Hahah hebu nenda setting kule kweny gcam kisha screenshot nione..nikiijua tumpe jmaa juu hapo nayeye ana s8+Samsung Galaxy S8+
Cjui Gcam gani niliikuta2 humu nikapita nayo[emoji23][emoji23] inanipa mambo mazito had Iphone users wananiogopa[emoji23][emoji23]
Sawa mkuuFuta hii hutakiw kuweka imei zako hadharani...ngoja nikuchekie gcam yako sasa
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Anhaa hii idan nishaijua...alaf hii ni old version[emoji110]View attachment 1716369
Mkuu kama kuna new version nipatie tafadhali maana kama hii ni old na inanipa v2 OG hiyo new c ni balaa zaid[emoji23]Anhaa hii idan nishaijua...alaf hii ni old version
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Aaah sjaona new version kwa s8...sema ngoja jamaa hapo juu ajarbu niliyompa..ikikubal na ww ruka nayo uone...Mkuu kama kuna new version nipatie tafadhali maana kama hii ni old na inanipa v2 OG hiyo new c ni balaa zaid[emoji23]
Pamoja mkuuAaah sjaona new version kwa s8...sema ngoja jamaa hapo juu ajabu niliyompa..ikikubal na ww ruka nayo uone...
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
New version kuna mpaka night sight balaaa hyo.. usku kama mchana [emoji3][emoji91]Pamoja mkuu
Mkuu hata hii ina night sight yan ni kisanga kizito usiku kama mchana[emoji91][emoji91]New version kuna mpaka night sight balaaa hyo.. usku kama mchana [emoji3][emoji91]
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Ebwana naona...sasa imagine ungekua na night sight yenyew sasa [emoji38][emoji38]...hebu jamaa atest kwanza atupe majibu..ikikubal soon unahamia latestMkuu hata hii ina night sight yan ni kisanga kizito usiku kama mchana[emoji91][emoji91]View attachment 1716395View attachment 1716396
Hii noma mkuu kama sa tisa mchana[emoji1787]Mkuu hata hii ina night sight yan ni kisanga kizito usiku kama mchana[emoji91][emoji91]View attachment 1716395View attachment 1716396
A50 ndo imegoma kabx mzeeNew version kuna mpaka night sight balaaa hyo.. usku kama mchana [emoji3][emoji91]
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Yani sio mchezo... ngoja nikupe ya a70 ujarbuA50 ndo imegoma kabx mzee
Mkuu mimi yangu nikipiga Night sight inatumia dakika 4...ni Sawa hiyo au?New version kuna mpaka night sight balaaa hyo.. usku kama mchana [emoji3][emoji91]
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Cheza na settingMkuu mimi yangu nikipiga Night sight inatumia dakika 4...ni Sawa hiyo au?
Hiyo yako ni gcam ipi ? 4 nying sanaMkuu mimi yangu nikipiga Night sight inatumia dakika 4...ni Sawa hiyo au?
A50 ndo imegoma kabx mzee
Soma Post no 2582 nmekupa linkMkuu link sijaiona mbona