Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Mmmmh! Tumia email ambayo hujawahi sajilia akaunti pili hiyo ni offermbona mm wananidai nilipe 12$ kwa mwaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh! Tumia email ambayo hujawahi sajilia akaunti pili hiyo ni offermbona mm wananidai nilipe 12$ kwa mwaka
Tazama hii uniambie tunaanzia wapi kuiweka sawa.Njoo nikupigie kazi kiongozi kwa mkataba usio hitaji pesa wala nini
Ulikuwa unahitaji nini?Tazama hii uniambie tunaanzia wapi kuiweka sawa.
![]()
Ulikuwa unahitaji nini?
Kama ni blogger fanya hayaNina passion na kuandika andika kama hivi blog, social medias pages, na mambo ya mtandao kiujumla.
Nimeshaomba matangazo AdSense mara nyingi ila wanagoma, naomba unishauri niboresheje ili:
1.Niendelee kutembelewa zaidi,
2.Nipate matangazo.
Asante sana, nashukuru kwa ushauri wako ingawa kuyafanyia kazi yote ni shughuli. Lakini naahidi nitafanyia kazi ushauri wako, pia nitahitaji msaada zaidi kutoka kwenu wajuzi.Kama ni blogger fanya haya
1.lugha iwe kiingereza
2.content zilizoshiba
3.usikopy
4.taging ya maana
5.kutumia keyword
6.seo ready templete
7.custom domain
8.submit site map google console na microsoft webmaster
9.usifocus na pesa share tu link uwezavyo iliutengeneze watu,maana inabidi uwatafute sio wakutafute
10.kuwa mbunifu weka pullz, forum, games yani vitu vinakavyoshwishi watu waendeleee kubaki kwenye blog yako
11.omba matangazo
Hakuna wajuvi wala niniAsante sana, nashukuru kwa ushauri wako ingawa kuyafanyia kazi yote ni shughuli. Lakini naahidi nitafanyia kazi ushauri wako, pia nitahitaji msaada zaidi kutoka kwenu wajuzi.