard people. Yaani wagumu. Sio kwa life style, la hasha, viungo vyao ni vigumu. Ukigongana nao ugoko hawa watu unaeza enda kufanyiwa upasuaji MOI. My man Kanali ni hard man. Mgumu kwelikweli, yani siku amevaa pensi mbele yangu nilicheka live, ile miguu yake ni kama vipande vya mti, tena mti wenyewe mninga, very hard. Hawa soft men ndo kama Goddy my husband. Don’t get me wrong, sio lazima wawe wanene na vitambi, hapana, wako soft tu. Akivaa pensi unaona kabisa kuna nyama kwenye miguu, na mng’ao wa usoft.
The first time namuona kanali was at school. Kwa wale mnaojua kitu kinaitwa the butterfly effect, hii situation ni ushahidi wa hiyo theory. Yani kitu kidogo kinaeza tokea mbali huko, ila kikasababisha effect moja kubwa sana mahala pengine. Ni hivi, ilikua ni graduation ya dada zetu wa form six. Siku hiyo shughuri nzima ilianzia kanisani kama ilivyo kawaida ya shule yetu. Tukiwa church nikawa na emergence, kama mnavyojua kwetu wadada, so nikamfuata matron nikamwambia shida yangu akanipa ruhusa ya kwenda bwenini kubadili pedi. Bwenini nlivofika nikamuona binti ambaye kalala, shida yake baada ya kumhoji ni kua anaumwa tumbo ile mbaya. Nikampa pole pale, mi nlivojiweka sawa nikawa narudi zangu church, yule binti mgonjwa akaniomba nisipojali nimsaidie kutekeleza majukumu yake ya kupokea wageni siku hiyo maana ni wazi asingeweza tena.
Mnaona eeh, yani kuanza kwangu bleed siku hiyo, kukasababisha nirudi bwenini ambako nikakutana na huyu mgonjwa, na ndo sababu ya mm kukutana na Kanali. Nikiwa nipo getini napokea na kuelekeza wageni maeneo ya kukaa, ndo nikamuona Kanali. Alikuja na bodaboda, kilichonivutia kwake ni zile combat za jeshi alizokua amevaa. Tulikua mabinti kama wanne kwenye mapokezi pale getini ila nilihakikisha mm ndo nampokea Kanali. Sikua hata na mawazo mabaya, nlimsalimia kwa adabu then nikamwambia anifuate nimuoneshe mahali wageni wa wahitimu wanapokaa. Nilipomfikisha kwenye nafasi yake nikamuacha then mi nikarudi zangu getini.
Baada ya muda si nikamuona tena Kanali anakuja upande nliopo. Kufika ananiuliza kama kuna duka lolote anaweza pata mahitaji madogomadogo. Ingawa hakusema ni mahitaji gani, nikamwambia anifuate nimpeleke duka la shule. Alivyofika akanunua coca cola ndogo hizi, mbili, moja akanipatia mimi. Hua sipendi coca bt sikuona kama ni busara kukataa. Kimsingi hata sikutakiwa kuendelea kuwepo hadi anunue anachotaka, kazi yangu ilikua kumuonesha duka lilipo then nisepe. Kilichoniweka pale nlikua na maswali nataka nimuulize.
Kanali aliponipatia soda, akaanza kuniuliza vimaswali vya kawaida, unaitwa nani? Unatoka wapi? Uko kidato cha ngapi? Masomo gani unapenda na maswali ya kufanana na hayo. Nikawa namjibu fresh tu, huku tukitembea kuelekea upande ambako magali yameegeshwa. Tulivyofika maegesho ya magali, akatafuta sehemu kuna mahali unaeza kaa, akakaa. Ndo nikapata muda kumuuliza pia, jina? Yuko pale kwa sherehe ya mhitimu gani nk. Kwa mujibu wa maelezo yake, mdogo wake anahitimu siku hiyo. Of course alivyonitajia jina la mdogo wake nilimtambua fresh tu. Huyo ambae anasema ni mdogo wake ni kama dada yangu wa shule, anaitwa Leyla. Na kwa namna nlivyo karibu na Leyla, ninajua kwao amezaliwa peke yake, hana dada wala kaka. Na kimsingi nikatambua Kanali ni boyfriend wake Leyla. Maana da Leyla ashaniambia anaboy wake mjeda. Why he lied, sikujua hata.
Baada ya maongezi ya hapa na pale ndo nikamuuliza nlichotaka kujua. Napenda sana wanajeshi. Hata Goddy mume wangu alivyomaliza chuo nlimwambie akajiunge jeshi. So napenda kwa kweli. So Kanali nikamuuliza namna ya kujiunga na vitu ka hizo. Alichofanya akanipa namba, yani eti nikimaliza shule na kama bado nina tamani kwenda jeshini nimtafute.
Kwani nlisubiri hadi nimalize shule. Kimsingi baada tu ya sherehe ya graduation nlimtafuta Kanali. Tukawa tunachat sana tu. No one knew, sio dada yangu Neema wala sio Leyla. Nlijua kabisa hii itaitwa Coup de etat, lakin nikajifanya sijui mahusiano ya kanali na Leyla. Likizo ndogo ya pasaka nikamwambia kanali kama vipi niende kwake. Hakua na pingamizi. Bt nisingeweza kuondoka bila kumwambia Neema ukweli. So nikamweleza naenda kwa Kanali, Neema sio mtu wa kunipinga, alijua kama nimechukua huo uamuzi basi nimeshajihakikishia usalama wangu. Akaahidi kutotoboa siri home.
Ingekua sio kwaresma ningewahadithia kilichotokea kwa kanali. Itoshe tu kuwaambia Kanali ndo alikua mwanaume wangu wa kwanza. Ile wiki niliexperience kila kitu kwenye mapenzi. Kanali alionesha kunipenda, alionesha kuinjoi anaponitia, alionesha kunijali pia. Ila pia kanali ni mtu wa hasira. Si mnajua wakurya walivyo. Kosa dogo tu vibao vya kufa mtu. Sikutarajia hata siku moja ntakuja kupigwa maishani, ila kwa kanali nlizoea mbona. Na alivyo mgumu akikuzaba kibao ni kama umegongwa na treni. Nakumbuka kuna siku pale kambini anapokaa aliniambia nisiwe natoka, sasa kwa jeuri yangu nikaenda kuzurura kwa jirani ambaye alikua binti pia. Ile narudi, nilichezea kichapo cha hatari. Manundu mwili mzima. Ila hasira zake zikiisha, anavyobembeleza ni Zaidi ya ambavyo nimewahi bembelezwa, nikiwa na maumivu najikuta natoa msamaha na tunda juu. Tena namkatia haswaaaaaaa.
Huyo ndo kanali bana. Gaidi ila anajua namna ya kuni handle. Mi na yeye hatuezi achana. Alikuja kumuoa Leyla, mi pia nimeolewa na Goddy, ila kila mara tunakutana Arusha, tunakulana, tunagombana, tunakulana tena. Yan mahusiano yetu ni its complicated. Sema nimemsaidia sana. Hizo nafasi za kusoma hadi kufika ukanali, mm ndo nimefanaya juhudi akazipata. Uzuri analijua hilo. Maisha ndo hayahaya, nimeamua kuyainjoi na wanaume wangu, Goddy na usoft wake nainjoi kwake ile romance, yani hadi anaingia unakua ushajimalizia. Kwa Kanali romance sio sana hata, ila hiyo mashine yake baba, akiingia ni nomaaaaaaaaaaaaaa.
Wasalaam
Kiga